Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Crown gari stable ila haina mbio,ukiwa na rangerover na unatembea,hiyo crown haitaona umepita wapi,vw bmw,benz,audi, hizo ndio gari,hiyo ingine ni jaguar sasa amua mwenyeweView attachment 783972View attachment 783976
Hii gari kama naendesha mimi nitapigwa vyeti kila siku maana kwa speed hizi sitaweza kuendesha chini ya speed 140 na kuendelea
 
Crown gari stable ila haina mbio,ukiwa na rangerover na unatembea,hiyo crown haitaona umepita wapi,vw bmw,benz,audi, hizo ndio gari,hiyo ingine ni jaguar sasa amua mwenyeweView attachment 783972View attachment 783976
Hayo magari ambayo umeyataja sote tunayajua ila tunaongelea magari ambayo watanzania tunaendesha(toyota)
Gari sikuzote ambayo ni stable hiyo inafaa sana kwa mbio maana unaweza kupiga hadi speed 160 na bado huwezi kuona inatetemeka yaani ni tofauti na haya magari ya kawaida ambayo ukifisha speed 100 unaona gari haitulii na inahama njia
 
Moja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama

Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi.....sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.

Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga

Hongereni wote mnaoendesha athletes crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
Kama kuna gari kimeo kwa pulling na speech basi nadhani Ti inaongoza
 
Toyota Yaris (vitz)
images.jpeg
Screenshot_20180522-231220.jpeg
 
Sasa kwa hiyo carina yako hata ungekutana na ist ungesanda tu sembuse hiyo crown babu?

Labda ungesema ulikuwa na verosa, macX, gx100/110, alterza halafu ukapitwa na crown sawa ningekuona hujui kukimbizana road

Sasa ungekutana na mnyama mwenyewe Brevis si ungeingia maporini kwa upepo wake mana ile gari ikikupiga inakupa kikumbo cha upepo kama gari kubwa.
 
Kubishana nalo au kutokubishana nalo inategemea na gari uliyonayo.
 
niambieni na hii gari yetu landcruiser prado SKZ ENGINE DIESEL, alafu ni TURBO, niliifungua speed 140 hadi gari inapiga mluzi, na tyre zikitanuka kwenda nje,, nilivipita visubaru na vialtezza, kama napita baiskeli tu. sijui hiyo athlete crown kama ingenikamata kwa kweli.
Aisee hayo madude yana mtindo wa ku burst tyre zake. Kuwa makini kuna case kibao watu wamekufa.
 
Back
Top Bottom