serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,340
- 4,734
Duuh.Tofaut sana. Ili kupa 130 karina inaweza kuchukua mita 120. wakati crown inaweza kuchukua mita 80
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh.Tofaut sana. Ili kupa 130 karina inaweza kuchukua mita 120. wakati crown inaweza kuchukua mita 80
HahahahaaHuwez fananisha gar ya mjerumani yoyote na crown au uchafu mwingne wa Toyota....
Kwa experience Yang mwez uliopita nlikua natoka Moshi nkafika same na VW TOURAGE naelekea dar dude la petrol nkaingia panone pale kuweka mafuta ikaja crown na yenyewe uelekeo dar tukajaza akaanza kuondoka tukafatana aisee hakutoboa hata sehem nkamkata alinikuta korogwe total pale nachimba dawa ikabid aje aichek mashine baada ya kutoka pale tena akafangulia nkamkata tena akanikuta msata chimba dawa.
Kuna mwana jf mwingine ana VW GOLF GTI.. alimsababishia Crown Ikarusha maji iyovi huk shaur ya kumfata mnyama gollf
Kimsing huwez fananisha mjerumani yoyote na uchafu Toyota....nasema uchafu wakat sina hata Passo
Kuna watoto walikuwa na Alteza hawakujua kama huu moto ni hatari niliwapita na kuwatumia hii picha hawakujaribu tena kufuata.View attachment 783802
Hio ni 130 kph sio 140You can't beat that
Huwa tofauti ni kwenye take off speed!! Inachukua muda gani kuchanganya? Carina inachukua muda kidogo wakati Crown Kwasababu ni umeme ni pale pale tu ishachanganya......Kwani 130 ya carina ni tofauti na 130 ya crown?
hahahahaKuna watoto walikuwa na Alteza hawakujua kama huu moto ni hatari niliwapita na kuwatumia hii picha hawakujaribu tena kufuata.View attachment 783802
kaa mbali na voksiwagen, [emoji91]Siku moja tukiwa na hiyo Crown tulitaka ligi na Voksiwagen tulikuwa tunaenda Arusha ilitupita Mkata wala hatukuwahi kuiona had Ieo
ivi we unaijua voksiwagenDereva wenu alikuwa mwoga sidhani kama voksiwagen anaweza kumuacha kabisa crown
Kapicha mkuu kunogesha tangazo....Msamaha kama nachafua uzi ila tusaidiane kupata mteja wa Nissan Cube 2007, 1490cc, mileage 100k, ndio imetoka port, imesajiliwa, yauzwa kwa 9.5m, 5% itatolewa, wasiliana na huyu jamaa 0753680847
Ahaaa..Huwa tofauti ni kwenye take off speed!! Inachukua muda gani kuchanganya? Carina inachukua muda kidogo wakati Crown Kwasababu ni umeme ni pale pale tu ishachanganya......
Sasa mkuu ulikuwa unataka kufa au? Toka lini nisani na toyota vikafukuzana?Mkuu Brevis tunaiita Presidential Car na nilishawahi fanya ligi na Nissan Fuga dom-arusha. Huwa napenda safiri asubuhi sana hakuna trafiki, nikakutana nayo, iliniacha ikabidi nilipofika nimsimulie jamaa yangu akaniambia hata Crown nayo ni mbabe wetu!.
Lakini hivi vingine vi saloon Car havijawahi nipita kizembe!. Nasikia na Subaru Legacy nayo ni mziki mwingine, sijawahi kutana nayo njiani so siwezi ielezea kama kweli!.
na hako ni cc1600 tu.Kuna kagari kamoja ka ujerumani niliwahi kufukuzana nako kanaitwa Mini cooper mimi nikiwa na vx v8 Land cruiser,kwa kweli kalinitoa jasho,kana pulling ya ajabu yaani ukikaacha mbali within a short time kameshanikuta,hatimaye nikakubali yaishe kakanipita kwa speed ya ajabu...
unapaswa jua hiyo cc 1900 inatoa hp ngap kwa hiyo gari kuna maswala ya compresion ratio..one engine ikiwa na compresion ratio kubwa kuliko nyingne obvious itakuwa na pawa kubwa then cc sio kigezo sana kina audi A4 2.0 TDI zina 190hp ni kubwa kiliko most cruiser with 4.2L pamoja na kuwa imezidiwa 2200ccNilikua namiliki vw touran cc 1900 speedometer inasoma 260 na ilikua inamaliza kisahani nikiamua.Japo sio mtaalam wa physics lakini naamini kuna sababu nyingi tu za kupinga theory
Gari za wajerumani zina tabia ya kuchanganya haraka sana may be kwa sababu hawatumii automatic gearbox za kawaida (vw group ambao wanamiliki Audi,Porsche, seat,Skoda gari zao zote wanatumi DSG transmission ). BMW,Benz pia in DSG au Zf transmission ambazo zipo mpaka za via 10.Toyota nyingi auto gia 5 mpaka 6 labda kama ni CVT.
ni turbo charged then sio Natural aspirated ..hata kina premio ikiwapa turbo hata ya 1 bar mtatafutanana hako ni cc1600 tu.
kina premio tatizo ni transmission.. hata ikipewa turbo bado haiwezi ikamata.ni turbo charged then sio Natural aspirated ..hata kina premio ikiwapa turbo hata ya 1 bar mtatafutana