Athari za mwajiriwa kutopitisha barua ya ajira kwa mwajiri wake

Athari za mwajiriwa kutopitisha barua ya ajira kwa mwajiri wake

Sambare

Member
Joined
Jul 1, 2017
Posts
82
Reaction score
52
Habari wana Jamii.. Naomba kupata uelewa kwenye hili .
Ikiwa umeshaajiriwa na unataka kuomba ajira Tena serikalini, wanaposema upitishe barua yako kwa mwajiri wako wa sasa .
1.Je ispofanyika hivo Athari zake ni nini?
 
Unaweza ukakosa kote
Hapana...
Iko hivi, sharti la kupitisha kwa mwajiri ni kigezo muhimu hivyo lazima kizingatiwe. Kama haitapitishwa kwa mwajiri basi barua husika haitaweza kufanyiwa kazi..
Maana kubwa ya kupitisha kwa Mwajiri ni kwamba mwajiri wako wa sasa amekukubalia uende taasisi nyingine ikiwa umekubaliwa/umepata nafasi huko ukutakako.
 
Habari wana Jamii.. Naomba kupata uelewa kwenye hili .
Ikiwa umeshaajiriwa na unataka kuomba ajira Tena serikalini, wanaposema upitishe barua yako kwa mwajiri wako wa sasa .
1.Je ispofanyika hivo Athari zake ni nini?
Taasisi gani imetangaza nafasi za kuhamia,, hebu weka tangazo mkuu..?
 
Hapana sio kuhamia. Mfano nafasi za kazi za tra Wamesema walioajiriwa serikalini inabidi kupitisha barua za maombi kwa waajiri wao. Ndo nauliza usipofanya hivo kuna Athari?
 
Hapana sio kuhamia. Mfano nafasi za kazi za tra Wamesema walioajiriwa serikalini inabidi kupitisha barua za maombi kwa waajiri wao. Ndo nauliza usipofanya hivo kuna Athari?
Kupitisha Kwa mwajiri ni kama kutoa Taarifa kuwa Kuna jambo unalifanya. Siku ikitokea umepata kazi kwingine haitasumbua kufanya replacement kwasababu alikuwa anajua mchakato wako. Usipopitisha na ukapata kazi kwingine anaweza akakuwekea vikwazo au ukalipa fidia au ukaonekana tapeli na mtu wa kuhofiwa. Pitisha barua kwamanufaa ya kazi Yako ya Sasa na ya baadae.
 
Ni muhimu barua ipite kwa mwajiri kama taarifa. Usipopitisha na ikatokea ukapata hiyo kazi, maana yake Utumishi watakwambia wewe inaonekana tayari umeajiriwa. Nashauri fanya unavyoweza barua ipite kwa mwajiri. Unaweza subiri siku amekaimisha unaenda kwa anaemshikia ofisi anakuandikia pale "imepitia" anasaini unaenda kugonga mhuri mambo yameisha.​
 
Nimesoma uzi wako.
Nikasoma comments zako.
Mwisho nimehitimisha kwamba "hauelewi unataka nini kwasababu haueleweki"
 
Kupitisha Kwa mwajiri ni kama kutoa Taarifa kuwa Kuna jambo unalifanya. Siku ikitokea umepata kazi kwingine haitasumbua kufanya replacement kwasababu alikuwa anajua mchakato wako. Usipopitisha na ukapata kazi kwingine anaweza akakuwekea vikwazo au ukalipa fidia au ukaonekana tapeli na mtu wa kuhofiwa. Pitisha barua kwamanufaa ya kazi Yako ya Sasa na ya baadae.
Hivi mkuu hii inakuwaje.. Tuseme umeomba upya taasisi nyingine na ukafanikiwa kupata.. Check number unapata mpya tofauti na ile za zamani, vp kuhusu cheo/Daraja chako/lako cha/la awali..?
 
Ni muhimu barua ipite kwa mwajiri kama taarifa. Usipopitisha na ikatokea ukapata hiyo kazi, maana yake Utumishi watakwambia wewe inaonekana tayari umeajiriwa. Nashauri fanya unavyoweza barua ipite kwa mwajiri. Unaweza subiri siku amekaimisha unaenda kwa anaemshikia ofisi anakuandikia pale "imepitia" anasaini unaenda kugonga mhuri mambo yameisha.​
Mambo ya kuviziana...ni hatari na nusu...hapo usipokutana na jibu subiri Mkuu akirejea umletee hii barua sijui!
 
K
Mambo ya kuviziana...ni hatari na nusu...hapo usipokutana na jibu subiri Mkuu akirejea umletee hii barua sijui!
Kwanza Barua zinazohusu mtumishi kuhama lazima zipitie kwa Mkurugenzi wa Taasisi mwenyewe, sio kaimu.

Kwaio, hio Barua ya kuomba Ajira mpya Taasisi nyingine lazima ipitie kwa Mkurugenzi wako wa sasa.
 
Hivi mkuu hii inakuwaje.. Tuseme umeomba upya taasisi nyingine na ukafanikiwa kupata.. Check number unapata mpya tofauti na ile za zamani, vp kuhusu cheo/Daraja chako/lako cha/la awali..?

Cheki namba ile ile. Cheo cha zamani achana nacho maana wanazingatia sifa za kuingilia. Kama ulikua Afisa Daraja la I kule Halmashauri ukiajiriwa kwenye taasisi unapewa cheo kwa mujibu wa nafasi husika, amabcho mara nyingi huwa ni entry level. Ni vizuri kuijua position ya kazi mpya unayoitaka usijeenda kufa njaa kwenye kiyoyozi.​
 
Nimesoma uzi wako.
Nikasoma comments zako.
Mwisho nimehitimisha kwamba "hauelewi unataka nini kwasababu haueleweki"
Acha ujuaji.kama huajelewa ni wewe. Walioelewa washanijibu. Punguza nye****
 
Back
Top Bottom