Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

Nimekufundisha namna ya kutoa maana.
Hiyo elimu ya utoaji maana uliyonifundisha uliipatia wapi?

Nataka twende kwenye source uliyoitumia wewe kujifunza tuone kama hicho unachokiandika kweli kipo kama kilivyo

Mpaka saizi nimepata mashaka kuna dalili nyingi zinazoonesha unatumia conspiracy theories kutengeneza dhana yako potofu na ndio maana hata maana za maneno unazotoa ziko vague
 
Mkuu mi kama atheist nashukuru kwa busara yako kwa namna ulivyoamua kutuita

Ila ulichosahau ni kitu kimoja

Watu wanasifia magari, Pc nk kutokana na comparison walizofanya za kuangalia ufanisi wa bidhaa moja dhidi ya bidhaa nyingine.

Hao atheist wanaosifia magari, computer nk, wanafanya hivyo kwa references.

Kwamba watu wanasema hii bidhaa ni bora kwasababu kuna specs hii ambayo kwenye bidhaa hii nyingine haipo

Viwanda vinavyotengeneza hizo bidhaa vinathibitishika kuwa vipo bila kuhitaji kitu kingine cha ziada kama ishara ya kuonesha ndio source ya hizo bidhaa

Huyo mtu hawezi kushindwa kukuthibitishia kampuni la Dell au Hp kuwa lipo.

Ni maswala ya taaluma ambayo kila mtu anaweza akafanya endapo akifundishwa.

Sasa

Unaposema huu ulimwengu umesababishwa na Mungu, references yako inakuwa nini?

Tunaweza tukathibitisha hicho chanzo bila kutumia kitu kingine kinachopimika kuwa ndio uthibitisho wa Mungu asiyepimika?

Lakini pia

Unaposema huu ulimwengu ni bora au umekamilika unakuwa umeupima na kuufananisha na ulimwengu gani mwingine mpaka ukafikia hitimisho kuwa ulimwengu huu ni mzuri?

Aliyesema laptop Hp omen ya gaming ni bora aliangalia toleo la chini yake au alifananiaha na brand nyingine kwenye maswala ya kiuwezo akaona Hp Omen ni laptop bora

Sasa ulimwengu huu mnaosema ni mzuri au ni bora, ni bora ukiufananisha na ulimwengu upi?
Upo makini sana
 
lakini huko nyuma nilishakupa maana ya uhalisia na kikakufasilia kwa mifano ili uelewe.
Huko nyuma ulisema uhalisia ni kitu kuwa kama kilivyo

Nikakuuuliza kitu gani ambacho hakipo kama kilivyo na sio uhalisia

Ukasema mazigazi

Hilo neno nikalitafsiri kama hallucinations nikakuambia namna mtu anayepitia hallucinations anavyoweza kuona vitu vingi vya uongo na yeye asijue kuwa kile anachokiona sio kweli.

Nikakuongezea hoja nyingine ambayo inahusisha illusion ambayo hii ni misinterpretation ya vitu,

Nakuwekea mfano wa picha hapa unaoonesha illusion

1676828810234.png



Nikikuuliza kiuhalisia huyu mtu pichani anaonekana akiangalia upande gani unaweza ukajibu vipi?

Nakutoa hapo nakuleta hapa kwenye optical illusion

1676828950656.png


Nihesabie hizo bars ziko ngapi hapo juu?

Jibu lako linabidi lijikite kwenye uhalisia
 
Mkuu mi kama atheist nashukuru kwa busara yako kwa namna ulivyoamua kutuita

Ila ulichosahau ni kitu kimoja

Watu wanasifia magari, Pc nk kutokana na comparison walizofanya za kuangalia ufanisi wa bidhaa moja dhidi ya bidhaa nyingine.

Hao atheist wanaosifia magari, computer nk, wanafanya hivyo kwa references.

Kwamba watu wanasema hii bidhaa ni bora kwasababu kuna specs hii ambayo kwenye bidhaa hii nyingine haipo

Viwanda vinavyotengeneza hizo bidhaa vinathibitishika kuwa vipo bila kuhitaji kitu kingine cha ziada kama ishara ya kuonesha ndio source ya hizo bidhaa

Huyo mtu hawezi kushindwa kukuthibitishia kampuni la Dell au Hp kuwa lipo.

Ni maswala ya taaluma ambayo kila mtu anaweza akafanya endapo akifundishwa.

Sasa

Unaposema huu ulimwengu umesababishwa na Mungu, references yako inakuwa nini?

Tunaweza tukathibitisha hicho chanzo bila kutumia kitu kingine kinachopimika kuwa ndio uthibitisho wa Mungu asiyepimika?

Lakini pia

Unaposema huu ulimwengu ni bora au umekamilika unakuwa umeupima na kuufananisha na ulimwengu gani mwingine mpaka ukafikia hitimisho kuwa ulimwengu huu ni mzuri?

Aliyesema laptop Hp omen ya gaming ni bora aliangalia toleo la chini yake au alifananiaha na brand nyingine kwenye maswala ya kiuwezo akaona Hp Omen ni laptop bora

Sasa ulimwengu huu mnaosema ni mzuri au ni bora, ni bora ukiufananisha na ulimwengu upi?
Nondo
 
Niambie wewe Sasa Uhalisia ni nini maana naona unaruka ruka unakimbia hoja. Sasa mama na mtoto kwa muktadha upi ? Kwamba mama kuwa mkubwa kwa mtoto si uhalisia ? Sasa ni nini na kama ni kitu kingine ni kitu gani hicho. Tuambie.

Baba na mtoto kauli hii haijakaa sawa na haina maana, leta kauli niliyo toa Mimi. Kijana uwe unaweka wazo na kile kinachokusudiwa, usiandike tu ilimradi. Hivi haya unayo yaandika huwa unayasoma ?

Nilichokoandika Mimi ni kuwa Baba kuwa mkubwa kiumri kwa mtoto wake ni uhalisia na ni maana ya uhalisia, Sasa unaposema Baba na mtoto kwenye muktadha gani ? Kwamba baba ni mdogo kuliko mtoto au ? Sasa jifunze kujenga hoja.
Ukiulizwa nini maana ya baba na mtoto utajibu ni uhalisia?
 
Kijana jifunze kuandika maneno machache na uguse hoja. Uhalisia unahitaji kipimo gani ili ujulikane ?

Uwepo wa jua kuwa juu yetu unahitaji kipimo gani kujua hilo ? Baba kuwa mkubwa kiumri kuliko mtoto kunahitaji kipimo gani kujua hili ?

Uhalisia upo kijana, uhalisia haudaiwi, ndiyo maana hizo si za kweli kutokana na maana ya dini na muelekeo wake.

Kingine uwe unajibu maswali ninayo kuuliza.
Uhalisia unapaswa kuwa ndio kitu chepesi kuthibitishwa

Sio kwasababu uhalisia eti iwe ndio ngumu kuthibitisha

Mi nimekuwa nakushangaa unaposema jua ni uhalisia na halihitaji ushahidi, at the same time umetumia sense organ ya macho na ngozi kuona na kuhisi then how come kitu hicho kisihitaji ushahidi?

Na ndio maana nakusisitizia unipe maana ya uhalisia kutoka kwenye hicho chanzo ili nijihakikishie kweli kuwa kuna watu waliowahi kupotosha jamii kwa madai kuwa vilivyo katika uhalisia havithibitishiki.
 
Mkuu mi kama atheist nashukuru kwa busara yako kwa namna ulivyoamua kutuita

Ila ulichosahau ni kitu kimoja

Watu wanasifia magari, Pc nk kutokana na comparison walizofanya za kuangalia ufanisi wa bidhaa moja dhidi ya bidhaa nyingine.

Hao atheist wanaosifia magari, computer nk, wanafanya hivyo kwa references.

Kwamba watu wanasema hii bidhaa ni bora kwasababu kuna specs hii ambayo kwenye bidhaa hii nyingine haipo

Viwanda vinavyotengeneza hizo bidhaa vinathibitishika kuwa vipo bila kuhitaji kitu kingine cha ziada kama ishara ya kuonesha ndio source ya hizo bidhaa

Huyo mtu hawezi kushindwa kukuthibitishia kampuni la Dell au Hp kuwa lipo.

Ni maswala ya taaluma ambayo kila mtu anaweza akafanya endapo akifundishwa.

Sasa

Unaposema huu ulimwengu umesababishwa na Mungu, references yako inakuwa nini?

Tunaweza tukathibitisha hicho chanzo bila kutumia kitu kingine kinachopimika kuwa ndio uthibitisho wa Mungu asiyepimika?

Lakini pia

Unaposema huu ulimwengu ni bora au umekamilika unakuwa umeupima na kuufananisha na ulimwengu gani mwingine mpaka ukafikia hitimisho kuwa ulimwengu huu ni mzuri?

Aliyesema laptop Hp omen ya gaming ni bora aliangalia toleo la chini yake au alifananiaha na brand nyingine kwenye maswala ya kiuwezo akaona Hp Omen ni laptop bora

Sasa ulimwengu huu mnaosema ni mzuri au ni bora, ni bora ukiufananisha na ulimwengu upi?
Kuna kitu kitu hao jamaa ambacho huwa wanashindwa kujiuliza.
1) kama kuona, kusikia,kunusa nk (kwetu kuna kikomo)
Kwa nini wanaamini kwenye kufikiri hatuna kikomo?
Kama tutamuelewa Mungu 100%,
Basi huyo Mungu atakuwa na mapungufu.

Kwa sababu tutajua mipaka yake.
Ameanzia hapa mpaka pale,
Kule kwingine siyo kwake.
Haijakaa hivyo.
Yooote,
Kumjua Mungu 100% hapo.
 
That's not how science works. Science haina miujiza. Science mpaka ufanye stadi.
Mfano, ili ni patishie elimu yako, itabid nikuulize umesoma shule ngapi na zinaitwaje, umekua ukisoma kwa muda gani etc..

Sent using Jamii Forums mobile app
Akitumia miujiza kujua level ya elimu yangu itakuwa ni mwisho wa mjadala kuthibitisha miracles are real na Mungu yupo

Lakini mpaka muda huu kuna watu wameukimbia huu uzi
 
Kwenye hili naam, sababu umekuwa ni mjinga katika hili na jibu umepewa.
Ukishindwa kujua nani aliyejenga nyumba uliyooneshwa huko porini tafsiri yake ni kuwa imejengwa na jamaa mwenye miguu 6 na urefu wa futi 30?
 
Umeona Sasa ulivyo mgonjwa wa akili, unaoataje nguvu ya kusema Mola hayupo na huwezi kutuambia ya kuwa imekuwaje kuwaje Dunia ikawa hivi ilivyo ? Muda huo huo unashindwa kutuambia aidha imejiumba au imetokea pasi na chochote.
Mtu anayesema jamaa mwenye miguu 6 na urefu wa futi 30 anayehusishwa na ujenzi wa hii nyumba hayupo, anatakiwa atolee wapi nguvu ya kusema hivyo?
 
Am sure hujafanya research kwenye hili

Vipi kuhusu wanaokufa usingizini ambapo uchunguzinukifuata unaonesha hakukua na purukushani za namna yoyote?
I'm sure hujaelewa hoja yangu na unarudia kufanya makosa yake yale

Hoja yangu ni kuonesha uwezekano wa watu kusafa kwa maumivu makali mpaka kukifikia kifo

Hoja yako ya kusema waru wanafia usingizini hai disprove hoja yangu kuwa watu hawapati maumivu

Bali inaonesha there's very tiny percent ya watu wanaoweza kufa bila maumivu

Hoja yako haipingi kuwa maumivu hayapo

Shabaha ha hoja yako ni kuonesha maumivu yapo ila kuna nafasi ndogo ya kuweza kufa bila kupata maumivu

Yani ni sawa na wewe umeenda sehemu ukomba maji ya kunywa halafu huyo mtu akatoka na jagi kubwa la maji safi

Akamimina maji safi kwenye kikombe nusu, halafu akachota na maji machafu aliyokuwa nafulia nguo nayo akamiminia kwenye kikombe kile kile alichoweka maji safi

Mtu huyo akakupa unywe

We ukahamaki na kuuliza mbona umenipa maji machafu yasiofaa kunywa?

Jamaa akakujibu lakini na maji masafi pia yano humo humo na si ulikuwa unaniona wakati nayaweka?

Utakunywa?

Basi hivyo ndivyo unavyojenga hoja zako
 
Ni kweli, kwa tunaoamini tunatengana nao kwa kitu bora zaidi ambacho ni kukutana na Muumba wetu
Kwamba isingewezekana kutengana bila kufa?

Isingewezekana wote mkaenda bila kutengana, bila kufa?

Hiyo ndio ilikuwa option ya mwisho ya Mungu kufanya kitu katika ubora wa juu?
 
Back
Top Bottom