Invinsible
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 314
- 376
baba niliweka kitu cha spot, na tyre kutoka nje ni style yake hiyo gari ukiwa speed sana inatoa tyre nje ili iwe stable, na kupiga mluzi ni turbo imefunguka barabara,, achana na hiyo kitu kama huwezi endesha magari makubwa.Aisee hayo madude yana mtindo wa ku burst tyre zake. Kuwa makini kuna case kibao watu wamekufa.