Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

Ni kichekesho, naona ni kinyume chake. Anaeamini kitu kisichoonekana vipi? Unaamini ili uelewe au unaelewa ili uamini? Atheist anasema "elewa ili uamini" let me tell you "doubting is the source of knowledge" you don't even doubt you just believe! Let me order you "come out from the cave" anyway, the first cause is there but don't waste your time searching for that, nobody with the truth, the atheists are still searching for the truth.
 
Jua linathibitishika kua lipo, linapimika nyuzi joto lake, linathibitishika kwa macho hadi kwa vipimo special

Na ndio maana huwesi kuta mjadala kuwa jua lipo au halipo

Baba yangu mzazi kuwa mkubwa kiumri hiyo ni factual ya statistics lakini bado haikunyimi nafasi ya kuweza kuthibitisha. Vipo vipimo vinavyopima umri wa vitu
Huu utoto unaelewa swali langu ? Kuwepo kwa jua hakuhitaji ithibati kijana. Sababu ni Self Evident. Kuhusu kipimo Cha joto la jua unaweza kutupa ushahidi walio pima jotoridi la Jua walipimaje pimaje ? Naona umeingia sehemu ambayo si yako.

Huwezi Kuta mjadala wa jua sababu hakuhitaji ushahidi kuonyesha uwepo wake, sababu linaonekana. Kitu ambacho kinahitaji ushahidi ni kile amabacho siyo "Self Evident". Kama uwepo wa Mola hauhitaji ushahidi sababu ni "Self Evident". Mnao hitaji ushahidi ni wagonjwa wa akili na msio utaka ukweli, japo ishara za kuonyesha uwepo wa Mola ziko nyingi sana.

Kijana una akili ndogo sana, tuoe ushahidi ambao unahitajika kuthibitisha ya kuwa baba ako mzazi aliye kuzaa ni mkubwa kuliko wewe. Au ushawahi kusikia wapi wanathibitisha hili au kujadili hili ?

Ni wakati gani vipimo hivyo hutumika kupima umri ? Nataka ujenge hoja kwa mfano nilio utoa wa baba mzazi na mtoto. Halafu mnakataa kama hamna akili timamu.
 
Huu utoto unaelewa swali langu ? Kuwepo kwa jua hakuhitaji ithibati kijana. Sababu ni Self Evident. Kuhusu kipimo Cha joto la jua unaweza kutupa ushahidi walio pima jotoridi la Jua walipimaje pimaje ? Naona umeingia sehemu ambayo si yako.

Huwezi Kuta mjadala wa jua sababu hakuhitaji ushahidi kuonyesha uwepo wake, sababu linaonekana. Kitu ambacho kinahitaji ushahidi ni kile amabacho siyo "Self Evident". Kama uwepo wa Mola hauhitaji ushahidi sababu ni "Self Evident". Mnao hitaji ushahidi ni wagonjwa wa akili na msio utaka ukweli, japo ishara za kuonyesha uwepo wa Mola ziko nyingi sana.

Kijana una akili ndogo sana, tuoe ushahidi ambao unahitajika kuthibitisha ya kuwa baba ako mzazi aliye kuzaa ni mkubwa kuliko wewe. Au ushawahi kusikia wapi wanathibitisha hili au kujadili hili ?

Ni wakati gani vipimo hivyo hutumika kupima umri ? Nataka ujenge hoja kwa mfano nilio utoa wa baba mzazi na mtoto. Halafu mnakataa kama hamna akili timamu.
Utasemaje hakuhitaji ithibati wakati tayari ushatumia ithibati za milango ya fahamu kukuonesha jua lipo?

Hakuhitaji ushahidi kwasababu kila mtu anathibitisha kupitia milango yake ya fahamu ngozi na macho

Mkitaka kwenda extra mnaweza kutumia vifaa kupima ku calculate nyuzi joto na distance lilipo.

Hakuna cha self evident truth

Biological Fact imasema kwamba mtoto hawezi kuwa mkubwa kumzidi mzazi kwasababu mzazi anatakiwa awe na umri wa kutosha kuweza kuzalisha mayai na sperm ambapo mchalato huo hutumia miaka mingi mpaka kukamilika.

Utasemaje haiwezekani kuthibitisha?

We unaona ishu ya baba kuwa mkubwa ni complex sana kiasi isihitaji uthibitisho kuliko fossil za miaka elfu zilizogunduliwa age zake kupitia carbon14?

Wakati gani kwa maana ipi?

Naona unauliza swali ilimradi tu
 
Mbona unauliza swali ambalo kila sku linajibiwa dunia imejitengeneza yenyewe hakuna mtu alie husika
Hili jibu sijawahi kujibiwa ila leo. Tuthibitishie hili. Kingine utuonyeshe kitu kinawezaje kujitengeneza chenyewe.
 
Utasemaje hakuhitaji ithibati wakati tayari ushatumia ithibati za milango ya fahamu kukuonesha jua lipo?
Kijana akili huna. Milango ya fahamu inakuwaje ithibati ? Naposema unapo ona jua, maana yake ushaliona tayari. Kuona kwako jua Kuna hitaji ushahidi gani kuonyesha jua lipo ? Elewa ithinati na ala ya kuona ithibati. Ithibati siyo hicho au milango ya fahamu ithibati ni kule kuwepo kwake.
 
Mkitaka kwenda extra mnaweza kutumia vifaa kupima ku calculate nyuzi joto na distance lilipo.
Wakina nani washawahi kwenda, sababu ulisema kuhusu jotoridi la Jua. Au ulisikia tu kwa watu na wewe ukabeba ?
 
Kijana akili huna. Milango ya fahamu inakuwaje ithibati ? Naposema unapo ona jua, maana yake ushaliona tayari. Kuona kwako jua Kuna hitaji ushahidi gani kuonyesha jua lipo ? Elewa ithinati na ala ya kuona ithibati. Ithibati siyo hicho au milango ya fahamu ithibati ni kule kuwepo kwake.
Sasa kuona si umetumia macho ambayo ni moja ya milango ya fahamu?

Kuona kwako jua ndio ushahidi wenyewe kuwa jua lipo, otherwise uhitaji further explanation ili ujue kiundani zaidi mechanisms ya jua na ufanyaji kazi wake
 
Hakuna cha self evident truth
Kuwepo kwako wewe kunathibitisha uwepo wa vingine. Una kubali Hilo una kataa. Sasa vipi kusiwe na Self Evident Truth. Ukiiona nyumba inakuonyesha mjenzi while nyumba na Msanifu wakez unakataa una kubali ? Sasa vipi Self Evident isiwepo ?
 
Biological Fact imasema kwamba mtoto hawezi kuwa mkubwa kumzidi mzazi kwasababu mzazi anatakiwa awe na umri wa kutosha kuweza kuzalisha mayai na sperm ambapo mchalato huo hutumia miaka mingi mpaka kukamilika.

Utasemaje haiwezekani kuthibitisha?
Kujua hili hakuhitaji Bailojia kijana, hii ni Self Evident Truth ndiyo maana watu hawashughuliki kujua kati ya baba na mtoto nani mkubwa. Uwe unajibu maswali ninayo kuuliza.
 
Mkuu mi kama atheist nashukuru kwa busara yako kwa namna ulivyoamua kutuita

Ila ulichosahau ni kitu kimoja

Watu wanasifia magari, Pc nk kutokana na comparison walizofanya za kuangalia ufanisi wa bidhaa moja dhidi ya bidhaa nyingine.

Hao atheist wanaosifia magari, computer nk, wanafanya hivyo kwa references.

Kwamba watu wanasema hii bidhaa ni bora kwasababu kuna specs hii ambayo kwenye bidhaa hii nyingine haipo

Viwanda vinavyotengeneza hizo bidhaa vinathibotishika kuwa vipo bila kuhitaji kitu kingine cha ziada kama ishara ya kuonesha ndio source ya hizo bidhaa

Huyo mtu hawezi kushindwa kukuthibitishia kampuni la Dell au Hp kuwa lipo.

Ni maswala ya taaluma ambayo kila mtu anaweza akafanya akifundishwa.

Sasa

Unaposema huu ulimwengu umesababishwa na Mungu, references yako inakuwa nini?

Tunaweza tukathibotisha hicho chanzo bila kutumia kitu kingine kinachopimika kuwa ndio ithibitisho wa Mungu asiyepimika?

Lakini pia

Unaposema huu ulimwengu ni bora au umekamilika unakuwa umeupima na kuufananisha na ulimwengu gani mwingine mpaka ukafikia hitimisho kuwa ulimwengu huu mzuri?

Aliyesema laptop Hp omen ya gaming ni bora aliangalia toleo la chini yake au alifananiaha na brand nyingine kwenye maswala ya kiuwezo akaona Hp Omen ni laptop bora

Sasa ulimwengu huu mnaosema ni mzuri au ni bora, ni bora ukiufananisha na ulimwengu upi?
Ubongo wako Hauna shabaha,umeshindwa kung'amua hoja ya mtoa mada...Soma Tena toka mwanzo,taratibu
 
Kuwepo kwako wewe kunathibitisha uwepo wa vingine. Una kubali Hilo una kataa. Sasa vipi kusiwe na Self Evident Truth. Ukiiona nyumba inakuonyesha mjenzi while nyumba na Msanifu wakez unakataa una kubali ? Sasa vipi Self Evident isiwepo ?
Hapo ume assume

Hiyo ni fallacy of self evident truth
 
Kujua hili hakuhitaji Bailojia kijana, hii ni Self Evident Truth ndiyo maana watu hawashughuliki kujua kati ya baba na mtoto nani mkubwa. Uwe unajibu maswali ninayo kuuliza.
Linapokuja swala la uthibitisho huwa haupaswi kutumia mazoea
 
Kwasababu ubongo wangu sio sniper
Yeah sure,ukienda porini ukakuta Kuna nyumba,hiyo nyumba itakua imejijenga yenyewe au Kuna mtu kajenga!?...swali rahisi tu,natarajia jibu fupi
 
Back
Top Bottom