HAMY-D
Bahati nzuri nimewahi kutembea na Crown na pia magari ya mjerumani kama Benz na BMW.
Kiukweli nilivyosoma komenti yako nimecheka sana kuona unavyojaribu kufananisha BMW na Crown. This is a total joke.
Yani kwa komenti yako hii, kama ni Wanyama, ni sawa na kumfananisha Cheetah na Pundamilia.
Hivi BMW ata iwe 3 series ya zamani 1700 cc ikifunguka Toyota Crown inabidi ukae pembeni.....hapa sijazungumzia BMW "M" Power.
Kama hujui kuhusu magari ni vyema uende google ukajifunze.
kwa hiyo ww google ndo walikwmbia bmw ya cc1700 ikifunguka crown ikae pemben?? ha ha nimecheka sana kwa hiyo gari za kijapan hazifungukiBahati nzuri nimewahi kutembea na Crown na pia magari ya mjerumani kama Benz na BMW.
Kiukweli nilivyosoma komenti yako nimecheka sana kuona unavyojaribu kufananisha BMW na Crown. This is a total joke.
Yani kwa komenti yako hii, kama ni Wanyama, ni sawa na kumfananisha Cheetah na Pundamilia.
Hivi BMW ata iwe 3 series ya zamani 1700 cc ikifunguka Toyota Crown inabidi ukae pembeni.....hapa sijazungumzia BMW "M" Power.
Kama hujui kuhusu magari ni vyema uende google ukajifunze.