Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VW GOLF GTI ana muacha huyoDereva wenu alikuwa mwoga sidhani kama voksiwagen anaweza kumuacha kabisa crown
Hahaha you're not serious!Gari yoyote yenye injini ya GX100 ogopa sana.likifungua hata uwe na range rover v8 na uko spidi 200 itakupita kama umesimama na huku yenyewe imeandikwa spidi 180
Kumbe we unaamini chanzo cha ajali ni instability ya gari tu eti? Sorry ndugu, mi similiki gari labda ndo maana sioni mbali...Wala usiwe na wasiwasi gari ipo stable sana
Hamruhusiwi[emoji12] [emoji12] [emoji12]Na sisi wente IST tunaruhusiwa ku coment
Hamruhusiwi[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ntakununulia mimila kwangu liko wap
Driving bila kujua nguvu ya GARI yako sasa umeinunulia nini you got race manWatu mnapenda kubeep kifo jamani, sijui mnasikia raha gani kukimbia barabarani.
Haaaa haaaa unaendesha gari au unaendesha dashboard, watengenezaji wakiweka 260 jua inafika, woga wako ndiyo hauifikishi. Hivi hiyo Crown inashinda V8 kweli ?MANI hizo speed sijui 260 usidhan kila gari yenye dash hiyo inafika wala usije ukanunua gari yenye ma speed hivo ukaacha jini crown utakuwa unajidanganya .....magari ya germany ndo yalivyo jiulize Audi A4 diesel hp 190 inakuwaje na dash inasoma 260 wakat gari ya uwezo huo au hiyo audi enyewe mwsho 230 imejitahd sana tena kwanzia spid 210 mshale unapanda taratibu had inakwamia hapo lakn ma spid ndo hayo wameweka 260 na ww ukiwa hujielewi unaweza sema inaweza fata crown ha ha ha same thng kwa bmw ya hp 190 diesel pia wameweka had 280 wakat real spd inacheza na 220-235
Huu sasa ni uchochezi, "Hatuna barabara nzuri"? Tutakupeleka ukapimwe mko...oNjia zetu sio za kujisifia kwenda 150km/hr au zaidi. Hatuna barabara nzuri hata kidogo.
Hapo ndiyo utamjua dereva na mwendeshaji nani ni nani.Afu sijui kwanini ukiwa umezubaa tu njiani ukiona mtu anataka kukupita lazma na we uanze ligi yanii