PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
- Thread starter
-
- #321
European cars wanamiliki watu wachache hapa nchini sioni sababu ya kufananisha na TOYOTA tukiongelea kwa magari ya kijapani crown ni babukubwaUsidharau gari za kijapan, Technology imebadilika kuna gari za Japan zinamkalisha mzungu
Acha ushabiki usio na tija nduguDereva wenu alikuwa mwoga sidhani kama voksiwagen anaweza kumuacha kabisa crown
CC Mshana JrSpidi na nguvu nenda ujerumani,,
na vp kuhusu CROWN COMFORT...??Karibu, Kuna Crown Royal Saloon, Crown Athlete na Crown Majesta
sijui kwanini sijawahi kutana na mtu kama wewe barabarani!... Naomba sana nije kutana na wewe, nione kama gauge yangu itasoma hivyo!.Carina Ti ijitutumue kwa crown jaman si dharau hizi.......carina labda uyavimbie malori mzee, crown next level kibongo bongo.
View attachment 788127View attachment 788128View attachment 788129
ok nunua vw polo mpya 1200cc 68hp afu fika hata 180 ha inawezekana sembuse 240kph ....note that pia sio gari zote zinafika spid ilioko kwa dashHizo speed lazima zifike vinginevyo tayari kunakuwa kuna shida kwenye gearbox au engine. So far tunanunua magari used ambayo tayari yameshapungua efficiency NOTE THAT ALSO
vitz ziko had za 1800cc na duet ad 1300ccduet na vits mbona zote ni toyota na zote ni cc990
unaongelea 3S yenye hp ngap labda maana 3S ipo sokoni kitambo na kuna toleo kama 5 au sita hivi mfano ya 90 had 99 ina hp 170 while 3GR ina 228hp na mwenzake 4GR ana 210+Crown Athlete sio new model over Majesta. Hizo ni different version tu, Moja ni Luxury (Majesta) nyengine ni Sportier (athelete). Halafu sio kila Athlete inafua dafu mbele ya Majesta, Athelete yenye engine ya 2gr ndio iko powerful. Most of the atheletes zinazokuja hapa ni 3gr au 4gr, ambazo wala sivyo watu wanavozisifia. Crown yenye 4gr engine kwa mfano, akikutana na Altezza 3sge au 2jz stock engine, basi hio athlete itakuwa taabani. Hata 3gr engine Athlete nayo haina power ya kutisha kabisa.
Halafu mleta mada Carina unatakiwa uweke ligi na kina Spacio na vitz bana sio Crown.... mimi ningekuwa na crown alafu wewe una carina unataka ligi, ningekuwacha ushinde, siwezi kuchoma mafuta nikakosa fun π π π
Toa mfano basi ili kuthibitisha maneno yako!Usidharau gari za kijapan, Technology imebadilika kuna gari za Japan zinamkalisha mzungu
Mkuu nimezungumzia 3SGE ipo kwenye post hapo, nimeitaja specifically ni 3SGE sijasema 3s halafu nkaondoka tu. Halafu usijekufikiri kuwa nimesema kuwa hio ipo powerful kuliko hiz GR engines, nimesema zinatoka kijasho tu, kwa maana kuwa hazi tishi kiivo.unaongelea 3S yenye hp ngap labda maana 3S ipo sokoni kitambo na kuna toleo kama 5 au sita hivi mfano ya 90 had 99 ina hp 170 while 3GR ina 228hp na mwenzake 4GR ana 210+
Ishapigwa na chini hio π π πna vp kuhusu CROWN COMFORT...??
Hamna tena izo, ila kama ni collector, ni fresh tu....Vipi crown deluxe? Naona imekaa kishua shua
Ili kuhakikisha kuwa hupitwi na gari nyingine ukiwa unaenda safari za mbali na uko kwenye highway unatakiwa uwe aunakimiba angalau kwenye spidi ya km140 kwa saa. Hiyo spidi ya 125 kwa saa hata leaner anaweza akaifikia.Moja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama
Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi.....sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.
Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga
Hongereni wote mnaoendesha athletes crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
Subaru GVB, Nissan Skyline GT, Lexus Aristo na Evo 10Toa mfano basi ili kuthibitisha maneno yako!
PoaSubaru GVB, Nissan Skyline GT, Lexus Aristo na Evo 10
3sge ni engine babe sana na ina advanced power rpm 7300...Mkuu nimezungumzia 3SGE ipo kwenye post hapo, nimeitaja specifically ni 3SGE sijasema 3s halafu nkaondoka tu. Halafu usijekufikiri kuwa nimesema kuwa hio ipo powerful kuliko hiz GR engines, nimesema zinatoka kijasho tu, kwa maana kuwa hazi tishi kiivo.
Na kuna mnyama Nissan fuga V6....weka mbali na watotoSubaru GVB, Nissan Skyline GT, Lexus Aristo na Evo 10
Hichi ulichosema ungemreply uyo niliemreply mimi. Naelewa hizi vitu vizuri. Kuna watu wanafikiri Crown ikiandikwa Athlete tu basi hio ni moto wakati kuna nyengine za kawaida tu hazina ubavu wowote.3sge ni engine babe sana na ina advanced power rpm 7300...
we njoo na 4gr nakugomea kuovertake..
3sge iko vizuri hasa uikute kwenye tezza is200