Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Usidharau gari za kijapan, Technology imebadilika kuna gari za Japan zinamkalisha mzungu
European cars wanamiliki watu wachache hapa nchini sioni sababu ya kufananisha na TOYOTA tukiongelea kwa magari ya kijapani crown ni babukubwa
 
Hizo speed lazima zifike vinginevyo tayari kunakuwa kuna shida kwenye gearbox au engine. So far tunanunua magari used ambayo tayari yameshapungua efficiency NOTE THAT ALSO
ok nunua vw polo mpya 1200cc 68hp afu fika hata 180 ha inawezekana sembuse 240kph ....note that pia sio gari zote zinafika spid ilioko kwa dash
 
Crown Athlete sio new model over Majesta. Hizo ni different version tu, Moja ni Luxury (Majesta) nyengine ni Sportier (athelete). Halafu sio kila Athlete inafua dafu mbele ya Majesta, Athelete yenye engine ya 2gr ndio iko powerful. Most of the atheletes zinazokuja hapa ni 3gr au 4gr, ambazo wala sivyo watu wanavozisifia. Crown yenye 4gr engine kwa mfano, akikutana na Altezza 3sge au 2jz stock engine, basi hio athlete itakuwa taabani. Hata 3gr engine Athlete nayo haina power ya kutisha kabisa.

Halafu mleta mada Carina unatakiwa uweke ligi na kina Spacio na vitz bana sio Crown.... mimi ningekuwa na crown alafu wewe una carina unataka ligi, ningekuwacha ushinde, siwezi kuchoma mafuta nikakosa fun 😀 😀 😀
unaongelea 3S yenye hp ngap labda maana 3S ipo sokoni kitambo na kuna toleo kama 5 au sita hivi mfano ya 90 had 99 ina hp 170 while 3GR ina 228hp na mwenzake 4GR ana 210+
 
Kapicha mkuu kunogesha tangazo....
WhatsApp Image 2018-05-29 at 06.58.36.jpeg
WhatsApp Image 2018-05-29 at 06.58.35(3).jpeg
WhatsApp Image 2018-05-29 at 06.58.35(1).jpeg
WhatsApp Image 2018-05-29 at 06.58.35.jpeg
WhatsApp Image 2018-05-29 at 06.58.34.jpeg
WhatsApp Image 2018-05-29 at 06.58.36(1).jpeg
 
unaongelea 3S yenye hp ngap labda maana 3S ipo sokoni kitambo na kuna toleo kama 5 au sita hivi mfano ya 90 had 99 ina hp 170 while 3GR ina 228hp na mwenzake 4GR ana 210+
Mkuu nimezungumzia 3SGE ipo kwenye post hapo, nimeitaja specifically ni 3SGE sijasema 3s halafu nkaondoka tu. Halafu usijekufikiri kuwa nimesema kuwa hio ipo powerful kuliko hiz GR engines, nimesema zinatoka kijasho tu, kwa maana kuwa hazi tishi kiivo.
 
Ndoto yako nzuri kijana, hapo ukipata mil 200, kitu cha kwanza ndinga crown alafu itakayo bakia hujui cha kufanya , SAFI SANA
 
Moja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama

Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi.....sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.

Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga

Hongereni wote mnaoendesha athletes crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
Ili kuhakikisha kuwa hupitwi na gari nyingine ukiwa unaenda safari za mbali na uko kwenye highway unatakiwa uwe aunakimiba angalau kwenye spidi ya km140 kwa saa. Hiyo spidi ya 125 kwa saa hata leaner anaweza akaifikia.
 
Mkuu nimezungumzia 3SGE ipo kwenye post hapo, nimeitaja specifically ni 3SGE sijasema 3s halafu nkaondoka tu. Halafu usijekufikiri kuwa nimesema kuwa hio ipo powerful kuliko hiz GR engines, nimesema zinatoka kijasho tu, kwa maana kuwa hazi tishi kiivo.
3sge ni engine babe sana na ina advanced power rpm 7300...
we njoo na 4gr nakugomea kuovertake..
3sge iko vizuri hasa uikute kwenye tezza is200
 
3sge ni engine babe sana na ina advanced power rpm 7300...
we njoo na 4gr nakugomea kuovertake..
3sge iko vizuri hasa uikute kwenye tezza is200
Hichi ulichosema ungemreply uyo niliemreply mimi. Naelewa hizi vitu vizuri. Kuna watu wanafikiri Crown ikiandikwa Athlete tu basi hio ni moto wakati kuna nyengine za kawaida tu hazina ubavu wowote.

By the way, Hakuna Tezza is200, na 3sge ipo kwenye Toyota Altezza tu, Lexus is200 inatumia 1gfe
 
Back
Top Bottom