sparklingstar
Member
- Oct 16, 2013
- 7
- 0
Yan nimejiunga bada ya kua guest for so long!!!
Sunshine
Sunshine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana JF
baba una moyo wa upendo wa agape yaani kila mgeni wamkaribisha
angalia utakaribisha na malaika wa ................? shauririo
utakuwepo pale lthp? leo?
Hahaha...halafu wewe!!!
Nope sitakuwepo nipo nje ya mji
niletee nanasi kwani huko pwani mananasi yashaanza kuenguliwa
si unajua mwanao nilivyo na uloho wa mananasii?
Huku hakuna mananasi...hahah!!!
basi utakachokiona chochote baba
yaani hata pipi hamna?