Siyo hatutaki,Bali ukishakiri Pana mjenzi wa dunia kinachofuata tumtafute huyo mjenzi ni yupi..Kisha tutajia chanzo chake,mdahalo hapa ni uwepo wa mjenzi wa ulimwengu (universe)Palikua na mjenzi ndio, na huyo mjenzi ana chanzo chake Kwa maana kwamba ana waliomzaa sasa vipi kuhusu huyu mjenzi wa Dunia maana Kila kitu kina chanzo? Hili ndio hamtaki kulijibu