Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Dereva wenu alikuwa mwoga sidhani kama voksiwagen anaweza kumuacha kabisa crown

Mkubwa, Volvo, VW, BMW, sahani inaenda hadi 260km/h mbaya zaidi unavyokanyaga wese ndio gari iko stable haitetereki.

Hapo itakua suala la ujasiri wa dereva, lakini kama tunaongelea uwezo wa gari, haziwezi kushindana.
 
yes kaka hizo gari zinakimbia but still zina wababe road one day natoka mtwara kuja dar nilikua kama na 130 ivi nikamuomba jamaa kagoma nilikuja kumu overtake na 160.....
 
niambieni na hii gari yetu landcruiser prado SKZ ENGINE DIESEL, alafu ni TURBO, niliifungua speed 140 hadi gari inapiga mluzi, na tyre zikitanuka kwenda nje,, nilivipita visubaru na vialtezza, kama napita baiskeli tu. sijui hiyo athlete crown kama ingenikamata kwa kweli.
 
carina na crown wapi na wapi. carina mwenzie paso na vits tu. crown na mark x na brevis au aud au benz au bmd apo sawa.

na carina? yerewiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…