- ambitious chadema?
- hand of CCM wanting to kill the party?
- lead to the Tanzania we want?
wengi tunataka Slaa ashinde, awe rais, wetu. Lakini je
- itawezekana kweli? nina mashaka makubwa sana, nahisi kama saa hizi CCm wameshaanza kupanga namna ambavyo katiba itakuwa imevunjwa kama kura zikikaribia, au jinsi itakavyokuwa - chochote tu, ilmradi jeshi kubwa la chama tawala lirudi madarakani.
hata hivyo Slaa, tunakuhakikishia kuwa tuko nyuma yako na tunaelewa ugumu uliopo, na kazi ngumu ilio mbele yetu.
Tunakupa kura zetu, na pia tunahamasisha wengine kuelewa umuhimu uliopo kukuweka wewe madarakani.
sio tu kuondoa CCM, bali kuweka kiongozi muadilifu, mwenye maonom nguvu na nia, mwenye upeo na upendo.
Hawapo wengi, kwa hio tusipomtumia huyu, itapita miaka mingi sana tena kuja kupata mweingine.
wakati ndio huu!!
Nafasi haiji mara mbili
- hand of CCM wanting to kill the party?
- lead to the Tanzania we want?
wengi tunataka Slaa ashinde, awe rais, wetu. Lakini je
- itawezekana kweli? nina mashaka makubwa sana, nahisi kama saa hizi CCm wameshaanza kupanga namna ambavyo katiba itakuwa imevunjwa kama kura zikikaribia, au jinsi itakavyokuwa - chochote tu, ilmradi jeshi kubwa la chama tawala lirudi madarakani.
hata hivyo Slaa, tunakuhakikishia kuwa tuko nyuma yako na tunaelewa ugumu uliopo, na kazi ngumu ilio mbele yetu.
Tunakupa kura zetu, na pia tunahamasisha wengine kuelewa umuhimu uliopo kukuweka wewe madarakani.
sio tu kuondoa CCM, bali kuweka kiongozi muadilifu, mwenye maonom nguvu na nia, mwenye upeo na upendo.
Hawapo wengi, kwa hio tusipomtumia huyu, itapita miaka mingi sana tena kuja kupata mweingine.
wakati ndio huu!!
Nafasi haiji mara mbili