Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

Siyo kweli
Ndiyo maana nakuuliza una elimu gani wewe??
Mbona unaongea vitu vya ajabu?
Hapo juu umekubali kuwa kifo ni kibaya na umetoa sababu kuwa ni lazima watu wafe ili mkutane na muumba wenu

Namimi nachagua kuizingatia hoja yako ya mwanzo kupitia mazingira ambayo nayaona waumini wakiishi

Kifo ni kibaya na hakipendwi na watu na ndio maana leo ukiumwa hufurahii kuwa ufe ili ukakutane na Mungu

Kifo ni kibaya na hakipendwi na watu kwasababu mazingira ya maisha tunayoyaona kwa waumini wamekuwa wakitumia gharama kubwa kuwa secure na vihatarishi vinavyoweza kusababisha wao kufa.

Kifo ni jambo baya na lisilopendwa na ndio maana katika mazingira yetu ya kimaisha hatujawahi kuona msikitini au makanisani wakifanya sherehe na vicheko kufurahia mtu aliyekufa.

Zaidi tunaona viongozi wa dini wakikataza watu kucheka msibani na wakitoa ushauri wa kutumia maneno ya faraja kuwatia moyo wafiwa.
 
Unaona ulivyo sasa?
Unaulizwa swali badala ya kujibu nawe unauliza swali
Napouliza swali naku encourage wewe uweze kufikiria kiusahihi msingi wa swali lako kwanza

Kwasababu direct answer linaweza kufanya uonekane unakubali kitu ambacho hakipo kwenye mlengo wako

Mfano

Umeacha kumpiga mkeo?

Ukisema ndio maana yake umekubali kuwa ulikuwa unampiga mkeo ila saizi umeacha

Ukisema hapana maana yake umekubali kuwa wewe unampigaga mkeo

Sasa kama mtu anayeulizwa hata hajaoa huoni hatari ya kukurupuka kujibu swali bila kuuliza?
 
Kwahiyo mtu akiandika kuwa hiki ni uhalisia kinakuwa kweli ni uhalisia?
Swali kaandika nini, elewa maneno kijana, usichoshe watu, mbona unakuwa mjinga kiasi hiki ? Hivi nikiandika Bakuli limezaa na Bakuli limevunjika kauli hizi ziko sawa ? Utajuaje kama haziko sawa ? Lazima unagalie "Content" acha kuchosha watu kwa vitu vyepesi na ambavyo viko wazi.

Wewe huwa unatofautisha vipi hoja zinapoandikwa ? Inaonekana huwa husomi ukaelewa.
 
Zile post sikua na haja ya kukuuliza ila kwenye hii nimeona haja ya kukuuliza
Najua ulikuwa huna haja pengine ni kwasababu hata sikukuuliza, ila mimi sasa nauliza

Zile post ulikuwa unajibu ukiwa unajua kuwa ni maoni ya nani?
 
Mtu anayesema jamaa mwenye miguu 6 na urefu wa futi 30 anayehusishwa na ujenzi wa hii nyumba hayupo, anatakiwa atolee wapi nguvu ya kusema hivyo?

Mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika maneno hayo, sababu si uhalisia hakuna mtu mwenye urefu wa futi 30 wala miguu 6 zama hizi.

Lazima awe amemuona huyo mtu na asiwe yeye peke yake ndiyo amemuona huyo, Kisha lazima tupime ukweli na uaminifu wa Mtu huyo.

Jibu swali nililo kuuliza, kingine kuanzia muda usiniquote mpaka ujibu maswali niliyo kuuliza.

Kijana naona huna hoja, unanipotezea muda tu, unaandika ujinga hata mtoto mdogo hawezi kuandika hivi.
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika maneno hayo, sababu si uhalisia hakuna mtu mwenye urefu wa futi 30 wala miguu 6 zama hizi.
Ni factors zipi zinazokufanya uone mtu huyo hayupo kihalisia

Nahoji vigezo
 
Ukishindwa kujua nani aliyejenga nyumba uliyooneshwa huko porini tafsiri yake ni kuwa imejengwa na jamaa mwenye miguu 6 na urefu wa futi 30?
Kingine haijalishi umjue au usimjue, hoja ni kwamba je nyumba inaweza kujijenga pasi na kujengwa au kutokea pasi na chochote ? Kama jibu ni kinyume chake haya unayo yaandika hayana maana sijui unayaandika kwa lengo gani, zaidi ya kupotezea watu muda.
 
Uhalisia unapaswa kuwa ndio kitu chepesi kuthibitishwa

Sio kwasababu uhalisia eti iwe ndio ngumu kuthibitisha

Mi nimekuwa nakushangaa unaposema jua ni uhalisia na halihitaji ushahidi, at the same time umetumia sense organ ya macho na ngozi kuona na kuhisi then how come kitu hicho kisihitaji ushahidi?

Na ndio maana nakusisitizia unipe maana ya uhakisi kutoka kwenye hicho chanzo ili nijihakikishie kweli kuwa kuna watu waliowahi kupotosha jamii kwa madai kuwa vilivyo katika uhalisia havithibitishiki.
Sasa mara ngapi imekuwa rahisi kuthubitisha, ndiyo maana unayo yaandika yanakuwa ujingana utoto sababu uhalisia ni mwepesi mno.

Huoni unapata shida namna unavyoenda kinyume na uhalisia mpaka unaonekana kituko.
 
Mtindio wa ubongo ni hali Ya wapumbavu fulani kuwalazimisha wengine wafikiri kama wao wakati hawana ushawishi wa kuwahakikishia, uhalali wa kufikiria kama wao.KAMA UNAAMINI MUNGU YUPO AMINI, HAKUNA ATAKAE KUTIA VIBOKO.KULAZIMISHA UTAKAVYO NI UKICHAA.
 
Kwani vinatakiwa viandikwe na nani ili vionekane ni uhalisia?
Nani kaandika nani ? Tuliza akili usome ninachokiandika, nimeandika "Swali, kaandika nini" siyo "nani ?".
 
Kingine haijalishi umjue au usimjue, hoja ni kwamba je nyumba inaweza kujijenga pasi na kujengwa au kutokea pasi na chochote ? Kama jibu ni kinyume chake haya unayo yaandika hayana maana sijui unayaandika kwa lengo gani, zaidi ya kupotezea watu muda.
Sasa kwanini unakubali kupotezewa muda?
 
Lazima awe amemuona huyo mtu na asiwe yeye peke yake ndiyo amemuona huyo, Kisha lazima tupime ukweli na uaminifu wa Mtu huyo.

Jibu swali nililo kuuliza, kingine kuanzia muda usiniquote mpaka ujibu maswali niliyo kuuliza.

Kijana naona huna hoja, unanipotezea muda tu, unaandika ujinga hata mtoto mdogo hawezi kuandika hivi.
Kama kuna mtu akijitokeza kusema amemuona utakubali?

Au utarudi kwenye stepu ya pili ya kuhakiki uaminifu.

Yani utaacha lengo kuu (kuhakiki kama kweli huyo mtu yupo) utarukia kitu kingine (kuhakiki uaminifu wa mtu mwingine ili aje akusaidie)

Sasa ikitokea huyo mtu umehakiki uaminifu wake na ukaona ni mtu anayefaa kuaniniwa, je akikuambia mtu huyo mwenye miguu 6 na urefu wa futi 30 yupo utakubali?

Kwa hiyo mtu huyo typically atakuwa yupo kihalisia kwasababu mtu unayemuamini amesema yupo?
 
Sasa ikitokea huyo mtu umehakiki uaminifu wake na ukaona ni mtu anayefaa kuaniniwa, je akikuambia mtu huyo mwenye miguu 6 na urefu wa futi 30 yupo utakubali?
Soma vigezo nilivyo viandika siyo kimoja kijana. Niko makini kuliko unavyofikiria.
 
Kingine haijalishi umjue au usimjue, hoja ni kwamba je nyumba inaweza kujijenga pasi na kujengwa au kutokea pasi na chochote ? Kama jibu ni kinyume chake haya unayo yaandika hayana maana sijui unayaandika kwa lengo gani, zaidi ya kupotezea watu muda.
Swali hilo anakuwa anaulizwa mtu wa namna gani?

Mtu ambaye ana experience ya kujua nyumba zinajengwa au ni mtu ambaye ni totally clueless, hajui chochote wala hawajawahi kuona nyumba yeyote?
 
Swali hilo anakuwa anaulizwa mtu wa namna gani?

Mtu ambaye ana experience ya kujua nyumba zinajengwa au ni mtu ambaye ni totally clueless, hajui chochote wala hawajawahi kuona nyumba yeyote?
Jibu swali nililokuuliza.

Mpaka hapa kazi yangu nimemaliza. Ili tuendelee jibu maswali niliyo kuuliza.

Shukrani.
 
Sasa mara ngapi imekuwa rahisi kuthubitisha, ndiyo maana unayo yaandika yanakuwa ujingana utoto sababu uhalisia ni mwepesi mno.

Huoni unapata shida namna unavyoenda kinyume na uhalisia mpaka unaonekana kituko.
Mi nakuona wewe ndio unaandika ujinga kwasababu huko mwanzo umesema uhalisia hauhitaji uthibitisho

Hapa unakomaa kuwa ni rahisi kuthibitisha

Nilifikia hatua ya kukulazimisha kuonesha acknowledge yako ya jua ilitokana na uthibitisho wa kutumia milango ya fahamu lakini ulikuwa unapinga kuwa sio uthibitisho

Ndio maana naku press kwasababu najua saizi utaongea hivi na baadaye utajipinga utasema hivi

Twende sawa sawa, kwahiyo tunaenda na hoja ya kwamba uhalisia unathibitishika sio?
 
Back
Top Bottom