Atheists wana mtindio wa ubongo

Kwenye huo upendo yupo limited kiasi kuna vitu hawezi kuvifanya kwa upendo wote?

Ni upendo ambao uko perfect au ni kama huu tulionao sisi ambao unaweza kuathiriwa na vitu vingi ikiwa na mapungufu yetu?
Mkuu ana Upendo

Upendo wake haulazimiki ku conform na matatarajio yako

Kaumba. Dunia unayoiona haipo perfect na kuna pepo huko ambako kila
Mwenye matamanio yake yatatimia

Umeelewa?
 
Zipo nyingi ndio nini sasa?
Asee ndio maana nilikuuliza are u familiar with semantics? Mpaka leo hujajibu

Nikakuuliza elimu yako ulisomea nini hujajibu

Nimekwambia taja hizo SIFA maana zipo nyingi naona wewe umekwamia kwenye Ujuzi na Upendo tu

Au hata hujui Mungu unaemzungumzia ana sifa gani? Na kama hujui kwanini usingeanza kwa kusoma au kuuliza ukaambiwa ili unapoingia uwe na data kamili?

Taja sifa zote unazojua kuhusu Mungu kijana wacha kuzunguka mbuyu

Zipo nyingi ina maana hizo nilizokutajia sio za kweli hazimuhusu huyo Mungu wako?
Nakuuliza tena are u familiar with semantics?😂
Umetaja sifa chache, nakutaka utaje nyingi, wew una assume kuwa ulizotaja haziko sahih😂

Hebu nitajie elimu yako nitatute namna ya kukufit kuelewe (no offense)
 
Aliyejenga dunia nani!?..maana ile nyumba ya porini tumekubalia a sharti palikua na mjenzi
Palikua na mjenzi ndio, na huyo mjenzi ana chanzo chake Kwa maana kwamba ana waliomzaa sasa vipi kuhusu huyu mjenzi wa Dunia maana Kila kitu kina chanzo? Hili ndio hamtaki kulijibu
 
Ukisema natural unamanisha ni kitu ambacho Mungu hapaswi kuhusika nacho kwa athari zake kwasababu kinafanyika bila approval yake?
Hapana
Natural ni asili kumaanisha ktk system aliyoumba ambayo ndio hiyo tunaita nature hiyo kitu ipo iko hardwired ndani yetu

nitajie elimu yako mkuu twende sawa (no offense)
 
Soma Second Law of Thermodynamics na mambo ya Entropy hakuna Infinity Series katika uhalisia kijana. Achana na ngano za Wanasayansi na makubaliano ya kimahesabu.

Maumbile yalihitaji chanzi kisichokuwa na chanzo.
Chanzo kisichokua na chanzo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unazingua
 
Katika zile post zangu ambazo hujauliza hili swali, ulikuwa unajibu ukiwa unajua kuwa ni maoni ya nani?
Unaona ulivyo sasa?
Unaulizwa swali badala ya kujibu nawe unauliza swali

Zile post sikua na haja ya kukuuliza ila kwenye hii nimeona haja ya kukuuliza

Kwahiyo jibu kijana usiogope una haki ya kutoa maoni

Halafu nimeuliza kuhus Elimu yako
 
Kufa ni kubaya, mpaka kukifikia hicho kifo watu wanapitia mateso makubwa sana
Am sure hujafanya research kwenye hili

Vipi kuhusu wanaokufa usingizini ambapo uchunguzinukifuata unaonesha hakukua na purukushani za namna yoyote?
Kufa ni kubaya kwasababu kunatutenganisha sisi na wapendwa zetu ambao tulitaka kuendelea kuwa nao pamoja.
Ni kweli, kwa tunaoamini tunatengana nao kwa kitu bora zaidi ambacho ni kukutana na Muumba wetu
Kifo ni kibaya na ndio maana hata masheikh wakiumwa wanakimbilia hospitali kujitibu ili wasife kizembe
Siyo kweli
Ndiyo maana nakuuliza una elimu gani wewe??
Mbona unaongea vitu vya ajabu?
Kifo kisingekuwa kibaya na kwamba kuna maisha mazuri huko mbinguni basi watu wangekuwa wanafurahia kufa.
Again, hujafanya research
Wapo watu wanakufa kwa furaha kwa ahadi kutakuwa na maisha mazuri mbinguni

Una elimu gani kijana? Au ndio umeanza kujifunza JF?😂
Kusingekuwa na hospitali na sasa naona hadi taasisi za kidini ziko mstari wa mbele kujenga hospitali za kisasa na kuwaajiri madaktari bingwa ili tu wazuie kifo
 
Kingine huyu scars Hana hasira kabisa Wala hajapanik japo unamkejeli na dhihaka za Kila aina hii nayo ni tofauti nyingine kati ya wafia dini na watafiti, wanadini mkishindwa na hoja ni jazba halafu matokeo yake kutukana [emoji23][emoji23] Kwa hili hata Mwenyezi Mungu anawashangaa
 
Nimekujibu scripture ambayo imedaiwa kuwa ni maneno ya Mungu au kuandikwa na watu walioongozwa na Mungu

Kama unaonesha wasiwasi niambie kama kuna nafasi kitabu kilichodaiwa ni kitabu cha Mungu kuwa kikawa ni kitabu cha uongo
Kila kitabu kina jina kijana😂

Hujasoma na hujui unachoongelea

Una elimu gani scars? Nisijekuwa najadiliana na mtu ambaye hajasoma zaidi ya makala humu JF
 
Niambie ni sayansi ipi iliyokuwa inapingana na creation theory?
 
Nielimishe evolution inavoendelea kutokea please with proof kama ilivosema

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
Fuatilia tu historia ya mambo. Ila nitakuelezea kdg.
Unajua kua miaka 2000 iliopita, asilimia kubwa ya wanyama tunaowafuga sasa hawakua hivi?

Unajua kwamba karibu 100% ya matunda na mboga tunavotumia sasa havikua hivi?

Hii ni ndizi mbivu, ilivokua zaman vs ilivosasa baada ya kufanyiwa SELECTIVE BREEDING au kwa lugha nyingine "human sped EVOLUTION"!.. duh! Kwa maana hio, given right circumstances ingeweza kuevolve yenyewe naturally, because no genetic cloning was included here!

View attachment 2522638

Na hapa tuna tikiti.



Pia kuna watu wanaitwa "The Bajau"... wao wako adapted na deep diving, na wanauwezo waki dive several meters kuliko average human, na wanakaa kwa muda mrefu zaid kuliko average. Anatomy yao iko slightly different na yetu sie, Spleen kubwa ni kitu kimoja wapo. Sasa hawa tunaweza kusema wako in mid transition!

Ukitaka mifano, ipo mingi zaidi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado unarudi pale pale

This is not about my opinions and POV
Its all about your opinion mkuu
Umedai scripture mpaka sasa hujataja ni kitabu gani

Hiyo inaashiria You are nit familiar with comperative religions kwahiyo hata hujui unadeal na nini

Kutokujua kwako kunafanya nikutupe kwenye group la maoni, so its all about your Opinion and Point of View sababu huna Literature backing 😂
Vizuri sana

Ila mkuu una elimu gani?
 
Kumbe ukiachana na sifa ya upendo wote ambayo inapingana na ulimwengu huu, kumbe pia hana uwezo wote
Mtu anaeweza yote katu haiwezekani kwake kutoweza chochote
Hapo ndipo semantics inakuacha😂
Hana uwezo wote wa kufanya vitu viende kama anavyotaka na ndio maana anachukia kuona vikienda vice versa kwasababu hana uwezo wakufanya mambo yaende kama anavyotaka
Wapi vitu vilienda vice versa akachukia?
Can you prove it?
Im sure u cant, if u can then prove me wrong 😂
 
Mkuu ana Upendo

Upendo wake haulazimiki ku conform na matatarajio yako

Kaumba. Dunia unayoiona haipo perfect na kuna pepo huko ambako kila
Mwenye matamanio yake yatatimia

Umeelewa?
Hii pepo yenu ndio ile unapewa wanawake 70 na mito ya pombe kazi yako ni kulewa na kusex tu? Mbona ni kama danguro sasa[emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Poa.
 
Mtu ambaye kasihi mazingira ambayo hakuna nyumba hakuna kitu chochote kinachoweza kumfanya apate ufahamu wa kujua nyumba

Mtu huyo ukija kumuonesha nyumba, atajuaje kuwa hii ni nyumba?
Naona huna hoja kijana, na hujawahi kuwa na hoja, zaidi ya kucheza na maneno. Unaanza kutengeneza mambo, subiri huyo mtu aje ambaye hajui kuhusu nyumba wala kuhisi.

Kingine kijana unajisumbua Bure, hili ni jambo la kimaumbile shida unafikiri kitoto sana, nukta ya jumla ni kwamba uwepo wa kitu unasadifu yule aliye fanya kiwepo hakuna kinyume chake.

Sasa hapa utaendelea kuruka ruka mpaka basi na hoja huna. Hata yeye huyo mtu uliyemtengenezea mazingira hayo ya kufikirika kimaumbile anasadiki uwepo wa aliye fanya akawepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…