Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hybrid inaenda 23KM/L tamu kishenzi kuliko hata IST.Pesa pesa tu hapo , Hybrid zake zitakuwa tamu sana
Ile ilikuwa kama hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hybrid inaenda 23KM/L tamu kishenzi kuliko hata IST.Pesa pesa tu hapo , Hybrid zake zitakuwa tamu sana
😀😀😀 .. mtiti bei yake sasa. Hapo kwa ambao wanalia kuhusu wese ndio kimbilio, ila sasa kuinunua ndio mtihani, kwa wazee wa uchumi wa kati na wachini, na mwendo wake kama kawaidaHybrid inaenda 23KM/L tamu kishenzi kuliko hata IST.
Ile ilikuwa kama hii.
Hili liko faster zaidi 0-100 ni 7 seconds! Nadhani kabla ya dakika umefuta kisahani 😹😀😀😀 .. mtiti bei yake sasa. Hapo kwa ambao wanalia kuhusu wese ndio kimbilio, ila sasa kuinunua ndio mtihani, kwa wazee wa uchumi wa kati na wachini, na mwendo wake kama kawaida
Hapo gari nyingi zitakuwa zinaisoma namba, hasa kwenye mbia fupo fupi hizi za barabara zetu za Dsm to Mwanza 😀😀. Lazima washangazwe tuHili liko faster zaidi 0-100 ni 7 seconds! Nadhani kabla ya dakika umefuta kisahani 😹
Balaa yani halafu sababu ni li HYBRID kwenye town trips halili mafuta😸Hapo gari nyingi zitakuwa zinaisoma namba, hasa kwenye mbia fupo fupi hizi za barabara zetu za Dsm to Mwanza 😀😀. Lazima washangazwe tu
Basi inabidi wapenzi wa baby walkee na gari zisizo kula mafuta wameletewa mkombozi sasa.. wakayanunue kwa wingiz maana hayali kabisa mafuta , akiweke wese lake la 50 anamaliza wiki nzima 😀😀😀Balaa yani halafu sababu ni li HYBRID kwenye town trips halili mafuta😸
Hahahaha unaeza pigia Uber kabisa😸! Tatizo hizi gari za HYBRID wengi hawana ufahamu nazo ila kuna kundi flani likishazifahamu zitapata umaarufu sana hapa nchini. Wacha ziwe nyingi kidogo sokoni utakuwa ukiwa huna gari la Hybrid unateseka kuliuza 😸😸😸Basi inabidi wapenzi wa baby walkee na gari zisizo kula mafuta wameletewa mkombozi sasa.. wakayanunue kwa wingiz maana hayali kabisa mafuta , akiweke wese lake la 50 anamaliza wiki nzima 😀😀😀
Hybrid kwenye swala la kiwese anakomboa, ila pia ni gari ambazo hazihitaji fundi mmbaishaji linapokuja katika swala la ufundi hasa kwenye electronics , na itakuwa ni fursa mpya. Nissan Fuga nae nimeona ana Hybrid zimesimama hatari, sema shekeli ndio tatizo mkuu.. ila Hybrid zinatufaa sanaHahahaha unaeza pigia Uber kabisa😸! Tatizo hizi gari za HYBRID wengi hawana ufahamu nazo ila kuna kundi flani likishazifahamu zitapata umaarufu sana hapa nchini. Wacha ziwe nyingi kidogo sokoni utakuwa ukiwa huna gari la Hybrid unateseka kuliuza 😸😸😸
Uzuri wa Toyota ni uhakika yani kuzingua sio rahisi...Huwa anaziingiza techs zake sokoni baada ya Tests za muda mrefu sana kuhakikisha 0 errors!Hybrid kwenye swala la kiwese anakomboa, ila pia ni gari ambazo hazihitaji fundi mmbaishaji linapokuja katika swala la ufundi hasa kwenye electronics , na itakuwa ni fursa mpya. Nissan Fuga nae nimeona ana Hybrid zimesimama hatari, sema shekeli ndio tatizo mkuu.. ila Hybrid zinatufaa sana
Waharibifu huwa watumiaji mkuu, wanachokonoa chokonoa mitambo. Ndio maana utaona gari imetumika japan miaka kibao, inakuja na upya wakez mpe. Mtanzania NDANI ya mwaka mmoja ipo hoiUzuri wa Toyota ni uhakika yani kuzingua sio rahisi...Huwa anaziingiza techs zake sokoni baada ya Tests za muda mrefu sana kuhakikisha 0 errors!
Huku tatizo ni roughness na kukosa hela za maintanance kwa wakati. Unaiburuza gari ikifika mahali inaanza kuua vipuri kwa speed.Waharibifu huwa watumiaji mkuu, wanachokonoa chokonoa mitambo. Ndio maana utaona gari imetumika japan miaka kibao, inakuja na upya wakez mpe. Mtanzania NDANI ya mwaka mmoja ipo hoi
Watu wananunua magari huku wakiwa hawapo vizuri kipesa, kwanza gari kwakw inakuwa kama adhabu. Ila gari kama unaichapa service OG na kila kitu OG.. miaka nenda rudi inabaki na upya wake na ubora wakeHuku tatizo ni roughness na kukosa hela.
Yah, hio ndio shida! Maisha ya kuunga unga na gari ni mziki mnene😸Watu wananunua magari huku wakiwa hawapo vizuri kipesa, kwanza gari kwakw inakuwa kama adhabu. Ila gari kama unaichapa service OG na kila kitu OG.. miaka nenda rudi inabaki na upya wake na ubora wake
Gari ambazo hazisumbui wabongo wengi ni Vitz , IST ila napo bado huzichakaza, nafikiri pia watu sio watunzajiYah, hio ndio shida! Maisha ya kuunga unga na gari ni mziki mnene😸
Gita ni 2jz-ge(220hp) na sio 2jz-gte so moto wake nauona kawaida saana.2JZ? Kha sikujua gita ni mbabe hivi
2jz-gte hazi zalishwi tena hizi engine, na gari chache sana zina hizi ambazo hata hukobe forward zipo, nahisi hata ukiangalia Aristo zipo kama 44 na sidhani kama zina hiyo 2jz-gte labda kama zile zamani sanaGita ni 2jz-ge(220hp) na sio 2jz-gte so moto wake nauona kawaida saana.
Hili kawaida bei gani?Hybrid inaenda 23KM/L tamu kishenzi kuliko hata IST.
Ile ilikuwa kama hii.
Sio suala la kudhani mzee,gita zote hazina 2JZ-GTE unless mtu afanye swapping.2jz-gte hazi zalishwi tena hizi engine, na gari chache sana zina hizi ambazo hata hukobe forward zipo, nahisi hata ukiangalia Aristo zipo kama 44 na sidhani kama zina hiyo 2jz-gte labda kama zile zamani sana
2jze-gte zipo kwenye baadhi ya gari za toyota tu kama Aristote 😀😀😀Sio suala la kudhani mzee,gita zote hazina 2JZ-GTE unless mtu afanye swapping.
Unaposema hizo 2JZ-GTE ni za zamani sana kwani Gita umadhani ni za lini?
GTE imeacha kuzalishwa kwny 2002 na hizo Gita unazozisema zimezalishwa 2001 so GTE ni ya zamani na Gita ni gari ya zamani pia.
Yes,na ndio maana 2JZ-GE ya kwny Gita ina moto wa kawaida tu.2jze-gte zipo kwenye baadhi ya gari za toyota tu kama Aristote 😀😀😀