Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

Hilo sina elimu nalo. Nacho jua ukifa kuna maswali matatu kila mtu ataulizwa, ila lugha itakayo tumika haijatajwa.

Lakini kwa Allah hili ni jambo dogo sana huenda kila mtu akaulizwa kwa lugha yake sababu Allah ndiyo ameziumba hizi lugha.
Hahahah[emoji23], Mkuu vipi una experience ya kifo au unajiandikia tu chochote kile?
 
Dadekiii... nyie watu wa dini mnapenda kutufunga kamba bwanaaa... kwamba allah kaumba lugha zote hizi? Ziliumbwa kwa siku moja zote? Kiswahili kimekuepo tokea lini, unajua?

Sent using Jamii Forums mobile app
Angalizo humu Kuna watu wjainga sana na wewe ni miongoni mwao. Unapo kanusha jambo hakikisha unalikuta na unajibu sahibi kinyume chake. Huu utoto fanyeni na watoto wenzenu, msilete katika mijadala ya kielimu kama hii.

Anasema Allah aliye juu :

13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari. (al-Hujirat : 13)

Sasa wewe uje uonyeshe uongo wa hiki nilichokiandika.
 
Hahahah[emoji23], Mkuu vipi una experience ya kifo au unajiandikia tu chochote kile?
Unajuaje ukweli wa mambo yaliyo fichikana ? Sharti lazima ume yadiriki au ?

Mimi siko kama nyinyi kuandika tu ilimradi. Hata swali ulilouliza ni swali la kitoto sana, linaonyesha mchanga katika mambo haya, yaani huna Elimu kabisa. Sasa jibu swali nililo kuuliza.
 
Angalizo humu Kuna watu wjainga sana na wewe ni miongoni mwao. Unapo kanusha jambo hakikisha unalikuta na unajibu sahibi kinyume chake. Huu utoto fanyeni na watoto wenzenu, msilete katika mijadala ya kielimu kama hii.

Anasema Allah aliye juu :

13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari. (al-Hujirat : 13)

Sasa wewe uje uonyeshe uongo wa hiki nilichokiandika.
Ndio kitu mnaishia kusema icho. Mkishindwa hoja mnaanza kuita watu wajinga wakat wajinga wa kwanza ni nyie na miungu yenu hio ya dhahania... hamna proof yyte zaid ya hivo vitabu mnaviita vitakatifu ambavyo pia mnajidanganya kuhusu nani aliviandika.

Dini zenu zimejaa chuki, vitisho, ubaguzi.. mtu mwenye akili hawez amino huo upuuz wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalizo humu Kuna watu wjainga sana na wewe ni miongoni mwao. Unapo kanusha jambo hakikisha unalikuta na unajibu sahibi kinyume chake. Huu utoto fanyeni na watoto wenzenu, msilete katika mijadala ya kielimu kama hii.

Anasema Allah aliye juu :

13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari. (al-Hujirat : 13)

Sasa wewe uje uonyeshe uongo wa hiki nilichokiandika.
Uongo huu hapa, lugha zimeendelea kuzaliwa kila mara. Na zimetengenzwa na binadamu sisi wenyew na sio huyo mythical being wenu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio kitu mnaishia kusema icho. Mkishindwa hoja mnaanza kuita watu wajinga wakat wajinga wa kwanza ni nyie na miungu yenu hio ya dhahania... hamna proof yyte zaid ya hivo vitabu mnaviita vitakatifu ambavyo pia mnajidanganya kuhusu nani aliviandika.

Dini zenu zimejaa chuki, vitisho, ubaguzi.. mtu mwenye akili hawez amino huo upuuz wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza weka akilini katika hili hakuna wa kunishinda hoja wala wewe kuwa na hoja.

Nilisha waambia hivi tunapoweka aya mnatakiwa mzisome na mzitafakari siyo mnaruka ruka tu kama hivi.

Huwa nawauliza hivi "What actually Constitutes proof ?". Elezeni ili hivi tunavyo viweka visiwe ushahidi.

Kingine haswaa Qur'aan na Hadithi vyote vimedhibitiwa siyo nyinyi Leo hii tukiwataka mtuelezee habari za Wanasayansi wa miaka 600 mbele kwa ushahidi mtashindwa kutoka, sababu hamjui kudhibiti mambo.

Nimecheka sana, kijana unapokosa hoja Bora utulie au usome walicho andika wenzako huenda ukafaidika. Sasa hii aya ya mwisho inathibitisha ugonjwa wako wa akili na huna hoja. Unalia lia.
 
Uongo huu hapa, lugha zimeendelea kuzaliwa kila mara. Na zimetengenzwa na binadamu sisi wenyew na sio huyo mythical being wenu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Andiko liko wazi, shida yenu hamsomi mkaelewa, aya imetaja makabila haijafunga idadi maalumu wala kuweka ukomo. Kwahiyo hata zikizalikaja lugha nyingine ujue Allah ameziumba na ametaka ziwepo.

Aya Iko wazi sana. Bado hujaonyesha uongo. Ili uonyeshe uongo ulitakiwa useme hakuna mataifa, hakuna makabila. Ukiambiwa makabila ujue ndiyo lugha hizo.
 
Andiko liko wazi, shida yenu hamsomi mkaelewa, aya imetaja makabila haijafunga idadi maalumu wala kuweka ukomo. Kwahiyo hata zikizalikaja lugha nyingine ujue Allah ameziumba na ametaka ziwepo.

Aya Iko wazi sana. Bado hujaonyesha uongo. Ili uonyeshe uongo ulitakiwa useme hakuna mataifa, hakuna makabila. Ukiambiwa makabila ujue ndiyo lugha hizo.
Ni sawa na mm nisema kesho utaamka ukiwa hai, na kesho iwe ivo afu useme nimekutabiria uhai. Smh[emoji2365]
Alietunga icho kitabu alikua tyr kashayaona hayo mambo kua yapo. Hakuna cha allah wala yahweh wala nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza weka akilini katika hili hakuna wa kunishinda hoja wala wewe kuwa na hoja.

Nilisha waambia hivi tunapoweka aya mnatakiwa mzisome na mzitafakari siyo mnaruka ruka tu kama hivi.

Huwa nawauliza hivi "What actually Constitutes proof ?". Elezeni ili hivi tunavyo viweka visiwe ushahidi.

Kingine haswaa Qur'aan na Hadithi vyote vimedhibitiwa siyo nyinyi Leo hii tukiwataka mtuelezee habari za Wanasayansi wa miaka 600 mbele kwa ushahidi mtashindwa kutoka, sababu hamjui kudhibiti mambo.

Nimecheka sana, kijana unapokosa hoja Bora utulie au usome walicho andika wenzako huenda ukafaidika. Sasa hii aya ya mwisho inathibitisha ugonjwa wako wa akili na huna hoja. Unalia lia.
Unahoja wapi ww. Hoja zenu zinashindwa tu pale mtu akisema 'prove it' au mwambie mungu wako aje athibitishe uwepo wake mwenyewe. Why umtetee ww?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni sawa na mm nisema kesho utaamka ukiwa hai, na kesho iwe ivo afu useme nimekutabiria uhai. Smh[emoji2365]
Alietunga icho kitabu alikua tyr kashayaona hayo mambo kua yapo. Hakuna cha allah wala yahweh wala nn

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo huyo mtunzi aseme kwamba ameyaumba hayo makabila bila shaka unakusudia mtunzi ni mwanadamu ? Tupe faida hapa.

Tuambie mtunzi wa hiki kitabu ni nani ? Na ilikuwa lini ?
 
Unahoja wapi ww. Hoja zenu zinashindwa tu pale mtu akisema 'prove it' au mwambie mungu wako aje athibitishe uwepo wake mwenyewe. Why umtetee ww?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mola wetu hafanyi jambo kwa kuambiwa ana amua mwenyewe na ameshatuumba katika umbile la kutambua uwepo wake, ndiyo maana huwa tunasema wanao mpinga Mola ni wale wote wasio fikiria kwa undani na walio potoka kwa kuukataa ukweli wa wazi.

Swali nimeuliza uthibitisho ili uwe uthibitisho unatakiwa uwe na sifa gani ?

Kingine Mola wetu hatetewi, bali anaelezewa ka alivyo jielezea yeye au kama alivyoelezewa na mitume wake. Kila kitu alishakiweka wazi hakuna haja ya hayo unayo yataka.
 
Kwahiyo huyo mtunzi aseme kwamba ameyaumba hayo makabila bila shaka unakusudia mtunzi ni mwanadamu ? Tupe faida hapa.

Tuambie mtunzi wa hiki kitabu ni nani ? Na ilikuwa lini ?
Utunzi wa hicho kitabu clearly unaona ni binadamu tena aliekua mashariki ya kati asie na ujuzi kuhusu maeneo mengine. Ukiangalia kwanzia wanavo describe dunia nk..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mola wetu hafanyi jambo kwa kuambiwa ana amua mwenyewe na ameshatuumba katika umbile la kutambua uwepo wake, ndiyo maana huwa tunasema wanao mpinga Mola ni wale wote wasio fikiria kwa undani na walio potoka kwa kuukataa ukweli wa wazi.

Swali nimeuliza uthibitisho ili uwe uthibitisho unatakiwa uwe na sifa gani ?

Kingine Mola wetu hatetewi, bali anaelezewa ka alivyo jielezea yeye au kama alivyoelezewa na mitume wake. Kila kitu alishakiweka wazi hakuna haja ya hayo unayo yataka.
Uthibitisho wa kwamba yupo! Hakuna uthibitisho wowote...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalizo humu Kuna watu wjainga sana na wewe ni miongoni mwao. Unapo kanusha jambo hakikisha unalikuta na unajibu sahibi kinyume chake. Huu utoto fanyeni na watoto wenzenu, msilete katika mijadala ya kielimu kama hii.

Anasema Allah aliye juu :

13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari. (al-Hujirat : 13)

Sasa wewe uje uonyeshe uongo wa hiki nilichokiandika.
Uislamu unautambua ukristo au dini nyingine kwa mujibu wa Quran?
 
Hilo sina elimu nalo. Nacho jua ukifa kuna maswali matatu kila mtu ataulizwa, ila lugha itakayo tumika haijatajwa.

Lakini kwa Allah hili ni jambo dogo sana huenda kila mtu akaulizwa kwa lugha yake sababu Allah ndiyo ameziumba hizi lugha.

Maswali matatu kila mtu ataulizwa, wapi huko?
Kama lugha itayotumika haijatajwa basi ni kwa vipi uamini kwamba maswali yatakuwa ni hayo hayo matatu tu ambayo wewe najua utasema yamefundishwa/yametoka kwenye uislam?
Kama kila mtu ataulizwa kwa lugha yake maana yake hata mafunzo yatakuwa yapo tofaut kumuhusu huyo mungu mana si tupo toka mataifa mbali mbali mpaka yale ambayo uislam haukuweza kutoboa kule!?

Naomba majibu.
 
Hilo sina elimu nalo. Nacho jua ukifa kuna maswali matatu kila mtu ataulizwa, ila lugha itakayo tumika haijatajwa.

Lakini kwa Allah hili ni jambo dogo sana huenda kila mtu akaulizwa kwa lugha yake sababu Allah ndiyo ameziumba hizi lugha.
Duuh jamaa Muongo wewe.
 
Andiko liko wazi, shida yenu hamsomi mkaelewa, aya imetaja makabila haijafunga idadi maalumu wala kuweka ukomo. Kwahiyo hata zikizalikaja lugha nyingine ujue Allah ameziumba na ametaka ziwepo.

Aya Iko wazi sana. Bado hujaonyesha uongo. Ili uonyeshe uongo ulitakiwa useme hakuna mataifa, hakuna makabila. Ukiambiwa makabila ujue ndiyo lugha hizo.
Jamaa unaforce ukubalike ukipewa challenge unatukana
 
Salaamu wakuu.

Niende Moja kwa moja kwenye mada.

Utakuta mtu anasifia gari ; "Hii gari kiboko kweli mainjinia wake walikuna vichwa balaa katika usanifu na gari hii haina mpinzani kwani katika kila nyanja ipo okay", ilmuradi tu gari litasifiwa hata kama linazo kasoro na mapungufu fulani.

Hao hao ma atheists utawasikia tena wakisifia; "Hii computer achana nayo, inakasi kubwa balaa utadhani haikundwa na.binadamu bali imedondoka kutoka mbinguni".

Ma atheists hawaishi hapo tu, hebu wakaribishe kwenye pilau utawasikia; "Aise huu msosi kiboko, mtamu kweli, sijui kapika nani !!? Mpishi katoka wapi??!, pasi shaka umepikwa na mtu kutoka pwani kwani watu wa bara hawawezi mapishi ya aina hii !! ".

Huyo atheist anatoa madai kana kwamba huyo mpishi anamjua na kamuona!!, sasa kwa utani tu jaribu kumwaambia kwamba msosi huo umejipika wenyewe!!, utashambuliwa kwa kejeli na matusi na kupewa majina mabaya ya kukutoa akili, utawasikia wakisema; wewe unamatatizo kichwani mwako inawezekanaje chakula kijipike chenyewe??!!.

Sasa njoo kwenye uumbaji wa dunia na uwaulize; je hawaoni uzuri wa dunia na vilivyopo juu yake, navyo havijaumbwa??, hakuna nafsi iliyoumba dunia.na ulimwengu??, endelea kuwahoji; kama wapo Ma engineers waliounda lile gari, ile computer na yupo mpishi aliyepika lile pilau safi vipi akosekane Yule aliyeumba dunia safi na vilivyomo??--- hapo akili zao zinashikwa na wazimu kwani wanajua ni lazima Mungu atajwe katika uumbaji wa dunia na vilivyomo na wao kusikia jina "Mungu" kwao ni ugonjwa wa mzio (allergy), sasa watakuuliza; Huyo Mungu yuko wapi??!, ukiwajibu; Mungu huwa haonekani, waona wamepata silaha, watahoji; tutaaminije kitu kisichoonekana ndio kimeumba hii dunia??-- wanasahau kwamba hata ile pilau waliokula hawakumuona mpishi wake lakini wanaamini ilipikwa na mtu-mpishi lakini wakiambiwa Kuna muumba, Mungu wa dunia na ulimwengu hawataki kusikia.

Ewe Mungu wasamehe hawa viumbe wako na uwaongoze katika njia zako na uwaondoshee kibri na majivuno.
Since time immemorial in my stay in Tanzania, I have never seen an atheist but rather some individuals with poor reasoning or some folks who lack fundamental knowledge in what they beleive.
 
Back
Top Bottom