Siku moja tukiwa na hiyo Crown tulitaka ligi na Voksiwagen tulikuwa tunaenda Arusha ilitupita Mkata wala hatukuwahi kuiona had Ieo
Sijajua kwanini Magari ya kijerumani yanakuwa na speed 260 na kuendelea tofauti na Japanese carsangalau kidooooogo sasa kuna mafundi kwa mbaali wanaanza zijulia hizo gari, ingawa nao bei zao mkasi! shida ya mafundi wengi hawajiendelezi kielimu, kwa mfano kuna video kadhaa ytube kuhusu kutengeneza germany cars pindi yanapoharibika ila lugha ya malkia nayo wengi inawashinda
Hata Golf GTI nayo ni gari ya mjeurumani acha uogaMkuu gari ya kijerumani bei yake utaiweza?
Volkswagen ipi sasa maana hata mgongo wa chura nayo ni volkswagenSiku moja tukiwa na hiyo Crown tulitaka ligi na Voksiwagen tulikuwa tunaenda Arusha ilitupita Mkata wala hatukuwahi kuiona had Ieo
mapping si gharama mkuu? kwa matumizi ya kawaida si bora mtu anunue gari ambalo tayari lina kasi anayoitaka! anyway kwa watu wa rally, racing, n.k idea yako itakuwa nzuri tu!Hiyo Carina ikifanyiwa Mapping ya kawaida hiyo Crown Athlete lazima waende sawa au aachwe.
Mimi nina mkubali mjapani maana engine zake kazipa nafasi ya kufanyiwa mapping na zinakubali na kuwa na perfomance kubwa.
Hiyo 5A engine iliyopo kwenye Carina TI ikifanyiwa mapping Crown Athlete yenye 2.5L itanyanyaswa sana.
Bora atafute Ti yenye turbo na engine kubwa from JapanHiyo Carina ikifanyiwa Mapping ya kawaida hiyo Crown Athlete lazima waende sawa au aachwe.
Mimi nina mkubali mjapani maana engine zake kazipa nafasi ya kufanyiwa mapping na zinakubali na kuwa na perfomance kubwa.
Hiyo 5A engine iliyopo kwenye Carina TI ikifanyiwa mapping Crown Athlete yenye 2.5L itanyanyaswa sana.
Hii stori yako kapige kwa waendesha guta na boda boda....nimetoka kuuza Crown Na. DLE Athlete kisa tu kudhalilishwa na W203 kompressor (Benz).
Gari ilinidhalilisha na Crown langu nikaamua kuuza ili ninunue Benz na mimi niwe mbabe barabarani.
Kwa kweli tangu ninunue Benz 203 hadi sasa sikumbuki ni lini nimewahi kudhalilishwa.
Mara ya mwisho nilitoka Arusha kuja Dar kwa masaa 5 tu na ilikuwa usiku.
Gloria[emoji33] [emoji33]
Kama mdau alivosema hapo juu,mkishajua kukanyaga tu mafuta kisa ni automatic ndio mnakimbia,binafsi napenda manual cars kwa safari ndefu ili inikeep busy na napenda automatic kwa trip za mjini tu,
uwe unasoma vzur kabla hujaquote basi ...hiyo mifano ya kina vW imetoka wap na mm nimeandika audi A4 tena sijasema audi zote nimesema A4 kabisa ........
manufacture wa hiyo gari kwa zile zenye engine za diesel wamesema kabisa top speed ni flan na haikuwa even near with what dash says haswa kwa zile zenye below 130ps .....afu tumia akili then kama huna idea utabisha tu .....hamna gari on earth lenye more than one ton as it mass with 190hp diesel engine linaweza fika hapo 260kph
ukilipata niambie ....au kama hujui sababu nitakwambia ni kwann
asee mzee hiyo kamba naruka !! naaamini na wana JF watairuka we gari gani iliokl bongo inagonga spid hizo hivi unajua hata koenisegg agera haifiki 300mph sa ww ukifikaje 260mph sawa na 418kph road ipi na gari ipi hamna s clacc inagonga hapo
Mkuu 5A ni mashine ngumu Sana mwezi wa 12 mwaka Jana nilifanya Safar ya dar - Mwanza na gari halijasumbua Kwa kitu chochote tena nilipofika Mwanza nilifanya Safar ya kwenda ukerewe kupitia magu,lamadi,bunda Hadi kisorya...Hiyo Carina ikifanyiwa Mapping ya kawaida hiyo Crown Athlete lazima waende sawa au aachwe.
Mimi nina mkubali mjapani maana engine zake kazipa nafasi ya kufanyiwa mapping na zinakubali na kuwa na perfomance kubwa.
Hiyo 5A engine iliyopo kwenye Carina TI ikifanyiwa mapping Crown Athlete yenye 2.5L itanyanyaswa sana.
Hiii speed meter ni kifo tu
Mkuu BUgatti the fastest inakamua mpaka 520 MPH. Hiyo kitu ingine. Shida sisi huku tumezoea kununua old cars! Na zaidi sana za Japan ambazo ni KPH 180 sanasana itakuwa Na 240. Tembeleeni hats mitandao jamani muone Magari!!
Unasemaje eti niwe na v8 halafu wewe GX100 Uniache mkuu hata kama nimelewa
Dah wahaya bhanaSikuwai Kusafiri safari ya mbali basi bwana nikapata safari ya kwenda mkoa(bukoba),nikamchukua Sista na mshikaji wangu Mmoja hivi, saa kumi alfajiri nikaanza safari,njiani baada ya kibaha,kikajitokeza hicho kicrown bwana,tulihangaishana kinatembea hatari, uzuri asubuhi kunakua hakuna magari mengi,mwisho wa siku Jamaa alinipigia honi kukubali yaishe nikampungia mkono sikuwai kumuona tena..nilikua naendesha harrier(Lexus 300) 6 cylinder..
Mapping si gharama inategemea na wewe unahitaji nini zaidi.mapping si gharama mkuu? kwa matumizi ya kawaida si bora mtu anunue gari ambalo tayari lina kasi anayoitaka! anyway kwa watu wa rally, racing, n.k idea yako itakuwa nzuri tu!
Hiyo carina TI ikifanyiwa mapping itazalisha HP ngapi ili iinyanyase athlete?Hiyo Carina ikifanyiwa Mapping ya kawaida hiyo Crown Athlete lazima waende sawa au aachwe.
Mimi nina mkubali mjapani maana engine zake kazipa nafasi ya kufanyiwa mapping na zinakubali na kuwa na perfomance kubwa.
Hiyo 5A engine iliyopo kwenye Carina TI ikifanyiwa mapping Crown Athlete yenye 2.5L itanyanyaswa sana.