Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
mzinzi mzinzi tu hana utanashati wala utana suluali!
Niliwasikia baadhi ya kina mama wakiteta kuwa ukiona mwanaume anaulamba kila wakati na anajipiga vitu vya bei mbaya, basi ujue ni mkware sana. Of course, tetesi hii ikanifanya nikumbuke 'Hillsiders' (like Law Masha, Cresentius Magori, at el) wa UDSM enzi hizo walivyokuwa watanashati na walivyowatafuna 'Hillsisters'. Hata hivyo nikabaki na shaka juu ya tetesi hii, na ndiyo maana nalileta jamvini tulijadili.
Wana JF wanaume watanashati kupindukia mnasemaje?
Wana JF wanawake mlio na boyfriends/waume watanashati kupindukia mnasemaji?
Mi naona hata kama wazinzi inasabishwa na wanawake/wasichana wenyewe maana wengi huwa wanatabia ya kujitongozesha kwa wanaume wa aina hii. Sasa ukiangalia ubinadamu mwanaume uzalendo unaweza kumshinda akawa anajisevia tu.
Siku hizi PESA 2 wala sio UTANASHATI!!
Unakuta Jamaa ana SURA mbaya kama ya MASOUD lakini ana warembo wengi sana!!!
wale utanashati wao wa kuazima pamba ndio wazinzi.
Mbona mimi mtanashati lakini sio mzinzi?
tru dat mkuu... some of them ni mapunga aiseeWwengine ni Mibwabwa ati.