Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,117
- 1,966
Ni mwanamke mkazi wa musoma mjini mwenye umri wa miaka 27 ametishia kujinyonga endapo mume wake ataendelea kulala chumba kingine hata kama ana kitoto kichanga
Mwanamke huyo ambaye uzao wake ni wa kwanza amesema tangu ajifungue mumewe alihama chumba chao cha kulala na kwenda kulala chumba kingine kwa kisingizio kuwa asiwabuguthi yeye na mtoto jambo ambalo hakukubaliana
Anasema licha ya kupinga mumewe alilazimisha kuendelea kulala chumba kingine kitendo ambacho kimemkasirisha, kwa mume wake kumdharau na hivyo kama mumewe hatamsikiliza atajinyonga
Hata hivyo familia iliingilia kati jambo hilo na kumtaka mwanaume amsikilize mkewe anachotaka hasa kipindi hiki ambacho analea kichanga cha wiki mbili
Mwanamke huyo ambaye uzao wake ni wa kwanza amesema tangu ajifungue mumewe alihama chumba chao cha kulala na kwenda kulala chumba kingine kwa kisingizio kuwa asiwabuguthi yeye na mtoto jambo ambalo hakukubaliana
Anasema licha ya kupinga mumewe alilazimisha kuendelea kulala chumba kingine kitendo ambacho kimemkasirisha, kwa mume wake kumdharau na hivyo kama mumewe hatamsikiliza atajinyonga
Hata hivyo familia iliingilia kati jambo hilo na kumtaka mwanaume amsikilize mkewe anachotaka hasa kipindi hiki ambacho analea kichanga cha wiki mbili