Athari za Tanzania kuwa nchi yenye ugaidi

Athari za Tanzania kuwa nchi yenye ugaidi

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Najiuliza tu polisi wa Tanzania wameutangazia ulimwengu kwamba Tanzania kuna ugaidi na magaidi Tanzania.

Sasa najiuliza Rais alikuwa anaita wawekezaji juzi hapa waje kuwekeza Tanzania?

Je mwekezaji gani ataleta mitaji kwenye nchi ambayo ina hatari ki kiusalama?

Hivi tuna mfumo wa ulinzi kweli wa nchi?

Vyombo vyetu nyeti kama TISS na Polisi wameruhusu vipi habari kama hizi kuvuja na kutangazwa kwa Dunia?

Tunauweka kwenye hali gani uchumi na utalii wetu.

Kosa vyote lakini usikose akili.

Kwa kauli zile za Jana za ugaidi na njama za kuua viongozi wa juu naamini kabisa tumeua utalii na wala hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza Tanzania.

Tuendelee tu ila siku tukikosa mishahara ya wafanyakazi na kuanza kuwapunguza ndio mtajua athari za hii kauli ya Jana.
 
Lisu alikuwa anapewa na nani taarifa za kwamba Magufuli anaumwa na hatapona?

Bila shaka laptop za mbowe zilizokamatwa zimesema mengi kuhusu kundi la kigaidi.
Ugaidi unafanyika kwenye Laptop? Kwamba kwa technology ilivyo sasa kuna gaidi anatumia laptop kupanga ugaidi?

Udakuzi uliojaa katika mifumo ya ulinzi bado mtu anayepanga ugaidi anaweza tumia Laptop au simu?

Kapimwe akili
 
Lisu alikuwa anapewa na nani taarifa za kwamba Magufuli anaumwa na hatapona?

Bila shaka laptop za mbowe zilizokamatwa zimesema mengi kuhusu kundi la kigaidi.
Mbowe alikuwa anafanya kazi ikulu?
 
Ni wachache sana watakuelewa.
Kuna shida kubwa sana ya mfumo.
Tunatumia KUTAWALA huku hatujui utawala.
Tungetumia UONGOZI BORA tungefika mbali sana.
Iwe kweli au sikweli TUMEICHAFUA NCHI.
Yani mtu anamka asubuhi anaona fahari kuitangazia dunia kwamba tuna ugaidi? Halafu polisi wanategemea wapate mishahara kutoka kwenye utalii?

Nchi hii hakuna watu kabisa wa kuongoza nchi.
 
Ipo siku kitanuka watakosa pa kukimbilia wataanza ooh tuunde kamati kubaini chanzo nawahakikishia tunajuana vyema siku moja msioijua yaja mtaita maji muma
 
Nadhani wanataka kuiaminisha dunia kwamba tanzania sio salama kwamba kuna ugaidi,hivyo Wawekezaji wataogopa kuja kuwekeza nchi yenye magaidi.
 
Najiuliza tu polisi wa Tanzania wameutangazia ulimwengu kwamba Tanzania kuna ugaidi na magaidi Tanzania.

Sasa najiuliza Rais alikuwa anaita wawekezaji juzi hapa waje kuwekeza Tanzania?

Je mwekezaji gani ataleta mitaji kwenye nchi ambayo ina hatari ki kiusalama?

Hivi tuna mfumo wa ulinzi kweli wa nchi?

Vyombo vyetu nyeti kama TISS na Polisi wameruhusu vipi habari kama hizi kuvuja na kutangazwa kwa Dunia?

Tunauweka kwenye hali gani uchumi na utalii wetu.

Kosa vyote lakini usikose akili.

Kwa kauli zile za Jana za ugaidi na njama za kuua viongozi wa juu naamini kabisa tumeua utalii na wala hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza Tanzania.

Tuendelee tu ila siku tukikosa mishahara ya wafanyakazi na kuanza kuwapunguza ndio mtajua athari za hii kauli ya Jana.
Polisi hawana akili, Hili jambo jepesi kauli ya polisi si ya kuichukulia kimzaa
 
Najiuliza tu polisi wa Tanzania wameutangazia ulimwengu kwamba Tanzania kuna ugaidi na magaidi Tanzania.

Sasa najiuliza Rais alikuwa anaita wawekezaji juzi hapa waje kuwekeza Tanzania?

Je mwekezaji gani ataleta mitaji kwenye nchi ambayo ina hatari ki kiusalama?

Hivi tuna mfumo wa ulinzi kweli wa nchi?

Vyombo vyetu nyeti kama TISS na Polisi wameruhusu vipi habari kama hizi kuvuja na kutangazwa kwa Dunia?

Tunauweka kwenye hali gani uchumi na utalii wetu.

Kosa vyote lakini usikose akili.

Kwa kauli zile za Jana za ugaidi na njama za kuua viongozi wa juu naamini kabisa tumeua utalii na wala hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza Tanzania.

Tuendelee tu ila siku tukikosa mishahara ya wafanyakazi na kuanza kuwapunguza ndio mtajua athari za hii kauli ya Jana.
Kesi feki hiyo ili kufifisha madai ya Katiba..

Ule mfumo wa jiwe wa ubambikiziaji kesi za uongo kwa wasio na hatia unaendelezwa na mama Samia🙄
 
Ni wachache sana watakuelewa kuna shida kubwa sana ya mfumo,tunatumia KUTAWALA huku hatujui utawala.

Tungetumia UONGOZI BORA tungefika mbali sana,Iwe kweli au sikweli TUMEICHAFUA NCHI.
Kawaida sana hilo kwa CCM na serikali yake.Mara hamieni Burundi wakati hata Mh.Rais hajapumzika toka afanye ziara Burundi ili kuimarisha mahusiano waliyoyavuruga kabla.Kauli zao ni kakasi kuliko Shubiri.
Tumewazoea kwa kuanzisha tatizo halafu wanatatua,ccm mjini.Mbaya zaidi haturuhusiwi kuhoji lolote.
 
What i can see is a bunch of CCM fluffheads cheering the 'replica' of despotic and corrupt regime
Yani watachota pesa za umma mpaka tukome

Hayo makodi wanapandisha ili waanze kuchota pesa za ufisadi kwenye miradi na yatajirudia Yale ya EPA na Escrow!!
 
Najiuliza tu polisi wa Tanzania wameutangazia ulimwengu kwamba Tanzania kuna ugaidi na magaidi Tanzania.

Sasa najiuliza Rais alikuwa anaita wawekezaji juzi hapa waje kuwekeza Tanzania?

Je mwekezaji gani ataleta mitaji kwenye nchi ambayo ina hatari ki kiusalama?

Hivi tuna mfumo wa ulinzi kweli wa nchi?

Vyombo vyetu nyeti kama TISS na Polisi wameruhusu vipi habari kama hizi kuvuja na kutangazwa kwa Dunia?

Tunauweka kwenye hali gani uchumi na utalii wetu.

Kosa vyote lakini usikose akili.

Kwa kauli zile za Jana za ugaidi na njama za kuua viongozi wa juu naamini kabisa tumeua utalii na wala hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza Tanzania.

Tuendelee tu ila siku tukikosa mishahara ya wafanyakazi na kuanza kuwapunguza ndio mtajua athari za hii kauli ya Jana.
Nasikia huko Machame baba Mdogo wa Mbowe kavuta kisa mwanae kaitwa gaidi......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom