Yes, mtu yoyote mwenye akili timamu akiona Roboti au gari, au simu atajua tu kama hivyo vitu vimeumbwa.., Kwasababu gari, Roboti na simu haviwezi Kujiumba vyenyewe..., So tayari huo unakua uthibitisho kwamba hivyo vitu vimeumbwa!Hapa umetumia uumbaji kama utengenezaji maana nina maswali mengi sana....
Wakati unafanywa huo uchunguzi kunakuwa na hiyo recognition ya uumbaji kwamba ni jambo ambalo linafahamika kwasababu record zinaonesha lishawahi kuthibitishwa?
Yani hao watu wanotafiti wanakuwa wana hiyo concept ya personal experience iliyowahi kuthibitishika kuwa uumbaji upo?
Napinga kulingana na reference za atom zilivyoelezwa na sayansiMwanzo, ulisema hujui kuumbwa ni nini...
Now unabisha , that means kuna maana ya kuumbwa unayoifaham.
Kwa lengo la kujifunza, tupe hiyo maana ya kuumbwa unayoifaham.
Pia kuna swali naomba nikuulize kwa lengo la kujifunza, nichukulie Mimi kama mwanafunzi wako Mkuu.... Kati ya Dunia na Mtu kipi cha kwanza ku_exist?
Toa neno kuumbwa hapoYes, mtu yoyote mwenye akili timamu akiona Roboti au gari, au simu atajua tu kama hivyo vitu vimeumbwa.., Kwasababu gari, Roboti na simu haviwezi Kujiumba vyenyewe..., So tayari huo unakua uthibitisho kwamba hivyo vitu vimeumbwa!
Ukisema natural unamanisha ni kitu ambacho Mungu hapaswi kuhusika nacho kwa athari zake kwasababu kinafanyika bila approval yake?Watu wanakufa duniani ni natural lqzima tufe
Mimi sipo kwenye masuala ya dini. Nipo hapa kujifunza zaidi.... Neno "KUUMBA" sidhani kama ni lazima ulihusishe na dini... Mfano mtu anaweza kusema"Nimeumba Tonge" na anakua yupo sahihi ✅Napinga kulingana na reference za atom zilivyoelezwa na sayansi
Sayansi haiongelei vitu katika angle ya uumbaji.
Uumbaji ni dhana inayopatikana kwenye dini that's why kuna creation theory inayojihusisha na dini na kuna evolution ya kisayansi
Sasa ukiniambia atom zimeumbwa itabidi uniambie ni sayansi ya wapi hiyo iliyokuwa inapimgana na creation wakati nayengewe inajihusisha na masala hayo hayo
Kuhusu swali lako sijui majibu yake
Nikupe maana ya kuumbwa?
Kuumba ni wazo la kiimani katika dhana ya dini lenye kuhusisha miujiza kwa process ya Mungu kufanya kitu kuwepo pasipo kutegemea chochote (from nothing to something)
Uumbaji unafanyika kwa kutaja tu kitu na hicho kitu kinatokea.
Kwa muktadha wa dini uliumbwa ulimwengu na vilivyomo kwa kutamkwa tu na huo ndio uumbaji
Lakini kwenye ishu ya mtu haikuwa uumbaji, ulifanyika utengenezaji kwa kuchukua udongo (ambao upo) na kuufinyanga kupata product nyingine (mtu) kisha huyo Mungu akaupulizia pumzi
Ni jambo ambalo ni la kufikirika halijawahi kuthibitishwa
At least ungejibu hivi
Kufa ni kubaya, mpaka kukifikia hicho kifo watu wanapitia mateso makubwa sanaKufa si kubaya mara zote maana unapokufa unatoa nafasi kwa maisha mengine kuanzia mabaki yako mpaka resources tunazohitaji ili tuishi
Hautakuwa sahihiMimi sipo kwenye masuala ya dini. Nipo hapa kujifunza zaidi.... Neno "KUUMBA" sidhani kama ni lazima ulihusishe na dini... Mfano mtu anaweza kusema"Nimeumba Tonge" na anakua yupo sahihi ✅
Hivyo, basi hiyo maana uliyotoa hapo sio lazima iwe sawa bali inategemea na muktadha ambao utaamua kulitumia hilo neno.
Nadhani,, tupo pamoja Mkuu Scars
Huko tuendako wapi?Kuhus space kutanuka ni kwamba huko tuendako yani afterlife kama physical space is your concern basi usijisumbue maana nafasi inatanukq kwa kasi sana kila sekunde
Kuna kitu gani hapa duniani unachotumia ambacho kinajizalisha chenyewe? Ushahidi wa Mungu wa kuumba kila kitu mbona uko wazi mkuu? Ushahidi unaanzia hapa, Ikiwa, kila kitu unachotumia wewe sasa hivi, iwe ni simu au nyumba unayolala imejengwa na mtu basi hata hii dunia kuna nguvu iloyotengeneza. Na nguvu hiyo ndiyo tunayo iita Mungu.Ushahidi wa Mungu kuumba dunia na vingine uko wapi kama yeye alitoka from nothing kwanini sisi isiwe ivo?
Basi hapo utakua unalazimisha maana mkuu,...Hautakuwa sahihi
Ili uwe sahihi hilo tonge unabidi uliumbe from nothing to something
Katika zile post zangu ambazo hujauliza hili swali, ulikuwa unajibu ukiwa unajua kuwa ni maoni ya nani?Hayo ni maoni yako au una literature backing?
Kamq maoni yako uko huru kusema chochote
Nimekujibu scripture ambayo imedaiwa kuwa ni maneno ya Mungu au kuandikwa na watu walioongozwa na MunguHujajibu swali
Umetaja umetoa kwenye scripture nakuuliza which scripture?
Mkuu siyo vitu vyote vinalinganishika na vitu vingine. Kwa mfano kama wewe hivi tutakulinganisha na nani hapa duniani? Ulimwengu ni mmoja tu mkuu kutokana na aliyetengeneza huu ulimwengu kuamua uwe mmoja.Mkuu mi kama atheist nashukuru kwa busara yako kwa namna ulivyoamua kutuita
Ila ulichosahau ni kitu kimoja
Watu wanasifia magari, Pc nk kutokana na comparison walizofanya za kuangalia ufanisi wa bidhaa moja dhidi ya bidhaa nyingine.
Hao atheist wanaosifia magari, computer nk, wanafanya hivyo kwa references.
Kwamba watu wanasema hii bidhaa ni bora kwasababu kuna specs hii ambayo kwenye bidhaa hii nyingine haipo
Viwanda vinavyotengeneza hizo bidhaa vinathibitishika kuwa vipo bila kuhitaji kitu kingine cha ziada kama ishara ya kuonesha ndio source ya hizo bidhaa
Huyo mtu hawezi kushindwa kukuthibitishia kampuni la Dell au Hp kuwa lipo.
Ni maswala ya taaluma ambayo kila mtu anaweza akafanya endapo akifundishwa.
Sasa
Unaposema huu ulimwengu umesababishwa na Mungu, references yako inakuwa nini?
Tunaweza tukathibitisha hicho chanzo bila kutumia kitu kingine kinachopimika kuwa ndio uthibitisho wa Mungu asiyepimika?
Lakini pia
Unaposema huu ulimwengu ni bora au umekamilika unakuwa umeupima na kuufananisha na ulimwengu gani mwingine mpaka ukafikia hitimisho kuwa ulimwengu huu ni mzuri?
Aliyesema laptop Hp omen ya gaming ni bora aliangalia toleo la chini yake au alifananiaha na brand nyingine kwenye maswala ya kiuwezo akaona Hp Omen ni laptop bora
Sasa ulimwengu huu mnaosema ni mzuri au ni bora, ni bora ukiufananisha na ulimwengu upi?
Bado unarudi pale paleNami nimekueleza kuwa kama wewe huelewi utendaji wake haina maana amekosea
Na ili awe sahihi (kwq mtazamo wako) halazimiki kuendana na maoni yako scars
Kumbe ukiachana na sifa ya upendo wote ambayo inapingana na ulimwengu huu, kumbe pia hana uwezo woteAbsolutely, na mpia ni mkali wa kuadhibu.
Kwanini ushindwe kuthibitisha mlima Kilimanjaro upo bila kutegemea uwepo wa kitu kingine?Kwanini unaandika uongo. Nakupa angalizo kuna vitu kama huvielewi usiwe una vipinga, bora kwako uulize. Unajua maana ya ishara ? Unatenganisha vipi ishara na aliyeweka ishara ? Gari ni ishara kuwepo Msanifu wa gari. Sasa hoja yako ni ipi hapo ?
Unathibitisha vipi kitu pasi na kitu kingine ( angalizo hili ni tofauti na lile sharti lako, usije kuchanganya hapa).
Nikujibu mara ngapi ? Uhalisia upo haina mbadala kijana. Uwe unasoma nanchokiandika. Uhalisia haupingani na akili iliyo salama.
Kupotoka ni katika udhaifu aidha wa vitendea kazi au muhusika mwenyewe ila uhalisia upo.
Kitaje sasa halafu tukione ni kwa namna gani hicho kitu sio halisiUulize maswali ya maana. Chochote ambacho kipo kinyume na hali halisi, hicho hakipo kama kilivyo. Kwahiyo ni juu yako kuangalia kipi ni kipi.