Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

Si ndio hicho ninachosema; kunapokuwepo na intelligence na consciousness hapo instincts zote zinakuwa governed na vitu hivyo viwili na hapo binadamu anakuwa haongozwi na instincts kama walivyokuwa wanyama, halafu ndipo inakuja morals, intelligence inajenga morals.

Hao octopus?? Wanaweza kuwa na intelligence kwa kiasi chao lakini hawawezi kuwa na morals kwani Morals inaendana na wajibu.

Mfano; Unapomkuta mtu (binadamu mwenzako) kaumia na wewe kama unayo nafasi ya kumsaidia akili (intelligence) itakutuma umsaidie hapo unakuwa umeshikwa na huruma (Moral) na unamsaidia ukijua labda ipo siku naye atakusaidia au Mungu atakulipa (obligation/wajibu).
Hii ndo definition ya morals according to Google...
Screenshot_20230226-220200_Google.jpg


Hapo ukiangalia mfumo wa maisha wa octopi ni kama hawawezkua na morals kwasababu watoto wa octopus hawalelewi, mama yao mara nyingi hifariki baada ya vitoto kutotolewa na baba yao hufa baada ya kujamiana. Ila kwa swala la intelligence, they're very intelligent.

It might be out of context ila I thought it's a cool fact.. [emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado hujajibu maswali ya post # 1021. Nasuburi majibu.
Umeuliza imperfections zipi ambazo mimi nadai zipo

Nimekujibu hivi

Imperfections zinazojadiliwa hapa ni ulimwengu kuwa na uwezekano wa kuruhusu mabaya kuwepo

Mungu angeumba ulimwengu ambao ni perfect basi mabaya yasingewezekana kwa namna yeyote ile

Sasa ili kuendelea mbele kuifanya hoja hii isiwe jibu unabidi uniambie kiwa unakataa kuwa ulimwengu huu hauruhusu mabaya?
 
Hilo liko wazi. Zingejengwa nyumba imara, maafa yasingeqakuta.
Hapo hujajibu swali

Nataka nijue kwanini Mungu aliruhusu watoto wasio ma hatia wawe sehemu ya kuadhibiwa kwenye jambo ambalo hawahusiki nalo?
 
Mungu hatetewi na mwanadamu, na sio Mungu aliyewadhibu. Wameadhibiwa na dhambi zao.

Sio kazi ya Mungu kukuzuia kutenda uovu, bali ni akili zako kuzingatia makatazo.

Si kazi ya Mungu kukuzuia usinywe sumu, la hasha. Ukinywa hakika utakufa, na si Mungu aliyekuua, bali ni sumu.

Sio kazi ya Mungu kukuzuia kuchoma moto nyumba yako, la hasha. Nyumba itashika moto na kusabisha maafa, na aliyesabisha maafa sio Mungu bali ni wewe.

Mungu hahusiki na yotokanayo na ouvu wa binadamu kwani bado hajatoa hukumu.
"Mungu hatetewi na mwanadamu" ???
Mbona ndio kitu tunaona kila siku? Hamna siku mungu kajitokeza na akajitetea mwenyew bali ni wanadamu. Wengine mpaka wanaua binadamu wenzao kisa mungu wao...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujaelezea Roho ni nini, soma vizuri utaona. Kama hamjajiandaa hii mijadala achaneni nayo.

Hata uwe na miaka 60, kama huna Elimu wewe Bado kijana na ni mtoto tena huenda hata balehe ya kwanza ya kielimu hujapata.

Usiniulize maswali hayo, nimemwambia mtoe mfano wa Human Cloning Kisha tujadili.

Roho ni nini ? Hili ndiyo swali langu.
Kifupi hakuna roho
Ila wajinga wachache wa kale waliinvent ili neno na wajinga wa Sasa kuliendeleza kutokana na uduni wa Sayansi enzi hizo.

Roho ni myth tu na stori za kale la Wahenga.
 
Bado swali langu hujajibu. Hivi huwa unatoa hivi maana ya vitu unavyo vijua ? Ngoja nikusaidie, waulize wenye kuamini au kujua roho wakupe maana.

Sasa hakuna vipi na hujui maana ya Roho.

Kama nabisha tena. Huu utoto una uleta.

Sasa soma hapa kuhusu Roho, Kisha ujifunze watu wanavyotoa maana ya kitu au vitu.

Naanzia hapa.

Katika mambo makubwa mno yenye kuwatatiza watu tangu dunia inaumbwa ni hili jambo kuhusu ROHO.

Wamepita Wanafalsafa wa kale na wa sasa, Wanasayansi wa zamani na wasasa, watu wa dini, na wasio kuwa hao katika kuelezea Roho ni nini, hatimae wamekuja na mitazamo mingi yenye kutatiza watu na isiyokuwa na ithibati wala hakika yoyote.

Lakini hao wote mpaka Wakana Mungu ( Atheists) wakakubaliana ya kuwa KIFO ni ule muda ambao maisha hukoma kwa kiumbe, au Roho kuacha mwili. Suala la Roho limebaki kuwa jambo lililo fichikana kuhusu hakika yake na undani wake, na Mola wetu hakutoa elimu juu ya Roho isipokuwa kidogo mno, na jambo hili limebaki kwake kwa mapana yake.

Mola wetu anasema katika Qur'aan, juu ya ukweli kuhusu ROHO.

85. Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo. (Israa : 85)

Hii inaonyesha ya kuwa suala la elimu juu ya Roho ni elimu kubwa mno na sisi tumepewa elimu ndogo sana juu ya ROHO na jambo hili linabaki kuwa kwake Mola wetu kwa undani wake.

Kama hali iko hivi, ni nini Roho ? Ni zipi sifa zake? Ni zipi tabia zake na ni upi uwezo wake ? Maswali haya watu hujiuliza sana.

Katika Elimu hiyo ndogo tuliyopewa na Mola wetu, tunaipata kutoka katika vyanzo vya uhakika na kuaminika ya kuwa, Roho ni kitu kisicho onekana, chenye mafungamano ya moja kwa moja na mwili.

Lakini Roho hiyo ina sifa kadhaa kwazo huwa tunazitumia kuelezea vitu vyenye kushikika (Tangible things), kama vile hupulizwa na Malaika kuupa mwili uhai na hutolewa kipindi mja anapokufa, hukutana na kuzungumza.

Mwili unakufa ila Roho haifi, roho hubaki milele. ROHO ni katika vile viumbe ambavyo vina mwanzo ila havina mwisho.

Huu ndiyo ukweli kuhusu ROHO kwa ufupi.

Zingatia : Wasomi wakubwa na wahakiki wa mambo, wametofautiana juu ya Roho na Nafsi, ya kuwa je ni kitu kimoja au ni vitu viwili vyenye kutofautiana. Wapo walio sema ya kuwa Roho na Nafsi ni vitu viwili tofauti na kutofautiana kwake hulingana na muktadha wa hali, wengine wakasema ya kuwa Nafsi ni mjumuiko kati ya Roho na Mwili, na wapo waliosema ya kuwa Roho ni Nafsi na Nafsi ni Roho
Hakuna mwenye kuamini atakaye leta maana kamili ya Hilo jambo.
Kwa nini?
Kwa sababu wenyewe wamesadiki bila kuwepo kwa uthibitisho Wala ushahidi wa kimantiki, kimazingira au kisayansi.

Hakuna Atheist aatakaye sema Kuna roho, nasema hakuna.

Kifo hutokea pale seli zako nyingi zitakapo kuwa zimekufa kuliko zinazosapoti uhai

Hata ukifikia near death nothing you see ni kiza tu, maana system za mwili zinakolapse.

Ndiyo nasema kijana jifunze na sio kukaririshwa vitabu vilivyoandikwa zama za ujinga.
 
Siwezi kujadiliana na wewe kwa sababu zifuatazo :

1. Mjinga

2. Mpumbavu mfano hakuna sehemu nimeandika "sio kama anapenda". Kama kunukuu ibara unashindwa, utaweza vipi kuwa na hoja za kujadiliana na Mimi.

3. Huna hoja

4. Huna adabu

5. Humjui Mola

Siku usipokuwa na hayo matano hapo juu nistue tujadili kwa hoja. Kingine kajifunze maana ya tamko "Mpumbavu" uweze kulitumia vizuri.

Nasubiri wenye hoja nijadiliane nao. Sijadiliani na wapumbavu kielimu.
Ukiona hivyo ni ishara ameshindwa kujenga hoja.

Hongera sana.
 
Hii ndo definition ya morals according to Google...
View attachment 2531016

Hapo ukiangalia mfumo wa maisha wa octopi ni kama hawawezkua na morals kwasababu watoto wa octopus hawalelewi, mama yao mara nyingi hifariki baada ya vitoto kutotolewa na baba yao hufa baada ya kujamiana. Ila kwa swala la intelligence, they're very intelligent.

It might be out of context ila I thought it's a cool fact.. [emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu nae naona kwenye hicho kipengele Cha morals alishindwa, Hana hoja ila anajaribu kujikakamua tu.

Kukubali ni ishara ya mtu mwelevu
 
Siwezi kujadiliana na wewe kwa sababu zifuatazo :

1. Mjinga

2. Mpumbavu mfano hakuna sehemu nimeandika "sio kama anapenda". Kama kunukuu ibara unashindwa, utaweza vipi kuwa na hoja za kujadiliana na Mimi.

3. Huna hoja

4. Huna adabu

5. Humjui Mola

Siku usipokuwa na hayo matano hapo juu nistue tujadili kwa hoja. Kingine kajifunze maana ya tamko "Mpumbavu" uweze kulitumia vizuri.

Nasubiri wenye hoja nijadiliane nao. Sijadiliani na wapumbavu kielimu.
Ujinga sio tusi ila kumwita mtu mpumbavu ni tusi.

Kwenye Dunia watu tunatofautiana mitazamo, kiwango Cha elimu, kutembea, kujionea ila mijadala kama hii inatengeneza ulinganifu.

Watu wengi hasa wenye mitazamo aina yako unakuta wamebase kwenye kitabu kimoja hivyo kuwa na uelewa finyu wa jinsi Theology ilivyotumika kwenye dini zao na elimu ya falsafa kwa ujumla.
 
Kifupi hakuna roho
Ila wajinga wachache wa kale waliinvent ili neno na wajinga wa Sasa kuliendeleza kutokana na uduni wa Sayansi enzi hizo.

Roho ni myth tu na stori za kale la Wahenga.
Hamna shughuli tena hapa. Cha msingi muache kuongelea mambo ambayo hamna Elimu nayo. Jambo dogo tu la Roho tu limekushinda. Vipi kuhusu Mola, hapa nikikuuliza Mola ni nani nanga itapaa.

Nakuacha na faida ya maana ya maana, ili siku nyingine ukiulizwa swali ujue unatakiwa uandike nini au ufanye nini kuhusu maana. Maana ni kuelezea jambo au kitu fulani kuingiza yote yahusuyo kitu hicho na kuzuia yote yasiyo kihusu kitu husika. Hii ndiyo maana ya maana.
 
Hakuna mwenye kuamini atakaye leta maana kamili ya Hilo jambo.
Kwa nini?
Kwa sababu wenyewe wamesadiki bila kuwepo kwa uthibitisho Wala ushahidi wa kimantiki, kimazingira au kisayansi.

Hakuna Atheist aatakaye sema Kuna roho, nasema hakuna.

Kifo hutokea pale seli zako nyingi zitakapo kuwa zimekufa kuliko zinazosapoti uhai

Hata ukifikia near death nothing you see ni kiza tu, maana system za mwili zinakolapse.

Ndiyo nasema kijana jifunze na sio kukaririshwa vitabu vilivyoandikwa zama za ujinga.
Naona hujasoma nilicho kiandika. Ulitakiwa ukosoe au uandike kielimu kama nilivyo fanya Mimi. Kwa mtindo huu mnathibitisha ya kuwa mna mtindio wa ubongo kama alivyo sema mtoa mada.

Kifo kinaonyesha au kuthibitisha ya kuwa Roho ipo kadhalika usingizi na mengine mengi.

Sasa Atheist ataweza vipi kuongelea Roho wakati haijui na hawezi kufikiria mambo kwa uhalisia wake na mapana yake ? Kijana una wazimu bila shaka.

Sasa uletewe mara ngapi hiyo maana ?
 
Ujinga sio tusi ila kumwita mtu mpumbavu ni tusi.

Kwenye Dunia watu tunatofautiana mitazamo, kiwango Cha elimu, kutembea, kujionea ila mijadala kama hii inatengeneza ulinganifu.

Watu wengi hasa wenye mitazamo aina yako unakuta wamebase kwenye kitabu kimoja hivyo kuwa na uelewa finyu wa jinsi Theology ilivyotumika kwenye dini zao na elimu ya falsafa kwa ujumla.
Huwa najifunza adabu na matumizi ya maneno na maana za maneno kabla ya Elimu. Nikitumia tamko/neno kwa mtu ujue nimempa stahiki yake. Mtu akiwa mpumbavu na ukamuita mpumbavu hujamtukana, kwani maana ya Mpumbavu ni yule ambaye hajui na hajui kama hajui.

Jambo ambalo hulijui kuhusu Mimi, ni kuwa kila Elimu ina misingi yake anuai, na mimi nilisoma misingi ya Elimu husika, nimesoma Falsafa kadhalika nimesoma Logic, hizi Elimu zote zimekuja kuharibu katika mambo ya dini, sababu watu waliingiza fikra zao na mitazamo yao kwenye dini. Hili kwetu sisi Waislamu tuliliona na tukalikemea ndiyo maana mafundisho ya Uislamu yako wazi na straight sana, tofauti na dini nyingine ambazo wamefanya falsafa kama Somo msingi katika taaluma zao za kidini.

Kijana huna cha kuniambia kuhusu Falsafa kadhalika Logic, ukitaka uwe mjinga na mvivu wa kufikiri soma au jikite katika Elimu hizo za Falsafa na Logic.

Leteni hoja zenu ikiwa nyinyi mnasema ukweli.
 
Always, chaotic senses see things chaotically, however good an object may be a chaotic sense will visualize it chaotically.

An Excuse lays on your chaotic senses but not on the disciplinary consciously designed world, designed by an eternal conscious super being namely God.

Eti unauliza; Namtoa Mungu wapi??, na wewe Jiulize huyo aliyekuchagulia hiyo jinsia yako ni nani?? au kabla hujazaliwa wazazi wako waliweka kikao kupanga uwe na hiyo jinsia yako??, nani alikuchagulia hao wazazi wawe ni wako??, nani alipanga uzaliwe ukiwa na ngozi nyeusi kama mkaa??, ni nani alipanga uzaliwe Tz katika kijiji hicho nk??, wewe unadhani mambo hayo yote yalikuja chaotically (by chances)??, for your information it was the game of chess which was put in place and not the game of chance.
Mungu ndio anachagua jinsia?

Ulisoma Biology wapi ndugu?

Mungu anakaa na baraza lake wanachagua Bwana Uledi tumpe jinsia ya kiume leo,tupige kura,50 kwa 10,imepita hiyo!

Biology ulisoma chooni basi

World ni chaotic,mengine unayoongea ni mavi matupu,maana vinapingana na experiments scientific tulizofanya shule na kujihakikishia!
 
Siwezi kujadiliana na wewe kwa sababu zifuatazo :

1. Mjinga

2. Mpumbavu mfano hakuna sehemu nimeandika "sio kama anapenda". Kama kunukuu ibara unashindwa, utaweza vipi kuwa na hoja za kujadiliana na Mimi.

3. Huna hoja

4. Huna adabu

5. Humjui Mola

Siku usipokuwa na hayo matano hapo juu nistue tujadili kwa hoja. Kingine kajifunze maana ya tamko "Mpumbavu" uweze kulitumia vizuri.

Nasubiri wenye hoja nijadiliane nao. Sijadiliani na wapumbavu kielimu.
Its so strange kama hutaki majadiliano na watu wenye mawazo tofauti na wewe

Kama tungekua wote tuna mawazo kama yako basi mjadala usingekua na maana

Mimi mjinga,according to your own evaluation...which is fine

Mola ni mavi gani?Unamjua wewe,usije generalize unachoamini wewe!

Una elimu gani ndugu?Maana una mshumaa wakati you are looking at the sun!
 
Its so strange kama hutaki majadiliano na watu wenye mawazo tofauti na wewe

Kama tungekua wote tuna mawazo kama yako basi mjadala usingekua na maana

Mimi mjinga,according to your own evaluation...which is fine

Mola ni mavi gani?Unamjua wewe,usije generalize unachoamini wewe!

Una elimu gani ndugu?Maana una mshumaa wakati you are looking at the sun!
Siyo sitaki majadiliano na watu wengine, sitaki majadiliano na wewe kwa sababu una sifa nilizo zitaja.

Wengine huoni navyo jadiliana nao humu ndani.

Kazi yangu nimemaliza.
 
Ujanja wao wakikutana ila kwenye ndoa ni wajinga mnoo zimechomoka
 
Siyo sitaki majadiliano na watu wengine, sitaki majadiliano na wewe kwa sababu una sifa nilizo zitaja.

Wengine huoni navyo jadiliana nao humu ndani.

Kazi yangu nimemaliza.
Hutaki majadiliano na mimi,still unajadiliana na mimi,upo confused!

Huwezi jigeuza mganga na kuanza kubuni eti "sijasoma",you dont know me!Hujui nimesoma wapi au unapima watu wirelessly?

The funny thing is,huenda wewe ndio hujasoma.....told you,umeshika mshumaa unaona mshumaa wako ndio the shit,kumbe you staring to the sun!

Huna lolote,you are scared of people with sharper ideas than yours!
 
Hutaki majadiliano na mimi,still unajadiliana na mimi,upo confused!

Huwezi jigeuza mganga na kuanza kubuni eti "sijasoma",you dont know me!Hujui nimesoma wapi au unapima watu wirelessly?

The funny thing is,huenda wewe ndio hujasoma.....told you,umeshika mshumaa unaona mshumaa wako ndio the shit,kumbe you staring to the sun!

Huna lolote,you are scared of people with sharper ideas than yours!
Poa.
 
Back
Top Bottom