Buti la mkoloni
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 312
- 850
Hao wenye Vanguard, mark x, crown ambao mmewapita walikuwa wanajua kama mnashindana. Mana unaweza sema nimezipita gari flani kumbe mwenzio anaendesha kawaida wala atembei kwa mashindano. Alaf hiyo polo GTI ilishawai shindanishwa na Toyota Yaris na ikaachwa mbali mno hao wenye crown hawakuwa wanashindana ila nyie ndio mlikuwa mnashindanaka polo hakoo
Polo vs Toyota yarisIka jamani acheni masihara German machine zina moto ninyi niliwahi safiri na Polo GTI ya mshikaji tunaelekea Tunduma kwenye msiba wa mkwewe ***** humo njiani hakuna Crown,Vanguard wala Mark X gari pekee iliyotusumbua nadhani ilikua Sport Car ni ya IT wanayokaa watu wawili tu mpaka leo sijajua ni gari gani ile tukiwa kibati ile chuma ilitupita kama tumesimama jamaa akaanza ligi dadeki tulikaa nyuma ya ile chuma mita si zaidi ya 100 hivi pua namdomo lakini hatuikuipita speed 200+ tulikuja kuiacha kwenye beria Iringa ile siku nikaamuheshim mjerumani.
Kilichonishangaza Chuma ilikua speed 200 lakini huoni labda kwa sababu ya usiku lakini huoni kabisa kupepesuka ngoma imetulia tu..nimewahi dundia gari kadhaa Toyota IST,Mark 2,Allion,Allex ,TI na Brebis za wana lakini kwa kweli German NYOKO.
Polo vs Toyota yaris
humu ni ushabik tu ndo ninao uonaHao wenye Vanguard, mark x, crown ambao mmewapita walikuwa wanajua kama mnashindana. Mana unaweza sema nimezipita gari flani kumbe mwenzio anaendesha kawaida wala atembei kwa mashindano. Alaf hiyo polo GTI ilishawai shindanishwa na Toyota Yaris na ikaachwa mbali mno hao wenye crown hawakuwa wanashindana ila nyie ndio mlikuwa mnashindana
ivi mmeona bit gear ya yaris mpaga gari ikastuka maeePolo vs Toyota yaris
Pia Kuna Toyota Runx Rsi nayo balaa lake si la kitoto ifatilie uje ulete mrejesho.Toyota Yaris nayo ni habari nyingine.
VW Polo,Amarok,Tuareg au vw gan ?
Yaris=VitzToyota Yaris nayo ni habari nyingine.
Yaris=Vitz
Pia Kuna Toyota Runx Rsi nayo balaa lake si la kitoto ifatilie uje ulete mrejesho.
Pia Kuna Toyota Runx Rsi nayo balaa lake si la kitoto ifatilie uje ulete mrejesho.
Ndio mkuu,kwny soko la ulaya wameiita Yaris lkn kwny soko la Japan ndio ikaitwa Vitz.Ngoja nikaichungulie
Hakika maana ni utoto kabisaKesho mkifa,, nyizi ziletwe humu mtujazie JF ku comment RIP
Unawezaje kuomba ligi na mashine ya mjerumani. Takataka za Japan haziwezi kufua dafu kwa mjerumani...Siku moja tukiwa na hiyo Crown tulitaka ligi na Voksiwagen tulikuwa tunaenda Arusha ilitupita Mkata wala hatukuwahi kuiona had Ieo
Gari ya kuongelewa inatakiwa iwe na sifa gani mkuu?Yani mi na akili zangu timamu kabisa naenda kuhesabu pesa ninunue Crown kweli? Gari iko chini, haiko friendly kwa all weather roads, tatu ubora wake ni wa mashaka. Tatizo nimegundua wengi tunanunua magari kwa kufuata mkumbo, lakini Crown ukiacha comfortability kiasi, haina qualities za kuwa gari ya kuongelewa...
😳Alaf hiyo polo GTI ilishawai shindanishwa na Toyota Yaris na ikaachwa mbali mno