Ni Binadamu tu ndiye anaweza kuwa chaotic or disciplined na sio vitu vingine ambavyo ni governed by natural laws, Who then put the laws into play??-- that is the question you need to ask yourself.
Angalia, thermal nuclear Bomb katika intermediate stage kuna Hydrogen gas inalipuliwa na neutrons kutoka kwenye stage ya kwanza ( atomic bomb), hiyo hdrogen gas ina ji-fuse (fussion reaction) kutengeneza Helium gas ambapo joto kubwa sana na nuru pamoja na radiations hutolewa, mambo yote hayo yanatokea kwakuwa yamepangwa kitaalamu na nuclear scientists, tunaweza kusema ni; a conscious plan of conscious minded people to make a disciplinary machine in order to excute a desired purpose/ goal, sasa muundo huo huo wa stage hiyo ya thermonuclear bomb ndio muundo unaofanyika kwenye jua, Jua ni fussion reaction ya Hydrogen gas kuwa Helium gas, hiyo ni Nuclear reaction ndio maana tunapata the desired goals ya joto na mwanga wa jua hapa duniani, sasa kama huwezi kusema hiyo reaction katika thermonuclear bomb ni Chaotic utawezaje kusema the fussion reaction katika jua kitu ni chaotic?? ,Kama jambo limepangwa na wanasayansi kitaalamu lifanye kazi kusudiwa in disciplines tunaliita a disciplined thimg bila shaka mtu mwenye akili chaotic ndiye anayeweza kusema jua ni chaotic reaction ya hydrogen. ,
Kumbuka jua limekuwepo hata kabla ya sayansi ya nuclear na sayansi zingine kuwepoo na ndio maana nasema jua ni lazima limeumbwa na A conscious Supernatural being ili jua litende the non chaotic desired goals ambazo naamini unazijua, na ipo mifano hai lukuki ya non chaotic objects with desired goals ambazo ni mtu kichaa tu aliyejitoa akili atapinga kwamba hizo Objects hazikuumbwa.
Kumbuka ni binadamu ndiye ameumbwa ama achague chaotic au disciplined life na sio vitu vingine ambavyo uwepo wao ni governed by natural laws or instincts put in place by Supernatural Being namely God.