Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Talented Boy.Ata mikimbio yake ana kitu amaizing
Ni moja ya chaguo la kocha mwenyewe Nabi.nilivomuona nkafikiri atakuwa kasajiliwa kutoka nje.
Hata mbuyu ulianza kama mchicha ndivyo vipaji pia uanza hivyo hivyo.Haisaidii
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Kijana alijitahidi kwa dakika chache alizopewa.Mkitaka utulivu kwenye mechi sajilini wachezajinwa dzaini hiyo, ila mkitaka makombe na ushindi mnono waigeni simba
Hakuna tatizo ni maandalizi tu.Bado mechi ya away
Sijazungumza kuhusu Nchimbi mkuu nimezingumza kuhusu uwezo uliodhihirika kwa Athumani Yusuph.Jipeni matumaini...Lakini hii ni CAF Champions League...endeleeni kuwaweka kina Yusuf na Nchimbi, ...
Muda si mrefu tutasahau kama mlishawahi kushiriki.
Kaamgalie Statistics tena za mchezo husika mkuu.Iv n kama mpira umeisha bila uto kupga on-target hata moja eh?
Sipati picha hiyo mvua ya magoli watakayonyeshewa huko River Stateutopolo badala ya kujadili kwanini wamefungwa wanaanza kuleta story nyingine kabisa wamesahau kauli mbinu byao
Mkuu hatuna tamaduni hiyo boss subiri ifike jumapili hutoamini.Sipati picha hiyo mvua ya magoli watakayonyeshewa huko River State
Hiyo ni changamoto kwa jamii yetu ya kitanzania.Lishe hana