Nielimishe evolution inavoendelea kutokea please with proof kama ilivosemaYani hawa mjadala ni simple sana kuumaliza, waprove tu kwamba mungu yupo basi. Halafu why wamtetee kama yy ni higher being, why asijitetee mwenyew?
Evolution tunaweza kuiprove maana tunaona bado inaendelea kutokea, na wao waprove uumbaji basi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tunaamini dunia imeumbwa. Wapi tumesema alitoka from nothing?Ushahidi wa Mungu kuumba dunia na vingine uko wapi kama yeye alitoka from nothing kwanini sisi isiwe ivo?
So u still proving that life might be came from somewhere not from nothing. Kama hizo meteorite zilikuwa na componets za life(dna) na zika crush hapa duniani ambazo my be ndio zilizoform life as we know it billions years agoAya yako ya mwisho, naipinga. Sio necessary kuwe na muumbaji. Miaka ya 2010s ilicrush meteorite moja duniani, ilikua na components za DNA! Scientists wakachunguza wakaona ungeweza kutengeneza cell hai kupitia hio meteorite. Kilipotoka ndio hatujui..
Okay, nilikua ninatafuta jina ya hio meteor, nimeona kumbe ni since 1969 vitu kama ivo vinagunduliwa, na in multiple places. Kwahio in right conditions in time probably biotic would form.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhh Mkuu ushahidi atautoa wapi hapo..... Atasema tu hajui anasubiri wanasayansi wamtafutie ushahidi.Mkuu assume hauna ushaidi wa wewe kuumbwa na kesi imekushinda then turudi kwake atupe ushahidi wa yeye kutokuumbwa na namna hii universe ilivo happen to be
Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
Kwani we tayari ushauelewa ulimwengu?Mzee hamuwezi hata kuulewa ulimwengu wenyewe vizuri leo mnataka muelewe kuhusu celestial being out of your own realm
Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
Wanadini Kwa upande wenu Kuna mahali mnakosea, mtu anapokua na mtazamo tofauti na wenu mnamshambulia na maneno ya kejeli mf: ana akili ndogo, ana upungufu wa akili, utindio wa ubongo,Huu utoto unaelewa swali langu ? Kuwepo kwa jua hakuhitaji ithibati kijana. Sababu ni Self Evident. Kuhusu kipimo Cha joto la jua unaweza kutupa ushahidi walio pima jotoridi la Jua walipimaje pimaje ? Naona umeingia sehemu ambayo si yako.
Huwezi Kuta mjadala wa jua sababu hakuhitaji ushahidi kuonyesha uwepo wake, sababu linaonekana. Kitu ambacho kinahitaji ushahidi ni kile amabacho siyo "Self Evident". Kama uwepo wa Mola hauhitaji ushahidi sababu ni "Self Evident". Mnao hitaji ushahidi ni wagonjwa wa akili na msio utaka ukweli, japo ishara za kuonyesha uwepo wa Mola ziko nyingi sana.
Kijana una akili ndogo sana, tuoe ushahidi ambao unahitajika kuthibitisha ya kuwa baba ako mzazi aliye kuzaa ni mkubwa kuliko wewe. Au ushawahi kusikia wapi wanathibitisha hili au kujadili hili ?
Ni wakati gani vipimo hivyo hutumika kupima umri ? Nataka ujenge hoja kwa mfano nilio utoa wa baba mzazi na mtoto. Halafu mnakataa kama hamna akili timamu.
Sio probably,... It's surely not!
Halafu hapo hapo na wewe umthibitishie kwamba MUNGU yupoHili jibu sijawahi kujibiwa ila leo. Tuthibitishie hili. Kingine utuonyeshe kitu kinawezaje kujitengeneza chenyewe.
Anataka umuonyeshe huyo mjenzi wa dunia na ikiwezekana umpeleka alipo Ili wazungumzeMbona maelezo insha babu!!?..miguu SITA na blaa blaa zingine ni jitihada zako za kutaka kufukia uwepo wa mjenzi,turudi kwenye dunia yetu na vilivyomo,kwa mpangilio wake,vipi akili yako haikutumi kwamba Kuna mjenzi wa dunia Kama ile nyumba kule porini!?
Sasa mwenzio kakataa kukubali mpaka tafiti za kisayansi zithibitishe uwepo wa huyo aliyeumba ndio mnapotofautiana Imani inakuja Kwa kusikia na kuamini ila sayansi inataka uthibitisho usioacha shaka au maswali na hii ndio tofauti ya Imani na sayansiKwa hiyo scars, unafikiri ni nini chanzo cha dunia? Je, ilijiweka yenyewe?! Labda nikuulize kitu kimoja; katika tafiti nyingi zinazofanyika, kwa jambo lolote lile, je, wanasema matokeo (findings) waliyopata ndio majibu ya mwisho katika utafiti huo? Mbona wanapoishia wanaruhusu watu wengine waendeleze; kwa maana walipofika wao sio mwisho wa utafiti? Sasa hilo 'gap' ambalo wameshindwa kulifidia ndio nguvu ya Mungu mwenyewe! Hawawezi kumfikia Mungu, na huo ndio mpaka kati yetu na Mungu. Jamani, ifike mahali tukubali kuwa kuna natural power, ambaye ndio Mungu mwenyewe!
So kama haukutokea accidentally ni mungu ndo kautengeneza? Hivi huwa mnafikiria kwa kutumia nini enyi watu?Ok embu tulieweke suala la mungu pembeni basi tusaodie tupate maarifa namna ya huu ulimwengu na uhai na mwili wa viumbe hai ambao upo very complicated ulivojitokeza. Maana it soo sophisticated and systematic to happen accidentally
Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
Yap kiimani upo sahihi kabisa kabisa ila kisayansi huwezi kuthibitisha ndio maana tafiti zinaendelea mpaka tupate majibu upande wa sayansi maana upande wa kiimani mlishapata majibu japo bado ni theorySo hoja yako ni kutoonekana kwa huyo Mungu tunayeamini yupo siyo,ok..site tunaamini umeme upo,kadhalika upepo,lakini ulishawahi uona umeme au upepo!?..laa hasha,Bali tunaona athari zake,umeme kupitia taa zinazowaka au vifaa vingine vya umeme na upepo kwa namna upeperushavyo vitu na tunavyou-feel,Sasa dunia Inajizungusha kwenye muhimuli wake na kuzunguka jua ili tupate majira ya mwaka ambayo yanasapoti maisha yetu,dunia Ina zone yenye hewa ambayo tunatumia pua kupumua ili tuendelee kuwa hai,pua ilijuaje kwamba duniani Kuna hewa tutahitaji Vuta Hadi ikawa pale,macho yalijuaje Kuna mwanga utakaoyawezesha kuona yakawa hapa!?..hii ni dalili kwamba Kuna mtu alipanga haya na akaya-engineer
Hapo ndipo ugumu ulipo sasa wa chanzo kisichokua na chanzoYeye Hana chanzo,ni chanzo Cha vyanzo
Katika teleological arguments za kuthibitisha uwepo wa intelligent designer, hii analogy ya watchmaker ni hoja dhaifu mnoKinachonishangaza hawa watu ukiwaambia injini ya gari imejitengeneza kwa bahati tu watakwambia injini too sophisticated to happen accidentally ila ishu ya hivi viumbe na hii very complicated and systematic universe wanadai imetokea accidentally bila ya kuwa na creater
Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe unaamini Mungu yupo ila Hana chanzo wengine wanaamini dunia IPO ila Haina chanzo halafu mnachekana[emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]Ndio maana tunasema natural power; Mungu hana chanzo, bali yeye ndio chanzo cha mengine yote! Unapohesabu unaanza na moja (iwe uelekeo wa kulia au kushoto), lakini vyote hivyo vinapimwa kutokea 'origin'. Mungu ni alfa na omega!
Wacha maswali weka majibu au natumia lugha ngumu huelewiHutaki ndefu?
Sasa kama dunia Ina chanzo Kwa Nini huyo aliyeumba asiwe na chanzo? Swali lipo hapoHaiwezekani pawe na barabara na alama za barabarani halafu pasiwepo aliyejenga barabara na kuweka alama
Atajuaje kuwa ile ni nyumba na hawakuwahi kuiona kabla?Kwa mtazamo wangu Mtu ambaye hajawahi kuiona Nyumban akioneshwa atajua tu kwamba hii ni NYUMBA.
NAJUA UNAJIULIZA KIVIPI?
Okay, ipo hivi kwanza tunapaswa tujue Nyumba Ni Nini?!
Nyumba ni jengo lenye shabaha au lengo la kuwapa watu makazi au nafasi ya kuishi humo"
hivyo basi mtu mwenye akili timamu hata kama hajawahi kuiona nyumba, akionyeshwa jengo linarohusu watu kuweka makazi au Kuishi humo, ATAJUA TU KWAMBA HII NI NYUMBA!
Hupo hapa kutufundisha kuhusu Mungu au hata hujui kuhusu Mungu?Mimi sipo hapa kukufundisha kuhusu Miungu mingine.
Hiyo ni Miungu inayoabudiwa na watu tofauti tofauti na ipo very compatibility na mada inayojadiliwa hapa
Na wewe kwasababu umesema kuwa Mungu ukimuamuda na ukatenda mema utapata pepo basi mimi nimekupa hiyo list ya Miungu unitaji kati hao ni yupi ambaye ana hiyo pepo?
Kwa hiyo angalia hapo kwenye list tafuta Mungu wako unayemzungumzia utuambie ni yupi kama na humuoni unaweza ukatuambia jina lake