Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Kuna kagari kamoja ka ujerumani niliwahi kufukuzana nako kanaitwa Mini cooper mimi nikiwa na vx v8 Land cruiser,kwa kweli kalinitoa jasho,kana pulling ya ajabu yaani ukikaacha mbali within a short time kameshanikuta,hatimaye nikakubali yaishe kakanipita kwa speed ya ajabu...
Ukiwa unasafiri utajifunza mengi saana njiani kwakifupi kuna magari yako vizuri mno barabarani,haya magari yetu TOYOTA ni ya kawaida mno kwa European cars
 
Speed kasi hutegemea ukubwa wa engine na piston

Gari hata iwe na speedometer inayosoma 260 ila ni 2500 cc v6 haiwezi ifikia 3600cc v6 yenye 200
Nipe maelezo kidogo mkuu, nijuavyo mimi speed ya 100km/h ni 100km/h kote koye haijalishi.. Sasa hapo iweje 260 iwe cha mtoto kwa 200!?
 
SOARES kwenye magari wewe utakuwa mgeni .....ukiwa na uelewa au uzoefu kidogo utagundua ni ngumu na haiwezekan gari la kwanzia ton 1.3 kuendelea la diesel 190hp kufika 260kph never on earth no matter how a car is geared thenni hivi gari zinatengenezwa na wanakuwa wanalenga masoko tofauti tofauti mfano japan wanalimit zao kwa nchi yao ndo mana most car ziko japan zina dash inasoma 180 jiulze kwann crown ama verosa yenye 1Jz gte na kina mark zenye engine hiyo wakati zinaweza futa 180 kwa sekunde pungufu ya 20 na zinaweza fika had 255+ mwsho sijui ngap lakn zina spid meter inasoma 180?? sababu zile ni spesho for JDM hamna haja ya kuweka dash 200+ wakat japan hawaruhusiwe fikisha hapo !!! hivo ukinunua nyingne kwa ajil ya masoko ya nchi zingne unaweza nunua crown hiyo hiyo but spid meter inasoma 240 ...

pia unapaswa uelewe kitu gari za germany ndo nyingi wanaweka spid meter kubwa sometime gari haufiki lakn hamna toyota isiyoweza fika spid ilioandikiwa kwenye dash sababu 180 constant gari za cc 1300 with 85-90 hp zinafika pia za 1500cc with 107-110hp mfano premio nk zenyewe had. 190 kabisa ...cha ajabu germany ki gari cha cc 1300 no turbo lkn kina dash inasoma 260 ...embu waza kwa sauti kinafikaje wakat kaka zake hawafiki ....??


we chukua hizo gari zenye ma spid makubwa kwa dash then mbele yako au nyuma yako iwe crown 4GR ha ha ha
Asante kwa darasa aisee haya mambo nilikuwa sijui kabisa
 
Ila ka Rav 4 kangu sjui kama mtaweza kukapita
280px-1995_Toyota_RAV4_%28SXA11R%29_Cruiser_wagon_%282015-07-14%29_01.jpg
Mkuu na wewe unamiliki rav 4 massawe?
 
Gari yoyote yenye injini ya GX100 ogopa sana.likifungua hata uwe na range rover v8 na uko spidi 200 itakupita kama umesimama na huku yenyewe imeandikwa spidi 180
Ndio unavyojidanganya hivyo?Unajua horse power ya range rover v8 ukafananisha Gx 100?Sema ulikuta hilo range linatembea km 60/hour na wewe upo 80km/hour na gari yako Gx 100.
 
Mwaka jana siku moja niko na rafiki zangu tunatokea Moshi kurudi Jijini tukawa tunaweka mafuta pale Total Korogwe zikaja gari 3 kwa muda ule ule kuweka mafuta..

Moja: ilikua ni Mercedes-Benz W203 Kompressor ya zamani kidogo hii ilikua inaendeshwa na mzee flani ivi ila anaoneka bado kijana alikua na wanawake wa 3 kwenye gari..

Mbili: ilikua ni BMW 3 series hizi 6th generation hii ilikua ni gari ya ubalozi (plate ya kijani) walikua jamaa wawili weusi wamekula suti matata.. na gari ni mpyaa

Tatu ilikua Toyota Crown Athlete inaendeshwa na muhindi nayo ilikua mpya (yenye hali nzuri)

Hawa wote tuliwaona maana pale kituo cha mafuta ni kawaida mtu ashuke kwenye gari kwa sababu mbalimbali ikiwa ni kwenda kujisaidia au kununua vitu vidovidogo vya kutumia njiani..

Sasa tulivyoona vile tukajua tu hapa lazima kutakuwa na ligi moja matata tukasema ngoja tufatane nao tushuhudie..

kitu ambacho ambacho kilitokea baada ya muda kama nusu saa yule jamaa wa BMW alipotea bila kuonekana tena (disappeared without a trace) nadhani pia jamaa walikua hawajali tochi wala traffic police.. wakabaki Benzi na Crown.. jamaa wa Crown alikua anatii sana sheria za barabarini kwenye 50 anakubali jamaa wa Benz anampita ila tulivokuja kuingia porini Benz alikatwa tena kwenye kilima..

Kiukweli siku ile tulifuraia sana ile ligi ya wale jamaa.. Unaweza ukawa dereva wa hapa mjini ila ukiwa High-way unajifunza mambo mengi.. wale wa desemba nadhani wanaelewa nachosema..
 
Wengi mmeongea kwa hisia tu!Kiukweli kwa barabara zetu huwezi kukimbia zaidi ya kasi ya km 140/saa.Na hapo gari yako inatakiwa iwe katikati ya barabara na huo mwendo hauzidi umbali wa km 15.
Na ni barabara zifuatazokutoka DSM.

Barabara ya Morogoro
Ni kuanzia Chalinze kuitafuta bwawani,hapa unaweza kuona mbele kwa umbali wa km 15 na zaidi pamenyooka sana.

Barabara ya Morogoro -Iringa
Hapa ni kuanzia Sangasanga(njia panda ya kwenda Mzumbe university) kuitafuta kijiji cha doma(kabla hujaingia hifadhi ya mikumi)
na sehemu nyingine ni kuanzia Ruaha mbuyuni(Al Jazira hotel) kuelekea kijiji kimoja kinaitwa mahenge.
Iringa -Mbeya(TANZAM road)
Hapa ni igurusi

Morogoro -Dodoma
Hapa ni kuanzia Kibaigwa kuelekea Dodoma.

Dodoma - Singida
Hapa ni kuanzia manyoni,na ndio sehemu ya pekee kulikuwa na kibao kinachorohusu km100/saa miaka ya nyuma.

Dodoma - Iringa
Hapa unaanzia sehemu moja inaitwa chipogola hadi makatapora (Mpwapwa)

Babati- Arusha
Hapa ni kuanzia Babati hadi Magugu.
Same - moshi(Kilimanjaro)
Hapa ni same na pana upepo mkali sana.
 
Wengi mmeongea kwa hisia tu!Kiukweli kwa barabara zetu huwezi kukimbia zaidi ya kasi ya km 140/saa.Na hapo gari yako inatakiwa iwe katikati ya barabara na huo mwendo hauzidi umbali wa km 15.
Na ni barabara zifuatazokutoka DSM.

Barabara ya Morogoro
Ni kuanzia Chalinze kuitafuta bwawani,hapa unaweza kuona mbele kwa umbali wa km 15 na zaidi pamenyooka sana.

Barabara ya Morogoro -Iringa
Hapa ni kuanzia Sangasanga(njia panda ya kwenda Mzumbe university) kuitafuta kijiji cha doma(kabla hujaingia hifadhi ya mikumi)
na sehemu nyingine ni kuanzia Ruaha mbuyuni(Al Jazira hotel) kuelekea kijiji kimoja kinaitwa mahenge.
Iringa -Mbeya(TANZAM road)
Hapa ni igurusi

Morogoro -Dodoma
Hapa ni kuanzia Kibaigwa kuelekea Dodoma.

Dodoma - Singida
Hapa ni kuanzia manyoni,na ndio sehemu ya pekee kulikuwa na kibao kinachorohusu km100/saa miaka ya nyuma.

Dodoma - Iringa
Hapa unaanzia sehemu moja inaitwa chipogola hadi makatapora (Mpwapwa)

Babati- Arusha
Hapa ni kuanzia Babati hadi Magugu.
Same - moshi(Kilimanjaro)
Hapa ni same na pana upepo mkali sana.
Naongezea,hapo Dar-Moro ni eneo linaitwa Mwidu,pia usisahau Dodoma-Kondoa kuna sehemu nyingi unaweza kwenda mpaka 180 km/h..
 
Inamaana wewe unajua zaidi ya wajerumani [Bavarian]
Inamaana wewe unajua zaidi ya wajerumani [Bavarian]
hapana mkuu ...kwan ww utaacha labda boxer yenye hp 12 ila speedmeter inasoma 140 ukafate piki piki ya kichina yenye hp 9 kisa dash yake inasoma 180 ndo ujidanganye utaipita boxer wakat boxer na hp zake hizo 140 haifiki ikiwa stock labda ukorokochoe ndo yenye hp 9 itafikaje sasa
 
Mkuu nilikuwa sijui lolote kuhusu hizi crown asante kwa kunipa elimu....vipi kuhusu crown majesta? nalo ni sports car?
hapana lenyewe kidogo liko unique Crown Majesta has been a
separate model with distinct
styling differences and a
longer platform than the
Crown,
 
Dah....ajabu sana...3200rpm
kisha 140km/h....kuna tatizo
mahali....@rohombaya

ww kibovu unaona ni nini yani speed ndogo sana ukimatch ya rpm au spid kubwa sana
 
Kuna kagari kamoja ka ujerumani niliwahi kufukuzana nako kanaitwa Mini cooper mimi nikiwa na vx v8 Land cruiser,kwa kweli kalinitoa jasho,kana pulling ya ajabu yaani ukikaacha mbali within a short time kameshanikuta,hatimaye nikakubali yaishe kakanipita kwa speed ya ajabu...
Haka kagari ni hatari sana mkuu,ni cha muingereza baadae kalinunukiwa na bmw
 
MANI hizo speed sijui 260 usidhan kila gari yenye dash hiyo inafika wala usije ukanunua gari yenye ma speed hivo ukaacha jini crown utakuwa unajidanganya .....magari ya germany ndo yalivyo jiulize Audi A4 diesel hp 190 inakuwaje na dash inasoma 260 wakat gari ya uwezo huo au hiyo audi enyewe mwsho 230 imejitahd sana tena kwanzia spid 210 mshale unapanda taratibu had inakwamia hapo lakn ma spid ndo hayo wameweka 260 na ww ukiwa hujielewi unaweza sema inaweza fata crown ha ha ha same thng kwa bmw ya hp 190 diesel pia wameweka had 280 wakat real spd inacheza na 220-235
Bahati nzuri nimewahi kutembea na Crown na pia magari ya mjerumani kama Benz na BMW.

Kiukweli nilivyosoma komenti yako nimecheka sana kuona unavyojaribu kufananisha BMW na Crown. This is a total joke.

Yani kwa komenti yako hii, kama ni Wanyama, ni sawa na kumfananisha Cheetah na Pundamilia.

Hivi BMW ata iwe 3 series ya zamani 1700 cc ikifunguka Toyota Crown inabidi ukae pembeni.....hapa sijazungumzia BMW "M" Power.

Kama hujui kuhusu magari ni vyema uende google ukajifunze.
 
Back
Top Bottom