Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kwahiyo mtu akiandika kuwa hiki ni uhalisia kinakuwa kweli ni uhalisia?Kwahiyo nilicho kiandika siyo uhalisia ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mtu akiandika kuwa hiki ni uhalisia kinakuwa kweli ni uhalisia?Kwahiyo nilicho kiandika siyo uhalisia ?
Can you tell me using your science??What if i give you a simple challenge to guess my education level using God miracles?
Hiyo elimu ya utoaji maana uliyonifundisha uliipatia wapi?Nimekufundisha namna ya kutoa maana.
Science has nothing to do with miracles
Upo makini sanaMkuu mi kama atheist nashukuru kwa busara yako kwa namna ulivyoamua kutuita
Ila ulichosahau ni kitu kimoja
Watu wanasifia magari, Pc nk kutokana na comparison walizofanya za kuangalia ufanisi wa bidhaa moja dhidi ya bidhaa nyingine.
Hao atheist wanaosifia magari, computer nk, wanafanya hivyo kwa references.
Kwamba watu wanasema hii bidhaa ni bora kwasababu kuna specs hii ambayo kwenye bidhaa hii nyingine haipo
Viwanda vinavyotengeneza hizo bidhaa vinathibitishika kuwa vipo bila kuhitaji kitu kingine cha ziada kama ishara ya kuonesha ndio source ya hizo bidhaa
Huyo mtu hawezi kushindwa kukuthibitishia kampuni la Dell au Hp kuwa lipo.
Ni maswala ya taaluma ambayo kila mtu anaweza akafanya endapo akifundishwa.
Sasa
Unaposema huu ulimwengu umesababishwa na Mungu, references yako inakuwa nini?
Tunaweza tukathibitisha hicho chanzo bila kutumia kitu kingine kinachopimika kuwa ndio uthibitisho wa Mungu asiyepimika?
Lakini pia
Unaposema huu ulimwengu ni bora au umekamilika unakuwa umeupima na kuufananisha na ulimwengu gani mwingine mpaka ukafikia hitimisho kuwa ulimwengu huu ni mzuri?
Aliyesema laptop Hp omen ya gaming ni bora aliangalia toleo la chini yake au alifananiaha na brand nyingine kwenye maswala ya kiuwezo akaona Hp Omen ni laptop bora
Sasa ulimwengu huu mnaosema ni mzuri au ni bora, ni bora ukiufananisha na ulimwengu upi?
Huko nyuma ulisema uhalisia ni kitu kuwa kama kilivyolakini huko nyuma nilishakupa maana ya uhalisia na kikakufasilia kwa mifano ili uelewe.
NondoMkuu mi kama atheist nashukuru kwa busara yako kwa namna ulivyoamua kutuita
Ila ulichosahau ni kitu kimoja
Watu wanasifia magari, Pc nk kutokana na comparison walizofanya za kuangalia ufanisi wa bidhaa moja dhidi ya bidhaa nyingine.
Hao atheist wanaosifia magari, computer nk, wanafanya hivyo kwa references.
Kwamba watu wanasema hii bidhaa ni bora kwasababu kuna specs hii ambayo kwenye bidhaa hii nyingine haipo
Viwanda vinavyotengeneza hizo bidhaa vinathibitishika kuwa vipo bila kuhitaji kitu kingine cha ziada kama ishara ya kuonesha ndio source ya hizo bidhaa
Huyo mtu hawezi kushindwa kukuthibitishia kampuni la Dell au Hp kuwa lipo.
Ni maswala ya taaluma ambayo kila mtu anaweza akafanya endapo akifundishwa.
Sasa
Unaposema huu ulimwengu umesababishwa na Mungu, references yako inakuwa nini?
Tunaweza tukathibitisha hicho chanzo bila kutumia kitu kingine kinachopimika kuwa ndio uthibitisho wa Mungu asiyepimika?
Lakini pia
Unaposema huu ulimwengu ni bora au umekamilika unakuwa umeupima na kuufananisha na ulimwengu gani mwingine mpaka ukafikia hitimisho kuwa ulimwengu huu ni mzuri?
Aliyesema laptop Hp omen ya gaming ni bora aliangalia toleo la chini yake au alifananiaha na brand nyingine kwenye maswala ya kiuwezo akaona Hp Omen ni laptop bora
Sasa ulimwengu huu mnaosema ni mzuri au ni bora, ni bora ukiufananisha na ulimwengu upi?
Ukiulizwa nini maana ya baba na mtoto utajibu ni uhalisia?Niambie wewe Sasa Uhalisia ni nini maana naona unaruka ruka unakimbia hoja. Sasa mama na mtoto kwa muktadha upi ? Kwamba mama kuwa mkubwa kwa mtoto si uhalisia ? Sasa ni nini na kama ni kitu kingine ni kitu gani hicho. Tuambie.
Baba na mtoto kauli hii haijakaa sawa na haina maana, leta kauli niliyo toa Mimi. Kijana uwe unaweka wazo na kile kinachokusudiwa, usiandike tu ilimradi. Hivi haya unayo yaandika huwa unayasoma ?
Nilichokoandika Mimi ni kuwa Baba kuwa mkubwa kiumri kwa mtoto wake ni uhalisia na ni maana ya uhalisia, Sasa unaposema Baba na mtoto kwenye muktadha gani ? Kwamba baba ni mdogo kuliko mtoto au ? Sasa jifunze kujenga hoja.
Em tuthibitishie kama ukristo ni DiniDini ya ukweli ni ukristo pekee
Uhalisia unapaswa kuwa ndio kitu chepesi kuthibitishwaKijana jifunze kuandika maneno machache na uguse hoja. Uhalisia unahitaji kipimo gani ili ujulikane ?
Uwepo wa jua kuwa juu yetu unahitaji kipimo gani kujua hilo ? Baba kuwa mkubwa kiumri kuliko mtoto kunahitaji kipimo gani kujua hili ?
Uhalisia upo kijana, uhalisia haudaiwi, ndiyo maana hizo si za kweli kutokana na maana ya dini na muelekeo wake.
Kingine uwe unajibu maswali ninayo kuuliza.
Kuna kitu kitu hao jamaa ambacho huwa wanashindwa kujiuliza.Mkuu mi kama atheist nashukuru kwa busara yako kwa namna ulivyoamua kutuita
Ila ulichosahau ni kitu kimoja
Watu wanasifia magari, Pc nk kutokana na comparison walizofanya za kuangalia ufanisi wa bidhaa moja dhidi ya bidhaa nyingine.
Hao atheist wanaosifia magari, computer nk, wanafanya hivyo kwa references.
Kwamba watu wanasema hii bidhaa ni bora kwasababu kuna specs hii ambayo kwenye bidhaa hii nyingine haipo
Viwanda vinavyotengeneza hizo bidhaa vinathibitishika kuwa vipo bila kuhitaji kitu kingine cha ziada kama ishara ya kuonesha ndio source ya hizo bidhaa
Huyo mtu hawezi kushindwa kukuthibitishia kampuni la Dell au Hp kuwa lipo.
Ni maswala ya taaluma ambayo kila mtu anaweza akafanya endapo akifundishwa.
Sasa
Unaposema huu ulimwengu umesababishwa na Mungu, references yako inakuwa nini?
Tunaweza tukathibitisha hicho chanzo bila kutumia kitu kingine kinachopimika kuwa ndio uthibitisho wa Mungu asiyepimika?
Lakini pia
Unaposema huu ulimwengu ni bora au umekamilika unakuwa umeupima na kuufananisha na ulimwengu gani mwingine mpaka ukafikia hitimisho kuwa ulimwengu huu ni mzuri?
Aliyesema laptop Hp omen ya gaming ni bora aliangalia toleo la chini yake au alifananiaha na brand nyingine kwenye maswala ya kiuwezo akaona Hp Omen ni laptop bora
Sasa ulimwengu huu mnaosema ni mzuri au ni bora, ni bora ukiufananisha na ulimwengu upi?
Sio earth tu ambayo iko constantly bombarded with meteors kumbuka hilo...So unataka kuniambia hiyo big bang ndio iliyo design hixo dna na kuziweka kwenye meteorite na kui shoot direct to earth
Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
That's not how science works. Science haina miujiza. Science mpaka ufanye stadi.
Akitumia miujiza kujua level ya elimu yangu itakuwa ni mwisho wa mjadala kuthibitisha miracles are real na Mungu yupoThat's not how science works. Science haina miujiza. Science mpaka ufanye stadi.
Mfano, ili ni patishie elimu yako, itabid nikuulize umesoma shule ngapi na zinaitwaje, umekua ukisoma kwa muda gani etc..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishindwa kujua nani aliyejenga nyumba uliyooneshwa huko porini tafsiri yake ni kuwa imejengwa na jamaa mwenye miguu 6 na urefu wa futi 30?Kwenye hili naam, sababu umekuwa ni mjinga katika hili na jibu umepewa.
Mtu anayesema jamaa mwenye miguu 6 na urefu wa futi 30 anayehusishwa na ujenzi wa hii nyumba hayupo, anatakiwa atolee wapi nguvu ya kusema hivyo?Umeona Sasa ulivyo mgonjwa wa akili, unaoataje nguvu ya kusema Mola hayupo na huwezi kutuambia ya kuwa imekuwaje kuwaje Dunia ikawa hivi ilivyo ? Muda huo huo unashindwa kutuambia aidha imejiumba au imetokea pasi na chochote.
I'm sure hujaelewa hoja yangu na unarudia kufanya makosa yake yaleAm sure hujafanya research kwenye hili
Vipi kuhusu wanaokufa usingizini ambapo uchunguzinukifuata unaonesha hakukua na purukushani za namna yoyote?
Kwamba isingewezekana kutengana bila kufa?Ni kweli, kwa tunaoamini tunatengana nao kwa kitu bora zaidi ambacho ni kukutana na Muumba wetu