Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Kiukweli namshukuru sana Mungu kwa hili.Kheri wewe waliishia kukuita Dodoma tu. 😂 😂 😂 😂
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli namshukuru sana Mungu kwa hili.Kheri wewe waliishia kukuita Dodoma tu. 😂 😂 😂 😂
Nchi kuwa "Corrupt" huanzia kwenye kutisha waandishi wa habari. Ona Modi alipotaka kubadili noti za Rupia ya India alivyopata upinzani toka kwa wanasiasa waliotumia vyombo vya habari kumpinga. Kuwa mwandishi wa habari kwenye nchi inayoendeshwa kifisadi ni jambo la hatari sana kuliko watu wanavyofikiria.Kiukweli namshukuru sana Mungu kwa hili.
P
Duniani huko watu hawacheleshewaniDuh...!. Hii kali, kubwa kuliko!.
P
Modi alifanya sahihi kubadilisha note kubwa zaidi ya rupee. Kuna majizi yalikuwa yamehifadhi makontena ya pesa ndani hayatunzi benki, yanakwepa kodi na kufanya money laundering.Nchi kuwa "Corrupt" huanzia kwenye kutisha waandishi wa habari. Ona Modi alipotaka kubadili noti za Rupia ya India alivyopata upinzani toka kwa wanasiasa waliotumia vyombo vya habari kumpinga. Kuwa mwandishi wa habari kwenye nchi inayoendeshwa kifisadi ni jambo la hatari sana kuliko watu wanavyofikiria.
Lakini safari yake si iliishia njiani?Modi alifanya sahihi kubadilisha note kubwa zaidi ya rupee. Kuna majizi yalikuwa yamehifadhi makontena ya pesa ndani hayatunzi benki, yanakwepa kodi na kufanya money laundering.
Tabia za Wahindi wa bongo kupenda kulipa cash, kutunza hela ndani na kukwepa kodi kwao ni maradufu. Aliona wanaharibu uchumi na ni kweli walikuwa wamefika pabaya
Duniani huko watu hawacheleshewani
Ova
Na toka umetoka huko umebadilisha style ya maisha yako na kuishi kwa style ya kun guru mwoga hukimbiza mbawa. Japo wengi wanakuona mnafiki n.k lakini Nina uhakika wangekuwa wao wasingediliki hata kuandika chochote humu ndaniKiukweli namshukuru sana Mungu kwa hili.
P
Sijajua ila si uliona mtiti aliowapa, watu walipanga foleni kupeleka mifuko ya hela benki. Aliwaacha wenye michango ya harusi tu maana ukiharibu harusi Wahindi umewakosea sana na zina gharamaLakini safari yake si iliishia njiani?
Mchakato ulisitishwa.Sijajua ila si uliona mtiti aliowapa, watu walipanga foleni kupeleka mifuko ya hela benki. Aliwaacha wenye michango ya harusi tu maana ukiharibu harusi Wahindi umewakosea sana na zina gharama
Balaaaaaaduh aiseeee
Lengo lake lilikuwa watu watoe hela mafichoni wapeleke benki. Katazo lilikuwa risky na gharama kubwaMchakato ulisitishwa.
India ina changamoto kubwa za kukosekana uvumilivu wa kiimani kwenye baadhi ya maeneo na hata ghasia za kidini huzuka sana Sana huko Kashmir.Hindu fascist ndio anaengoza India kwa sasa.
Hindu Nationalist ni majanga matupu..India ina changamoto kubwa za kukosekana uvumilivu wa kiimani kwenye baadhi ya maeneo na hata ghasia za kidini huzuka sana Sana huko Kashmir.
watu husilimishwa kibabe kuwa wahindu kwenye baadhi ya majimbo.