Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Nimemkimbiza mmoja Chalinze Moro alianza kupita nikampa space afu nikasema ngoja nizibue nozel kwa kibaby walker changu nilimpita km kasimama akabaki ananishangaa...
 
Mkubwa, Volvo, VW, BMW, sahani inaenda hadi 260km/h mbaya zaidi unavyokanyaga wese ndio gari iko stable haitetereki.

Hapo itakua suala la ujasiri wa dereva, lakini kama tunaongelea uwezo wa gari, haziwezi kushindana.
European cars zipo hivi boss. Jaribu na Opel
 
Gari yoyote yenye injini ya GX100 ogopa sana.likifungua hata uwe na range rover v8 na uko spidi 200 itakupita kama umesimama na huku yenyewe imeandikwa spidi 180
...wacha wee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mwe mwe mweee..

Uliona wapi..[emoji2960][emoji2960]
 
Dah hongereni jf maana humu kila mtoa post ana ndinga[emoji122]
Jukwaa la mambo ya magari, atakujaje kuandika asiye na gari, wala kuwahi kumiliki.
Na wala siyo fundi.
Ingawa amenishangaza jamaa mmoja hapo juu, anamiliki gari aina ya Volkswagen, ila hajui ni apollo ama toleo gani, Sijui anaihudumiaje kwenye matengenezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…