OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Kwa hiyo wewe una amini Mungu hayupo?Unapoona kitu usichokijua kwa mara ya kwanza ni vyema ukatumia muda mwingi kukidadisi ili upate majibu sahihi kuliko kutoa majibu kihisia
Na hata kama jitihada zako za kutafuta majibu zikishindikana basi busara ni kukubali kuwa hujui, na sio kutoa fursa kwa majibu yasiopitia uchunguzi kuwa ndio chanzo.
Swali lako sijalielewa
Unaongea haya sababu una mapokeo ya dini.Ushswahi kujiuliza vipi walioleta dini huku kwetu afrika wasingefika,ungekua na imani gani kumuhusu mungu nowSalaamu wakuu.
Niende Moja kwa moja kwenye mada.
Utakuta mtu anasifia gari ; "Hii gari kiboko kweli mainjinia wake walikuna vichwa balaa katika usanifu na gari hii haina mpinzani kwani katika kila nyanja ipo okay", ilmuradi tu gari litasifiwa hata kama linazo kasoro na mapungufu fulani.
Hao hao ma atheists utawasikia tena wakisifia; "Hii computer achana nayo, inakasi kubwa balaa utadhani haikundwa na.binadamu bali imedondoka kutoka mbinguni".
Ma atheists hawaishi hapo tu, hebu wakaribishe kwenye pilau utawasikia; "Aise huu msosi kiboko, mtamu kweli, sijui kapika nani !!? Mpishi katoka wapi??!, pasi shaka umepikwa na mtu kutoka pwani kwani watu wa bara hawawezi mapishi ya aina hii !! ".
Huyo atheist anatoa madai kana kwamba huyo mpishi anamjua na kamuona!!, sasa kwa utani tu jaribu kumwaambia kwamba msosi huo umejipika wenyewe!!, utashambuliwa kwa kejeli na matusi na kupewa majina mabaya ya kukutoa akili, utawasikia wakisema; wewe unamatatizo kichwani mwako inawezekanaje chakula kijipike chenyewe??!!.
Sasa njoo kwenye uumbaji wa dunia na uwaulize; je hawaoni uzuri wa dunia na vilivyopo juu yake, navyo havijaumbwa??, hakuna nafsi iliyoumba dunia.na ulimwengu??, endelea kuwahoji; kama wapo Ma engineers waliounda lile gari, ile computer na yupo mpishi aliyepika lile pilau safi vipi akosekane Yule aliyeumba dunia safi na vilivyomo??--- hapo akili zao zinashikwa na wazimu kwani wanajua ni lazima Mungu atajwe katika uumbaji wa dunia na vilivyomo na wao kusikia jina Mungu kwao ni ugonjwa wa mzio (allergy), sasa watakuuliza; Huyo Mungu yuko wapi??!, ukiwajibu; Mungu huwa haonekani, waona wamepata silaha, watahoji; tutaaminije kitu kisichoonekana ndio kimeumba hii dunia??-- wanasahau kwamba hata ile pilau waliokula hawakumuona mpishi wake lakini wanaamini ilipikwa na mtu-mpishi lakini wakiambiwa Kuna muumba Mungu wa dunia na ulimwengu hawataki kusikia.
Ewe Mungu wasamehe hawa viumbe wako na uwaongoze katika njia zako na uwaondoshee kibri na majivuno.
Jibu rahisi,hajawahi kumuona??Kwa hiyo wewe una amini Mungu hayupo?
Je unaweza kudhibitisha kuwa hayupo?
Kwani wazee wa zamani walioabudu mizimu walimuamini Mungu yupi?Unaongea haya sababu una mapokeo ya dini.Ushswahi kujiuliza vipi walioleta dini huku kwetu afrika wasingefika,ungekua na imani gani kumuhusu mungu now??
Kutokumuona hakudhibitishi kuwa hayupo.Jibu rahisi,hajawahi kumuona??
Hawapo wangekuepo tungewauliza.Swali zuri ila usiwajibie mkuuKwani wazee wa zamani walioabudu mizimu walimuamini Mungu yupi?
Kua mkweli mkuu.Binadamu wengine mpaka waone ndio waamini na usiwalaumu.Ndio tabia yetu kama viumbe hai au wanyama.Kutokumuona hakudhibitishi kuwa hayupo.
Ukweli upi uo atheist anautafuta ambao haupo?Ni kichekesho, naona ni kinyume chake. Anaeamini kitu kisichoonekana vipi? Unaamini ili uelewe au unaelewa ili uamini? Atheist anasema "elewa ili uamini" let me tell you "doubting is the source of knowledge" you don't even doubt you just believe! Let me order you "come out from the cave" anyway, the first cause is there but don't waste your time searching for that, nobody with the truth, the atheists are still searching for the truth.
Mungu ndiye anajua ningekuwa na imani gani,
Wewe upepo unauona? Lakini upo. Kwanini wasiamini kuwa Mungu yupo!?Kua mkweli mkuu.Binadamu wengine mpaka waone ndio waamini na usiwalaumu.Ndio tabia yetu kama viumbe hai au wanyama.
Upepo unaweza kupimwa kisayansi?Wewe upepo unauona? Lakini upo. Kwanini wasiamini kuwa Mungu yupo!?
Unachokidai kuwa ulikielezea hukukielezea katika namna sahihi inayopaswa kuwaHatua ya mwanzo nimeieleza Mimi na ndipo msingi wa swali ulipo. Wewe unakuja kuleta mambo ambayo hausiani. Msingi wa swali umemili kwenye uhalisia.
Kama hakuna haja ya kuwepo kingine ili uthibitishe kingine niambie unawezaje kuthibitisha Mungu yupo bila kutegemea kitu kingine?Ndiyo maana nikasema hivi hakuna haja ya kuwepo kingine ili uthibitishe kingine,
Uhalisia upi?ndiyo maana naongelea uhalisia.
Mimi ndio nilikuuliza hilo swaliNilikuuliza kulingana na ulichokidai kuwepo backup. Kwamba Kuna ulimwengu mwingine ambao ulishawahi kuwepo ili hoja yako iwe kweli kwamba Muumbaji hayupo ?
Dhana ya kumbwa au kujiumba umeipatia wapi?Safi, imekuwaje ulimwengu ukawepo ? Je umetokea pasi na chochote au umejiumba ? Hakuna swali lingine zaidi ya haya mawili. Jibu swlai hili.
Kwa vipi kitokuwepo kwa rekodi kuonyeshe ya kuwa ulimwengu haujaumbwa ? Unauliza swali la uongo ambalo linaenda kinyume na uhalisia.
Utasemaje kuwa kitu fulani kimeumbwa wakati hakuna records yeyote iliyowahi kutokea kuonesha uumbaji upo ili kui support kauli yako?Hujaonyesha haja ya ulazima wa kuwepo backup kijana. Hili Bado unalazimisha. Maana yake kutokuwepo kwa backup Kuna hitimisha nini juu ya ulimwengu kwamba haujaumbwa ? Kama haujaumbwa umejiumba wenyewe au umetokea pasi na chochote ? Jibu hili swali.
Nataka uonyeshe ulazima wa kuwepo kwa hiyo backup.
Mtu anayesema nyumba inajengwa anakuwa na sababu ya kiuzoefu na hicho kitu inayomsapoti hoja yake kuwa nyumba zinajengwa.Jibu swali nililo kuuliza.
Uhalisia unaujuaje?Hili ni swali la kitoto sana. Sijakuwepo ila uhalisia unaonyesha ulimwengu umeumbwa na kupangiliwa mpaka ukawa hivi ulivyo. Kadhalika aliye umba amethubitisha Hilo Toka kwenye vitabu vyake.
Sasa wewe onyesha kinyume chake, na utonyeshe ukweli wa madai yako.