Athari zinazoweza kujitokeza kutokana na ugonjwa wa Homa ya mapafu kwa Mtoto

Athari zinazoweza kujitokeza kutokana na ugonjwa wa Homa ya mapafu kwa Mtoto

OCC Doctors

Senior Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
113
Reaction score
172
Mtoto mwenye homa ya mapafu (pneumonia) ambayo haijatibiwa inaweza kusababisha jipu kwenye mapafu (Abscess formation), utiririshaji wa usaha au maji kwenye mapafu (empyema), kuanguka kwa mapafu (atelectasis) ambapo hutokea wakati hewa inatoka kwenye mapafu, kisha hewa hujaza nafasi nje ya pafu kati ya pafu na ukuta wa kifua (Pneumothorax), kuharibika kwa bomba za hewa (Bronchiectasis), moyo kushindwa kusukuma damu ipasavyo (Cardiac failure), mchafuko wa damu na Ugonjwa wa Uti wa mgongo (Meningitis).

345605738_527637576046799_53653627813111072_n.jpg
 
Back
Top Bottom