Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

No hujanielewa, ipo hivi nimeona hapo juu unataka uonyeshwe ushahidi valid kwamba umeumbwa ama la"HIYO TAYARI INAONYESHA WAZI KAMA UNAJUA NINI MAANA YA KUUMBWA"

Ndiyo maana na Mimi nikakuuliza, Je una ushahidi valid kama haujaumbwa??
Huyo hakujibu hilo swali alilikimbia nami nikampungumzia mzigo kwa kuruhusu tuondoke kwenye hilo swali twende hatua inayofuata

Sasa kwa kulijua hilo kwanini usimsaidie mwenzako ukamjibia ili tufanye mjadala wenye tija?
 
Hii siyo dhana kijana bali ni hakika isiyo kuwa na shaka. .
Kama ni jambo lenye hakika na lisilo na shaka basi ushahidi wake utakuwa mzuri

Tuambie hilo jambo lilifanyika kwa uthibitisho gani?

Tuambie lili rekodiwa na nani zoezi hilo la uumbaji na likapitia vipimo gani kuhakikisha kuwa ni jambo lililotokea kweli kiasi lisiwe na shaka?
 
. Kwenye uwepo wa kitu hutoki nje ya hali hizo mbili, aidha kusanifiwa (kuumbwa, kutengenezwa) na kinyume chake au kuwepo pasi na chochote na hivi viwili haviwezekani.
Kupitia uchunguzi gani uliowahi kufanywa mpaka kuonesha ulazima wa hivyo viwili?

Tupe mfano mmoja kupitia uthibitisho ambao ni very testable kuonesha nafasi ya kitu kuwepo pasi na chochote?
 
Mifano Iko mingi sana angalia uwepo wa gari, simu, nyumba na mingine. Kufumba ni kufanya kile ambacho hakipo kikawepo. Kile kinachokuwepo ndiyo kimeumbwa.
Uwepo wa gari ndio uumbaji?
 
Wewe wanakumbato kweli. Uthibitisho wa kuwa hii dunia ilitengenezwa na mungu uko wapi? Na yeye aliumbwa na nani? Kama hakuumbwa kwa nini isiwe pia na sisi hatukuumbwa? Acha kutumia makalio kama kichwa. Pumbafuu
 
Mimi nimekuuliza kukuonyesha ya kuwa sharti lako la kuwa na backup ni dhaifu, ndiyo maana swali Hilo umeshindwa kulijibu mpaka muda huu.
Umesema unaweza kuthibitisha uwepo wa kitu bila kutegemea kitu kingine

Mimi nimeku challenge nithibitishie uwepo wa Mungu bila kuhusisha kitu kingine

Ukishindwa hilo basi huna excuse ya kushindwa kujibu hoja yangu kuhusu backup

Thibitisha sasa
 
Sijakujibu wapi ? Ulizia swali lako.
Ebu nieleze huyo Albert Michelson alithibitishaje kuwa dunia haizunguki na kumpinga Albert Einstein?

Tulelezee vizuri hapo tujifunze maana nina maswali mengi sana
 
Huyo hakujibu hilo swali alilikimbia nami nikampungumzia mzigo kwa kuruhusu tuondoke kwenye hilo swali twende hatua inayofuata

Sasa kwa kulijua hilo kwanini usimsaidie mwenzako ukamjibia ili tufanye mjadala wenye tija?
Okay ntakujibu kwa mfano mwepesi,Kuumbwa....... Ni kama device unayotumia Kutype hapo,Haikuepo hapo mwanzo lakini ikaumbwa kwa style na design ya kipekee na kuifanya kwa sasa iwepo!!
 
Na ulivyo ulivyo mjinga kwahiyo bush wanaishi kwenye nini ? Nyumba mpaka iwe imejengwa Mjini nini tena kwa matofali nini ? Muda huo huo unaniambia nina reasoning ya kitoto huku hujui maana ya nyumba. Wewe wa kupigwa makofi.

Kwahiyo vile wanavyo Jenga vijijini ni viota vya ndege au magari yale ? Kijana huna akili kabisa, yaani imekaa unaminyana hapa kumbe hata nyumba juju ni nini na unaona kwa ujinga wako vijijini hamna nyumba.
Bado una reason kitoto

Ukiambiwa bush akili yako inafikiria rural area huko kijijini kwenu?

Elewa concept ya hoja, nimekuambia mtu ambaye hajawahi kuiona nyumba, sijasema mtu anayeishi kijijini.

Ipo nafasi kubwa ya huyo mtu kuishi kwenye mapango tu, mapango yanaweza kuwa ni mawe tu.

Upo uwezekano wa mtoto kulelewa na wanyama na kuishi maporini akiwa treated kama mnyama.

Tuambie wanyama wanajenga nyumba?

Kasome kitu kinaitwa feral child utajiona jinsi ulivyo bwege, nakuhakikishia utakuja kufuta hii pumba uliyoandika na utanishukuru sana kwa kukutoa ujinga katika hili

Now rudi kwenye hoja

Mtu ambaye hajawahi kuiona nyumba, akioneshwa atajuaje hii ni nyumba??
 
Okay ntakujibu kwa mfano mwepesi,Kuumbwa....... Ni kama device unayotumia Kutype hapo,Haikuepo hapo mwanzo lakini ikaumbwa kwa style na design ya kipekee na kuifanya kwa sasa iwepo!!
Hii device walioifanya ikawepo wameitolewa maelezo tofauti na yako

Wao wamesema ni utengenezaji na wakasema tuwaite mafundi wa kiinjinia upande wa tech

Sasa unahoja gani za kunifanya niwaone wao ni waongo ila maelezo yako wewe ndio bora?
 
Sifa zake yeye ni mwenye upendo
Matendo ya upendo yapo mengi
Kwenye huo upendo yupo limited kiasi kuna vitu hawezi kuvifanya kwa upendo wote?

Ni upendo ambao uko perfect au ni kama huu tulionao sisi ambao unaweza kuathiriwa na vitu vingi ikiwa na mapungufu yetu?
 
Yeye ni mkali wa kuadhibu
So hana sifa ya upendo wote?

Hana sifa ya ukamilifu kwasababu anatumia emotion za ukali

Hana sifa ya uwezo wote wa kufanya mambo yaende kama yeye anavyotaka that's kuna mambo yanamshinda anaishia kukasirika
 
Mtu ambaye hajawahi kuiona nyumba, akioneshwa atajuaje hii ni nyumba??
Kwa mtazamo wangu Mtu ambaye hajawahi kuiona Nyumban akioneshwa atajua tu kwamba hii ni NYUMBA.

NAJUA UNAJIULIZA KIVIPI?
Okay, ipo hivi kwanza tunapaswa tujue Nyumba Ni Nini?!
Nyumba ni jengo lenye shabaha au lengo la kuwapa watu makazi au nafasi ya kuishi humo"

hivyo basi mtu mwenye akili timamu hata kama hajawahi kuiona nyumba, akionyeshwa jengo linarohusu watu kuweka makazi au Kuishi humo, ATAJUA TU KWAMBA HII NI NYUMBA!
 
Hii device walioifanya ikawepo wameitolewa maelezo tofauti na yako

Wao wamesema ni utengenezaji na wakasema tuwaite mafundi wa kiinjinia upande wa tech

Sasa unahoja gani za kunifanya niwaone wao ni waongo ila maelezo yako wewe ndio bora?
Kwa mtazamo wako wewe KUUMBWA NI NINI?
 
Mkuu mi kama atheist nashukuru kwa busara yako kwa namna ulivyoamua kutuita

Ila ulichosahau ni kitu kimoja

Watu wanasifia magari, Pc nk kutokana na comparison walizofanya za kuangalia ufanisi wa bidhaa moja dhidi ya bidhaa nyingine.

Hao atheist wanaosifia magari, computer nk, wanafanya hivyo kwa references.

Kwamba watu wanasema hii bidhaa ni bora kwasababu kuna specs hii ambayo kwenye bidhaa hii nyingine haipo

Viwanda vinavyotengeneza hizo bidhaa vinathibitishika kuwa vipo bila kuhitaji kitu kingine cha ziada kama ishara ya kuonesha ndio source ya hizo bidhaa

Huyo mtu hawezi kushindwa kukuthibitishia kampuni la Dell au Hp kuwa lipo.

Ni maswala ya taaluma ambayo kila mtu anaweza akafanya endapo akifundishwa.

Sasa

Unaposema huu ulimwengu umesababishwa na Mungu, references yako inakuwa nini?

Tunaweza tukathibitisha hicho chanzo bila kutumia kitu kingine kinachopimika kuwa ndio uthibitisho wa Mungu asiyepimika?

Lakini pia

Unaposema huu ulimwengu ni bora au umekamilika unakuwa umeupima na kuufananisha na ulimwengu gani mwingine mpaka ukafikia hitimisho kuwa ulimwengu huu ni mzuri?

Aliyesema laptop Hp omen ya gaming ni bora aliangalia toleo la chini yake au alifananiaha na brand nyingine kwenye maswala ya kiuwezo akaona Hp Omen ni laptop bora

Sasa ulimwengu huu mnaosema ni mzuri au ni bora, ni bora ukiufananisha na ulimwengu upi?
Hata mwanasayans nguli wa quantum physics Albert Einstein aliwah kunukuliwa akisema "science without religion is lame and Religion without science is blind" Hivi vitu vinategemeana this is broad term.

Sema nyiny atheist IQ yenu ndogo sana hamuwezi kufikiria kufika huko.
 
Nani anaweka ukomo wa nini Mungu anaweza na nini hawezi? [/SIZE]
Walio muelezea kuwa ni mwenye upendo wote ndio walimuondolea ukomo wa yeye kutotakiwa kufanya mabaya kwenye kazi zake

Swali ni je

Mabaya yapo au hayapo?

Kama yapo basi kuna tatizo kwenye hiyo sifa aliyopewa, je tukubali kuwa vyanzo vilivyoongelea kuwa ana upendo wote vimepotosha?

Kumbuka hapo hauwezi kuwa na vyote.

Uwe na chanzo cha ukweli kilichotaja kwa usahihi sifa ya Mungu kuwa ana upendo wote.

Na wakati huo huo uwe na Mungu ambaye moja ya kazi inayodaiwa kaifanya yeye ndani yake kuna mabaya.

We utachagua kipi hapo?
 
Kuumbwa sijui ni nini, we unajua?
Ndyo najua na nishakupa maelekezo yake.... Yani kuumbwa ni sawa na kusema kutengenezwa au kuundwa. So hakuna tofauti na hao waliosema device yao wameitengeneza.
 
Salaamu wakuu.

Niende Moja kwa moja kwenye mada.

Utakuta mtu anasifia gari ; "Hii gari kiboko kweli mainjinia wake walikuna vichwa balaa katika usanifu na gari hii haina mpinzani kwani katika kila nyanja ipo okay", ilmuradi tu gari litasifiwa hata kama linazo kasoro na mapungufu fulani.

Hao hao ma atheists utawasikia tena wakisifia; "Hii computer achana nayo, inakasi kubwa balaa utadhani haikundwa na.binadamu bali imedondoka kutoka mbinguni".

Ma atheists hawaishi hapo tu, hebu wakaribishe kwenye pilau utawasikia; "Aise huu msosi kiboko, mtamu kweli, sijui kapika nani !!? Mpishi katoka wapi??!, pasi shaka umepikwa na mtu kutoka pwani kwani watu wa bara hawawezi mapishi ya aina hii !! ".

Huyo atheist anatoa madai kana kwamba huyo mpishi anamjua na kamuona!!, sasa kwa utani tu jaribu kumwaambia kwamba msosi huo umejipika wenyewe!!, utashambuliwa kwa kejeli na matusi na kupewa majina mabaya ya kukutoa akili, utawasikia wakisema; wewe unamatatizo kichwani mwako inawezekanaje chakula kijipike chenyewe??!!.

Sasa njoo kwenye uumbaji wa dunia na uwaulize; je hawaoni uzuri wa dunia na vilivyopo juu yake, navyo havijaumbwa??, hakuna nafsi iliyoumba dunia.na ulimwengu??, endelea kuwahoji; kama wapo Ma engineers waliounda lile gari, ile computer na yupo mpishi aliyepika lile pilau safi vipi akosekane Yule aliyeumba dunia safi na vilivyomo??--- hapo akili zao zinashikwa na wazimu kwani wanajua ni lazima Mungu atajwe katika uumbaji wa dunia na vilivyomo na wao kusikia jina Mungu kwao ni ugonjwa wa mzio (allergy), sasa watakuuliza; Huyo Mungu yuko wapi??!, ukiwajibu; Mungu huwa haonekani, waona wamepata silaha, watahoji; tutaaminije kitu kisichoonekana ndio kimeumba hii dunia??-- wanasahau kwamba hata ile pilau waliokula hawakumuona mpishi wake lakini wanaamini ilipikwa na mtu-mpishi lakini wakiambiwa Kuna muumba Mungu wa dunia na ulimwengu hawataki kusikia.

Ewe Mungu wasamehe hawa viumbe wako na uwaongoze katika njia zako na uwaondoshee kibri na majivuno.
Akili kubwa hi[emoji23]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hata mwanasayans nguli wa quantum physics Albert Einstein aliwah kunukuliwa akisema "science without religion is lame and Religion without science is blind" Hivi vitu vinategemeana this is broad term.

Sema nyiny atheist IQ yenu ndogo sana hamuwezi kufikiria kufika huko.
Kwanza nina mashaka na hiyo Quote yako ikawa ni uzushi tu.

Lakini pia mimi sishoboki na hao smart people kwasababu nao wapo kwenye naafasi kubwa ya kukosea.

Mimi nafata kitu kulingana na uthibitisho uliowekwa, mimi si.fati mtu anasemaje juu ya hicho kitu.

Mfano huyo Albert Einstein aliwahi kuja na theory inayosema kuwa ulimwengu uko stationary and unchanging, yani hautanuki wala haujongei

Baadaye alikuja kuwa debunked na ikaonekana alikosea, na yeye mwenyewe alikiri kuwa katika ujinga ameufanya mwenye carrier yake ni kuifikiria universe katika namna ile.

So watu hawakumkubalia tu eti kwakua yeye yupo smart, watu walitaka uthibitisho kwanini hilo unalolisema ni kweli.

Vile vile kuna mipaka

Albert Einstein ni kweli ni mashuhuri na tunaukubali mchango wake kwenye maswala ya Relativity ila haina maana maoni yake kwenye maswala ya ndoa, dini, na mpira yanatakiwa yachukuliwe vilevile.

Gwajima anaweza akawa ni mchungaji watu wakawa wanapenda mahubiri yake kuhuusu mambo ya dini

Lakini haina maana atakuwa sahihi kwenye maswala ya siasa au mambo nyeti ya kiusalama kiasi umuamini kuwa Corona imesababishwa na mionzi ya mitambo ya network ya 5G
 
Back
Top Bottom