wamaukweli
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 1,084
- 1,277
Kumbuka chuma chuma tuuWala usiwe na wasiwasi gari ipo stable sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka chuma chuma tuuWala usiwe na wasiwasi gari ipo stable sana
Miaka kadhaa nyuma nilikua naend mpaka 250, na chuma cha mjerumani..Mtu unatembe na gari 120km/h unakuja unajisifu hapa. Huku nikupoteza muda. Ingekuwa 220 kwenda juu ninge kuelewa.
Kombi new model au old modelCombi!!!
Nimekuelewa mkuu spidi yako unaiset mwenyewSie wenye TZ11 acha tusome tu
Haina spidi..ina nguvuGari ya uhakika ni Land Cruiser mkonga. Sehem yoyote unafika
Hii gari kama naendesha mimi nitapigwa vyeti kila siku maana kwa speed hizi sitaweza kuendesha chini ya speed 140 na kuendeleaCrown gari stable ila haina mbio,ukiwa na rangerover na unatembea,hiyo crown haitaona umepita wapi,vw bmw,benz,audi, hizo ndio gari,hiyo ingine ni jaguar sasa amua mwenyeweView attachment 783972View attachment 783976
Hyo chuma ilikuwa hatar sana,,iko kwenye movie 1 ya kitamboo ya Chuck Norris ya kuitwa Delta forceCombi!!!
Hayo magari ambayo umeyataja sote tunayajua ila tunaongelea magari ambayo watanzania tunaendesha(toyota)Crown gari stable ila haina mbio,ukiwa na rangerover na unatembea,hiyo crown haitaona umepita wapi,vw bmw,benz,audi, hizo ndio gari,hiyo ingine ni jaguar sasa amua mwenyeweView attachment 783972View attachment 783976
We jamaa una hatari gari gani hiyo mkuu.. Barabara zina changamoto sana za kibongoMiaka kadhaa nyuma nilikua naend mpaka 250, na chuma cha mjerumani..
ziko juu haziko stableGari ya uhakika ni Land Cruiser mkonga. Sehem yoyote unafika
Kama kuna gari kimeo kwa pulling na speech basi nadhani Ti inaongozaMoja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama
Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi.....sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.
Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga
Hongereni wote mnaoendesha athletes crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
Walimaliza tu kiwese chaoKuna watoto walikuwa na Alteza hawakujua kama huu moto ni hatari niliwapita na kuwatumia hii picha hawakujaribu tena kufuata.View attachment 783802
Aisee hayo madude yana mtindo wa ku burst tyre zake. Kuwa makini kuna case kibao watu wamekufa.niambieni na hii gari yetu landcruiser prado SKZ ENGINE DIESEL, alafu ni TURBO, niliifungua speed 140 hadi gari inapiga mluzi, na tyre zikitanuka kwenda nje,, nilivipita visubaru na vialtezza, kama napita baiskeli tu. sijui hiyo athlete crown kama ingenikamata kwa kweli.
Vw ipi!?Siku moja tukiwa na hiyo Crown tulitaka ligi na Voksiwagen tulikuwa tunaenda Arusha ilitupita Mkata wala hatukuwahi kuiona had Ieo