Mmmh WL majaribio kwakweli hayaruhusiwi maana kuna hatari ya kuibiwa!Hehehe kuhusu kumatch embu akwambie mwenyewe usije ukasema najifagilia tu!
Nimelichomekea makusudi kuja nae maana nataka kukwepa majaribio yako, kwenye hilo kundi yuko umbali wa hapo ulipo mpaka mbinguni
mpaka sasa maono yanaonyesha kuwa lizzy ametoka kny kundi la kukwepwa ameingia kny kundi la kukimbiwa,,,anahtj mkesha wa mwezi mzima ili asaidike
Hehehe WL unachakachua wakati tuko live?Acha hizo bwana..mi nikibebwa nabebeka.Uwii nikuruhusu umjaribu ulafu udate?Akha...acha nikwambie mwenyewe kwamba anafaa sana.Kila nyanja!unaibiwa na nani lizzy jamani?kumbuka ili tujue lazma ajaribiwe,,,,khs ww haina shida amesema uko kny kundi la kukwepwa ndo maana anataka uwepo kny mkesha,,karibu sana naamini bda ya hapo hutakwepwa tena,,lolz
Haya Sipiyu atakua ananileta tu na kuondoka kama unasisitiza nihudhurie mkesha!mpaka sasa maono yanaonyesha kuwa lizzy ametoka kny kundi la kukwepwa ameingia kny kundi la kukimbiwa,,,anahtj mkesha wa mwezi mzima ili asaidike