Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

Ukisema inajulikana basi unaikataa kwa vigezo Gani kuwa hiyo sio mvua?
Ndiyo nikakuuliza utupe maana ya mvua?

Hakuna roho kwenye mwili wa binadamu.
Human Cloning unaifahamu?

Base yote ya Maisha ulimwengu ni Carbon, hata binadamu ni carbon based living organisms.
Maana ya mvua nishaitoa huko mwanzo. Kadhalika na vigezo vyake.

Roho ni nini ? Maana nyinyi kawaida yenu kujibu au kujenga hoja pasi na Elimu. Ndiyo maana huwa mnakosea sana katika kujenga hoja, kuuliza maswali na kutafuta ukweli. Umejuaje hakuna Roho kwenye mwili.

Siifahamu nipe faida kuhusu jambo hilo la Human Cloning.

Unamaanisha unaposema Carbon based living Organisms.
 
Hapa naona umetumia mkono wake ajipige makofi mwenyewe.
Shida yenu hamsomi, soma nilicho muuliza na nimempa kazi akafute ule uongo alio uandika huko mwanzo. Sababu hizi aya alizo ziweka zinaonyesha uongo wake wa wazi. Sababu mpaka muda hajajibu nilichomjibu kuhusu hizo aya, akirudi mwambie akutag.

Huwa sipendi watu wazembe kama nyinyi, watu ambao kila mnachoandika mnakosea na kuandika uongo. Kusoma hamsomi mkisikia basi mnaketa huku. Huu ni upunguwani Sasa hizo akili mnazitumia kwenye nini.
 
Ni Binadamu tu ndiye anaweza kuwa chaotic or disciplined na sio vitu vingine ambavyo ni governed by natural laws, Who then put the laws into play??-- that is the question you need to ask yourself.

Angalia, thermal nuclear Bomb katika intermediate stage kuna Hydrogen gas inalipuliwa na neutrons kutoka kwenye stage ya kwanza ( atomic bomb), hiyo hdrogen gas ina ji-fuse (fussion reaction) kutengeneza Helium gas ambapo joto kubwa sana na nuru pamoja na radiations hutolewa, mambo yote hayo yanatokea kwakuwa yamepangwa kitaalamu na nuclear scientists, tunaweza kusema ni; a conscious plan of conscious minded people to make a disciplinary machine in order to excute a desired purpose/ goal, sasa muundo huo huo wa stage hiyo ya thermonuclear bomb ndio muundo unaofanyika kwenye jua, Jua ni fussion reaction ya Hydrogen gas kuwa Helium gas, hiyo ni Nuclear reaction ndio maana tunapata the desired goals ya joto na mwanga wa jua hapa duniani, sasa kama huwezi kusema hiyo reaction katika thermonuclear bomb ni Chaotic utawezaje kusema the fussion reaction katika jua kitu ni chaotic?? ,Kama jambo limepangwa na wanasayansi kitaalamu lifanye kazi kusudiwa in disciplines tunaliita a disciplined thimg bila shaka mtu mwenye akili chaotic ndiye anayeweza kusema jua ni chaotic reaction ya hydrogen. ,

Kumbuka jua limekuwepo hata kabla ya sayansi ya nuclear na sayansi zingine kuwepoo na ndio maana nasema jua ni lazima limeumbwa na A conscious Supernatural being ili jua litende the non chaotic desired goals ambazo naamini unazijua, na ipo mifano hai lukuki ya non chaotic objects with desired goals ambazo ni mtu kichaa tu aliyejitoa akili atapinga kwamba hizo Objects hazikuumbwa.

Kumbuka ni binadamu ndiye ameumbwa ama achague chaotic au disciplined life na sio vitu vingine ambavyo uwepo wao ni governed by natural laws or instincts put in place by Supernatural Being namely God.
Umeandika mambo mengi sana, kwanza hongera kwa namna uliyotaka kutwist kupata hoja yako.

Ila tukisema ulimwengu ni chaotic basi tambua tunagusa vitu vingi kuliko human ambaye ni insignificant living organism kwenye sayari moja kati ya mabilioni.

Ulimwengu upo chaotic kiasi kwamba Kuna robo sekunde Kuna Nyota zinazaliwa, Kuna Nyota zinakufa, Kuna Solar flares, big bang inatokea somewhere, big crunch, randomly movement of asteroids.

Kuwepo kwa Natural laws ambayo inaelezea pattern Fulani hakufanyi na kuthibitisha uwepo wa Mungu Bali kunathibitisha usahihi wa Sayansi na mambo yanayoyaelezea.

Kuelewa Nuclear physics inavyofanya kazi hakuthibitishi jua kuwa limetengenezwa na Mungu bali inadhihirisha jinsi sayansi ilivyo sawa.
Energy ilivyokuwa created kwenye jua inakwenda kinyume na Thermodynamics laws na Law of Conservation of energy?
Point yako ni ipi?

Binadamu wote wanafata Natural instinct kama wanyama wengine wanavyofanya maana Binadamu Hana uspecial wowote ni mnyama sawa na Mbuzi tu.

Kuwa discipline hata Simba anakuwa trained na kuchezeshwa kwenye Circus, Mbwa je?

Wewe umekaririshwa toka mtoto na ukayaamini kuwa kila kitu ni Mungu ambaye hayupo, hajawahi kuwepo na hatokuwepo kwa sifa mnazomwelezea.
 
Unaleta reasoning ya logic, syllogism ina makosa makubwa mno..! Huwezi draw conclusion kwa logic siyo kila kitu kinafuata huo mtririko wako wa logic.

Umeenda bank kukopa ukiwa na nyumba ila umesahau hati, hukupewa mkopo sababu hukutoa ushahidi wa nyumba ila haimanishi huna nyumba.

Chukua hii mifano miwili

Binadamu wote lazima wanakufa.
John ni binadamu hivyo John atakufa.

Mbwa wanatumika katika ulinzi.
Wamasai wanatumika katika ulinzi.
Kwahiyo wamasai nao ni mbwa...?

UKWELI siyo lasima uthibitike kwa logic kama unavyotaka, Imani ya Kikristo ambayo ni moja kati ya imani katika kundi la Monotheism (believers in one God) wao uthibitisho wa Mungu wao hauthibitiki kwa logic tu kuna msururu wa vitu katika kutaka kuthibitisha hilo.

Kuna matukio ambayo historia inathibitisha kutokea kwake, mfano uwepo wa mtu aliyezaliwa kimuujiza na kuishi duniani kwa miaka 33. Si muda mrefu sana only 2023 yrs ago. Lakini pia kuna archeological and historical facts nyingi mno zinazoelezea taarifa zinazoelezea habari za MUNGU. Make nyingine utasema ni miujiza ya uongo.
Logic haijawahi kuwa na outcome ya uongo

Huo mfano wako uliowekea hapo kwenye logic haupo, upo kwenye illogic

Kuna logic na kuna illogic, hivi viwili unatakiwa ujue kuvitofautisha.

Kwa hiyo bila logic hakuna ukweli, kila kilicho kwenye ukweli lazima kifungamane na logic plus consistency

********************†******************

Historical facts zipi zinazoelezea habari za Mungu?

Unaweza kuziweka hapa tuzijadili?
 
Sijasema kuhusu kukufikisha kwenye uongo, Mungu anayeongelewa ni True God (Mungu mmoja). Imani usichanye zipo imani nyingi. Imani ya Mungu mmoja inajipambanua vyema.
Kwanini kuwe na imani nyingi kama imani husema yale yaliyo kweli?

Kukiwa na million of claims kuwa Mungu yupo kwa imani, hiyo itaonesha kuwa madai hayo yote ni kweli?
 
Unadhani haya nayo yasema na kuandika nimepata shuleni..? Najua kwa kuwa tofauti na wewe, na hakika si kwa uwezo wala utashi wangu maana najibu si kwa ufahamu wangu pekee .
Umeyapata kutoka kwenye mafundisho ya dini yako

Hiyo ni kama motto mliyofundishwa au defense mechanism ya kuficha uongo kukwepa jukumu la kuthibitisha madai yako.

Au unafikiri wewe ni wakwanza kusema hivyo humu?

Hata yule ambaye mnapingana kiimani naye anaweza kutuambia hivi hivi kuwa Mungu wake kampa neema ya kumjua, so what's the point?
 
Maana ya mvua nishaitoa huko mwanzo. Kadhalika na vigezo vyake.

Roho ni nini ? Maana nyinyi kawaida yenu kujibu au kujenga hoja pasi na Elimu. Ndiyo maana huwa mnakosea sana katika kujenga hoja, kuuliza maswali na kutafuta ukweli. Umejuaje hakuna Roho kwenye mwili.

Siifahamu nipe faida kuhusu jambo hilo la Human Cloning.

Unamaanisha unaposema Carbon based living Organisms.
Hakuna roho ni jambo la kufikirika tu.
Ni Imani na hakuna uthibitisho wowote uwe wa kimazingira Wala kisayansi.

Na hii inapingwa zaidi na cloning technology ilivyozuidi kukua, kwamba single cell ya ngozi yako Ina taarifa zote kuhusu mwili wako na inaweza developed mpaka ukatokea your identical with the same genotype and phenotype.
 
Binadamu wote wanafata Natural instinct kama wanyama wengine wanavyofanya maana Binadamu Hana uspecial wowote ni mnyama sawa na Mbuzi tu.


Pamoja na mengine yote uliyoyaandika hilo hapo ndilo limenifanya nijue uwezo wazo kiakili.

Ushauri wangu; Unapaswa ukae ujifunze kwa kina ndipo uingie katika ulingo wa hoja.
 
Hakuna roho ni jambo la kufikirika tu.
Ni Imani na hakuna uthibitisho wowote uwe wa kimazingira Wala kisayansi.

Na hii inapingwa zaidi na cloning technology ilivyozuidi kukua, kwamba single cell ya ngozi yako Ina taarifa zote kuhusu mwili wako na inaweza developed mpaka ukatokea your identical with the same genotype and phenotype.
Uwe unajibu maswali unayoulizwa. Roho ni nini ?

Type mfano ila usihusishe mbegu za uzazi katika Hilo zoezi, mbegu za uzazi zikihusika ujue hapo hakuna shughuli.

Kingine utoe mfano hata mmoja wa Human Cloning iliyo fanyika.
 
Pamoja na mengine yote uliyoyaandika hilo hapo ndilo limenifanya nijue uwezo wazo kiakili.

Ushauri wangu; Unapaswa ukae ujifunze kwa kina ndipo uingie katika ulingo wa hoja.
Kwa mtazamo wako
Ila huu ndio ukweli mchungu.

Homo Sapiens (Binadamu) ni ndio species tuliopo na kingdom Mammalia.

Ambao sifa mojawapo ni kunyonyesha ikiwa ni kundi Moja na Mbuzi, Ng'ombe na Panya.

Binadamu kinachomtofautisha na wengineo ni uwezo mkubwa wa akili.

Lakini imegundulika Pweza ni mmoja wa non primates wenye uwezo mkubwa wa akili.

Mbwa ana uwezo wa akili sawasawa na mtoto wa miaka mitano(5).

Hivyo binadamu sio pekee walio evolve na hiki kitu.

Kifupi unahitaji ujifunze mengi kabla hujaja na mtizamo mmoja ulioandikwa kwenye zama za ujinga kuwa ndio kweli pekee.
 
Uwe unajibu maswali unayoulizwa. Roho ni nini ?

Type mfano ila usihusishe mbegu za uzazi katika Hilo zoezi, mbegu za uzazi zikihusika ujue hapo hakuna shughuli.

Kingine utoe mfano hata mmoja wa Human Cloning iliyo fanyika.
Hakuna Roho kabisa
Kama kitu hakipo basi hakina maelezo ya maana ila kama itakupendeza soma hapo chini:

Ni Imani/myth za watu tu kutokana na maendeleo duni ya sayansi kipindi Cha kale.

Nimekwambia Human Cloning Teknoloji/ science uhitaji manii ili kuundiwa kiumbe kingine.

Na hii sio kwa Humans tu, species nyingine zinafanya Asexual reproduction toka kitambo.

Seli yako Moja toka kwenye ngozi yako ya mwili unaweza kutengenezwa mtu mwingine mwenye phenotype na genotype kama wewe.

Sasa kama haya hufahamu nikuite jina gani maana unajifanya una elimu sana.
 
Ulijia kama Uturuki kutatokea Tetemeko la ardhi ? Au unaijua kesho yako ? Ukitaka kujua ukomo wa akili ya mwanadamu waangalie Wanasayansi wanavyofikia hitimisho katika mambo Yao. Ushawahi kujiuliza kwanini kwenye Sayansi au Scientific Calculation zina "Assumptions". Kwanini kwenye Projectile Motion Calculation Kuna Assumptions, kwenye Universal Law Of Gravitational Kuna Assumption, kwenye Thermodynamics na kwingine ? Maana yake akili imekomea pale.

Sisi hatujilimit bali hayo ni maumbile ili kuepuka uongo na kidanganya watu.
Japan wanaweza kupredict tetemeko... haya sasa... mambo ya kujua kesho ni mpaka tujue what time is, zile theory za time traveling bado naona ni bs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa soma katika aya Kisha urudi katika yale uliyo yaandika uniambie Yana fanana ? Wewe ulisema Mtume alishika huo mwezi. Sasa huu mtindo ndiyo nitakuwa napenda nao Sasa hivi, yaani nawaachia mjielezee ili mzidi kuonekana mlivyo waongo na msio fatilia mambo. Yaani mnafanya khiyana mpaka kwenye kunukuu habari.

Sasa nakupa kazi nenda kafute ule uongo ulio uandika.
Kwahio mtume aliugawa mwezi vipande viwili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mtazamo wako
Ila huu ndio ukweli mchungu.

Homo Sapiens (Binadamu) ni ndio species tuliopo na kingdom Mammalia.

Ambao sifa mojawapo ni kunyonyesha ikiwa ni kundi Moja na Mbuzi, Ng'ombe na Panya.

Binadamu kinachomtofautisha na wengineo ni uwezo mkubwa wa akili.

Lakini imegundulika Pweza ni mmoja wa non primates wenye uwezo mkubwa wa akili.

Mbwa ana uwezo wa akili sawasawa na mtoto wa miaka mitano(5).

Hivyo binadamu sio pekee walio evolve na hiki kitu.

Kifupi unahitaji ujifunze mengi kabla hujaja na mtizamo mmoja ulioandikwa kwenye zama za ujinga kuwa ndio kweli pekee.


Eti binadamu anaendeshwa na instinct kama mbuzi??-- hivi nikikuambia akili yako kwa mambo uliyoyaandika ni sawa na akili ya mbuzi utakubali ??
 
Eti binadamu anaendeshwa na instinct kama mbuzi??-- hivi nikikuambia akili yako kwa mambo uliyoyaandika ni sawa na akili ya mbuzi utakubali ??
Kuamini katika higher power nayo ni kama instinct... inategemea tu instinct utadefine vp
Kuna anaefundisha mtoto mchanga kunyonya? Hio nayo ni instinct... vitu kama uoga wa nyoka ni moja kati ya human instinct (na tembo wana huu uoga ie. Extreme fear of snakes), fear, hunger, lust, care hizi zote ni instinct za binadamu, hakuna mtu anafundisha hivi vitu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mtazamo wako
Ila huu ndio ukweli mchungu.

Homo Sapiens (Binadamu) ni ndio species tuliopo na kingdom Mammalia.

Ambao sifa mojawapo ni kunyonyesha ikiwa ni kundi Moja na Mbuzi, Ng'ombe na Panya.

Binadamu kinachomtofautisha na wengineo ni uwezo mkubwa wa akili.

Lakini imegundulika Pweza ni mmoja wa non primates wenye uwezo mkubwa wa akili.

Mbwa ana uwezo wa akili sawasawa na mtoto wa miaka mitano(5).

Hivyo binadamu sio pekee walio evolve na hiki kitu.

Kifupi unahitaji ujifunze mengi kabla hujaja na mtizamo mmoja ulioandikwa kwenye zama za ujinga kuwa ndio kweli pekee.
Dolphins na nyangumi pia wana wanauwezo mkubwa wa kufikiri na kutunza kumbukumbu, zaid hata ya mbwa. Wengine wanasema kua Dolphins wanaakili kuliko hata chimps...

On the other hand... cheki chimpanzees walivo wanauwezo waku kariri kuliko hata binadamu:


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuamini katika higher power nayo ni kama instinct... inategemea tu instinct utadefine vp
Kuna anaefundisha mtoto mchanga kunyonya? Hio nayo ni instinct... vitu kama uoga wa nyoka ni moja kati ya human instinct (na tembo wana huu uoga ie. Extreme fear of snakes), fear, hunger, lust, care hizi zote ni instinct za binadamu, hakuna mtu anafundisha hivi vitu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana sikutaka kumjibu mkuu
Nashukuru umedadavua vizuri zaidi
Mwambie hata mtoto akiwa mdogo kila kitu hupeleka mdomoni.

Muulize na hiyo aiite nini?
 
Ndio maana sikutaka kumjibu mkuu
Nashukuru umedadavua vizuri zaidi
Mwambie hata mtoto akiwa mdogo kila kitu hupeleka mdomoni.

Muulize na hiyo aiite nini?
Yea. Every other creature is driven by instincts. Sema ni ile tu sie binadamu tumeevolve higher intelligence kwahio si kila kitu tunafanya kwa instinct.
Orcas (killer whales) pia nao hata kuhunt hawafanyi kwa instincts. Wanatambua kiumbe gan wanadeal nae. Wanaplot mipango namna ya kumuwinda kisha wanafanya, it's very interesting to see.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yea. Every other creature is driven by instincts. Sema ni ile tu sie binadamu tumeevolve higher intelligence kwahio si kila kitu tunafanya kwa instinct.
Orcas (killer whales) pia nao hata kuhunt hawafanyi kwa instincts. Wanatambua kiumbe gan wanadeal nae. Wanaplot mipango namna ya kumuwinda kisha wanafanya, it's very interesting to see.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ningependa Kutoa heshima kwa wakuu wawili ambao ni Scars na Kiranga kwa maana ni wajuvi kuliko Mimi.

Wazee wa logic ila nawaheshimu sana.

Wrudate kentushcy kwa uwezo wako.

Mtu anakwambia mapipa yanamwaga sijui na nani aliyepewa sifa ya kiumbe halafu Kuna maeneo ya Dunia hii hii mvua hunyesha kila baada ya miaka 5.

Unajiuliza Ina maana ana upendeleo?
Ukikumbuka sifa zake wanazotoa unabaki kucheka tu.
 
Back
Top Bottom