Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Sisi wengine na vitoroli vyetu uwa tunafurahia Upepo wa 80Km/h.
 
Mi najua tu kuendesha siyajui sana magari ila ni ile iliyofanana umbo kama Niss

Mi najua tu kuendesha suyajui sana magari, kakini ni ile inayofanana na Nissan Murano kwa mbali
Itakuwa tourage hiyo.
 
Kuna kagari kamoja ka ujerumani niliwahi kufukuzana nako kanaitwa Mini cooper mimi nikiwa na vx v8 Land cruiser,kwa kweli kalinitoa jasho,kana pulling ya ajabu yaani ukikaacha mbali within a short time kameshanikuta,hatimaye nikakubali yaishe kakanipita kwa speed ya ajabu...
Mhhhhhhhhhhhhhhh kweli mambo ni motooo
 
Hii stori yako kapige kwa waendesha guta na boda boda....nimetoka kuuza Crown Na. DLE Athlete kisa tu kudhalilishwa na W203 kompressor (Benz).

Gari ilinidhalilisha na Crown langu nikaamua kuuza ili ninunue Benz na mimi niwe mbabe barabarani.

Kwa kweli tangu ninunue Benz 203 hadi sasa sikumbuki ni lini nimewahi kudhalilishwa.

Mara ya mwisho nilitoka Arusha kuja Dar kwa masaa 5 tu na ilikuwa usiku.
Tatizo lako umekuja kuleta ushabiki, ndio maana nilisema Benzi ilikua ya zamani na iyo BMW na Crown zote zilikua ziko kwenye hali nzuri zaidi ya iyo Benz..

Mimi nimeeleza kilichotokea wala sikuweka ushabiki wowote maana binafsi sina uzoefu sana na magari japo route za mbali nasafirigi mara moja moja..

Kukimbia barabarani nadhani kuna vitu vingi vya kuangalia vikiwemo: uwezo wa dereva, ubora wa gari na uzoefu wa barabara..

Unaweza ukaendesha gari lenye uwezo mkubwa ila mkafika sawa na gari dogo..
 
Sasa kwa hiyo carina yako hata ungekutana na ist ungesanda tu sembuse hiyo crown babu?

Labda ungesema ulikuwa na verosa, macX, gx100/110, alterza halafu ukapitwa na crown sawa ningekuona hujui kukimbizana road

Sasa ungekutana na mnyama mwenyewe Brevis si ungeingia maporini kwa upepo wake mana ile gari ikikupiga inakupa kikumbo cha upepo kama gari kubwa.
Brevis anapigwa upepo na Fuga au Crown mkuu!.. Ila kibonde wake Progress!..
Kwa macho na mikono yangu nilizidiwa na Fugga lakini nikasikia hata Crown ni mbabe wa Brevis, ila hivyo vingine nitavisoma kwenye side mirrors tu!..
 
Jamani Subaru legacy b4 na crown yupi ana pulling kuliko mwenzake kwenye safari ndefu

Cc MANII
 
Naona wengi hapa twaongelea Dashboard inavyosoma. Ila uhalisia ni kuwa ili kumaliza dashboard yenye 260 inahitaji hiyo gari iwe na HP, cc, cylinders zakutosha.
 
Naona wengi hapa twaongelea Dashboard inavyosoma. Ila uhalisia ni kuwa ili kumaliza dashboard yenye 260 inahitaji hiyo gari iwe na HP, cc, cylinders zakutosha.
Hadi wakaweka dashboard inayosoma 260 maana yake kila kitu kimewekwa Katika viwango vya kutosha.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Tatizo lako umekuja kuleta ushabiki, ndio maana nilisema Benzi ilikua ya zamani na iyo BMW na Crown zote zilikua ziko kwenye hali nzuri zaidi ya iyo Benz..

Mimi nimeeleza kilichotokea wala sikuweka ushabiki wowote maana binafsi sina uzoefu sana na magari japo route za mbali nasafirigi mara moja moja..

Kukimbia barabarani nadhani kuna vitu vingi vya kuangalia vikiwemo: uwezo wa dereva, ubora wa gari na uzoefu wa barabara..

Unaweza ukaendesha gari lenye uwezo mkubwa ila mkafika sawa na gari dogo..
Upo sahihi, Benz mbovu na kuu kuu inaweza kusubiri kwa Crown nzima na mpya....ngoja tuiweke hivyo to settle the matter down
 
Naona wengi hapa twaongelea Dashboard inavyosoma. Ila uhalisia ni kuwa ili kumaliza dashboard yenye 260 inahitaji hiyo gari iwe na HP, cc, cylinders zakutosha.


tell them ....depending na aina ya gari plus uzito wake kuna kiasi cha hp kinahitajika ili gari ifike spid flan no matter how a car is geared

nimeshindwa waletea picha imegoma upload but naweza leta link kama hivi.

Car Acceleration TV


hako ka vw polo kana hp 69 just like passo bt dash yake inasoma had 240kph na wakatest ikaishia 165kph hiyo spid pia ni spid ya mwsho ya passo bila kukosea so unaweza jidanganya ukiwa na hako ka polo utakula mizaha ya toyota mingi sana never hata runX kina allion , sienta huwa piti wote hao ....

hawa ndugu zetu wanajidanganya na dash inavyosoma ....
 
Jamani Subaru legacy b4 na crown yupi ana pulling kuliko mwenzake kwenye safari ndefu

Cc MANII
Unajua gari kukimbia kuna vitu vingi sana,udereva,gari lenyewe likoje barabarani sasa kwa Subaru in nyepesi lakini crown no zito kwa hiyo hata stability yake no nzuri, maana kuna gari ukipita 120 zinaanza kuyumba.
 
Hahaaa we mleta sledi Suzuki langu nikiwa naenda shambani Mbeya humo bwawani zomozi nk nafuta 180 weye at 125 unaona uko speed!! Mshuhudie mnyama V 8 cruiser ukiwa na hiyo speed 125 utahisi umepitwa na mshale
 
HAMY-D

kwa hiyo ww google ndo walikwmbia bmw ya cc1700 ikifunguka crown ikae pemben?? ha ha nimecheka sana kwa hiyo gari za kijapan hazifunguki
Eminentia anaongelea technically issue za hizi gari na wengine mnaongelea experience ya uendeshaji.

Sio kila speed itayo onekana kwenye dashboard kufikiwa, kuna vitu kama hp ya gari ni moja ya vitu vinavyo sababisha kuweza kufikiwa au kutofikiwa.
 
Back
Top Bottom