makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Inategemea na vw gani!?Dereva wenu alikuwa mwoga sidhani kama voksiwagen anaweza kumuacha kabisa crown
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea na vw gani!?Dereva wenu alikuwa mwoga sidhani kama voksiwagen anaweza kumuacha kabisa crown
I seeMkuu usijaribu kuzifuata hizo gari kama una hiyo ti kwanza zina gia tano kwa taarifa na ingine kubwa
Dah....ajabu sana...3200rpm kisha 140km/h....kuna tatizo mahali....Kuna watoto walikuwa na Alteza hawakujua kama huu moto ni hatari niliwapita na kuwatumia hii picha hawakujaribu tena kufuata.View attachment 783802
Mkuu macho yako yako vizuri?Dah....ajabu sana...3200rpm kisha 120km/h....kuna tatizo mahali....
Mkuu mbona mie nissap ptrol nakimbia nayo vizuri bila tabu, tena hizo mnazozisema mie nazikata kila mara nikikutana nazo.Mkuu gari ikiwa ya juu juu huwezi kukimbia
Dah...typo error tu....kwa 140km/h ni ajabu zaidi..Mkuu macho yako yako vizuri?
Bila shaka ulikiwa mkali wa maswali ya mwendokasi pale shule ya msingi vijito viwili[emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah..kama alikuovertake kwa dk 6 ukiwa na kasi 125km/h......maana yake mlitumia umbali wa 12km mkiwa bega kwa bega....mlikuwa mnacheza mchezo wa hatari sana....dah
Naam! Nissan Patrol nayo ni gari ya uhakika. Upate Td 42 Manual ni balaaaMkuu mbona mie nissap ptrol nakimbia nayo vizuri bila tabu, tena hizo mnazozisema mie nazikata kila mara nikikutana nazo.
Nadhani ungesema gari ya juu si vyema kukimbia sana ila si kusema huwezi kukimbia, napinga hilo mkuu
Mkuu mshana hapo nakataa katakata unaweza kunipa sababu za kiufundi ambazo carina Ti pulling yake ni kimeo?Kama kuna gari kimeo kwa pulling na speech basi nadhani Ti inaongoza
Udogo wa engineMkuu mshana hapo nakataa katakata unaweza kunipa sababu za kiufundi ambazo carina Ti pulling yake ni kimeo?
Mhh mkuu barabarani umeingia lini?dk 6 ndo gari inakupoyra machoni alafu unaisifu???Moja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama
Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi.....sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.
Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga
Hongereni wote mnaoendesha athletes crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
kuna new model yake inaitwa crown royal saloon aiseeee ni mwisho wa matatizoMoja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama
Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi.....sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.
Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga
Hongereni wote mnaoendesha athletes crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
Naikubali sana vw polo iko very stable.... Ukifungua mlango tu ule uzito unaona nipo kwenye gari ya maana tofauti na kina vits, IST na jamii za toyota zenye size hiyo...mkuu polo 200 km/h haisumbui(iko stable)
V8 ileFunga kazi ni Crown Majesta
Uko sawa mkuuDereva wenu alikuwa mwoga sidhani kama voksiwagen anaweza kumuacha kabisa crown
140Km/hr ndo unajiona unakimbiza gari, ila kwa vile ni Prado ni haki yako kujiona unakimbia Ila angalia haichelewi kukutoa barabaraniniambieni na hii gari yetu landcruiser prado SKZ ENGINE DIESEL, alafu ni TURBO, niliifungua speed 140 hadi gari inapiga mluzi, na tyre zikitanuka kwenda nje,, nilivipita visubaru na vialtezza, kama napita baiskeli tu. sijui hiyo athlete crown kama ingenikamata kwa kweli.