Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Gari yoyote yenye injini ya GX100 ogopa sana.likifungua hata uwe na range rover v8 na uko spidi 200 itakupita kama umesimama na huku yenyewe imeandikwa spidi 180
Hahaha you're not serious!
 
MANI hizo speed sijui 260 usidhan kila gari yenye dash hiyo inafika wala usije ukanunua gari yenye ma speed hivo ukaacha jini crown utakuwa unajidanganya .....magari ya germany ndo yalivyo jiulize Audi A4 diesel hp 190 inakuwaje na dash inasoma 260 wakat gari ya uwezo huo au hiyo audi enyewe mwsho 230 imejitahd sana tena kwanzia spid 210 mshale unapanda taratibu had inakwamia hapo lakn ma spid ndo hayo wameweka 260 na ww ukiwa hujielewi unaweza sema inaweza fata crown ha ha ha same thng kwa bmw ya hp 190 diesel pia wameweka had 280 wakat real spd inacheza na 220-235
 
MANI hizo speed sijui 260 usidhan kila gari yenye dash hiyo inafika wala usije ukanunua gari yenye ma speed hivo ukaacha jini crown utakuwa unajidanganya .....magari ya germany ndo yalivyo jiulize Audi A4 diesel hp 190 inakuwaje na dash inasoma 260 wakat gari ya uwezo huo au hiyo audi enyewe mwsho 230 imejitahd sana tena kwanzia spid 210 mshale unapanda taratibu had inakwamia hapo lakn ma spid ndo hayo wameweka 260 na ww ukiwa hujielewi unaweza sema inaweza fata crown ha ha ha same thng kwa bmw ya hp 190 diesel pia wameweka had 280 wakat real spd inacheza na 220-235
Haaaa haaaa unaendesha gari au unaendesha dashboard, watengenezaji wakiweka 260 jua inafika, woga wako ndiyo hauifikishi. Hivi hiyo Crown inashinda V8 kweli ?
 
Hapo ndiyo utamjua dereva na mwendeshaji nani ni nani.
 
Back
Top Bottom