ATM Fraud in Tanzania

ATM Fraud in Tanzania

Ambassador

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2008
Posts
933
Reaction score
75
Hi people, mmeisikia hii? See attached kutoka ubalozi wa Marekani wakiadvise staff wao kuacha kutumia ATM kutokana na fraud inayoendelea. Wanasema ATM za Tanzania nzima haziko safe!!
 

Attachments

Thanks ambassador kwa tahadhari.....that's one of the bad side of sophiscated technology!

BWT, tunakukaribisha sana JF mkuu balozi!
 
Je benki zenye ATM zinajua hili. Ni hatua gani watachukua/wamechukua kukomesha wizi huu?
 
Asante kwa tahadhari. Ila kinachonishangaza imekuwaje onyo hili litolewe na ubalozi wa Marekani badala ya serikali ya Tanzania? Au hawajui tatizo hilo?
 
Asante kwa tahadhari. Ila kinachonishangaza imekuwaje onyo hili litolewe na ubalozi wa Marekani badala ya serikali ya Tanzania? Au hawajui tatizo hilo?

Tusubiri, labda Mkullo bado anaifanyia utafiti taarifa hii!!!
 
Je benki zenye ATM zinajua hili. Ni hatua gani watachukua/wamechukua kukomesha wizi huu?

Hili tatizo lilisha wahi tokea hasa benki za CRD myaka ya nyuma, watu wengi walilizwa sana!, baadae wakawa wamelicontrol, sijui kwa sasa.

Ila tunashukuru kwa taarifa, unajua hata wezi nao wanazidi kugundua njia mbadala za kufanikisha uharamia wao. Huko majuu kuna baadhi ya benki, siku hizi internet transaction kila mtu anapewa ki kadi chakekama simu anachotumia siyo computer tena, make wizi ulikuwa umezidi.

Bongo inabidi wasugue vichwa jinsi ya kuepa hili.
 
Tusubiri, labda Mkullo bado anaifanyia utafiti taarifa hii!!!

Mama sitashangaa kusikia kuwa wanaunda tume kuchunguza. Hii mikazi ya misuse of resources balaa. Tunapenda mno kupeana ulaji through tume. Anyway, kwa CRDB ni mbaya zaidi pale ambapo teller anakuchapia not ya 10,000 anaingiza 2,000 ndani. Kuna jamaa mmoja karibu alikuwa amkate koromeo teller pale nafikiri alishahamishwa au alifukuzwa kazi kabisa.
 
Hi people, mmeisikia hii? See attached kutoka ubalozi wa Marekani wakiadvise staff wao kuacha kutumia ATM kutokana na fraud inayoendelea. Wanasema ATM za Tanzania nzima haziko safe!!
Imesemwa kwamba, kwa kuwa hawajagundua wizi umefanywa vipi, it is assumed that all ATMs in Tanzania are potentially compromised.

Mara nyingi wezi hawa wanakwiba kwenye account zenye foreign currencies. Sina mashaka sana maana nimejijengea tabia ya kuchukua mini bank statements kila baada ya miezi mitatu. I can easily print them from the ATM.

Ambassador, thank you for the info.
 
Mbona habari imekaa kimtindo?
Pesa zimeibiwa Nairobi.
Kwa nini wanaasuume wizi umefanywa kwa ATM za Tanzania? Hao walioibiwa walitumia ATM za Tanzania, USA and Kenya may be na kwingine pia. Hii conclusion kuwa ATM za Tanzania zote ziko potentially compromised imekaaje? Je, watachukulia ATM za USA pia ni potentially compromised?
 
Mbona habari imekaa kimtindo?
Pesa zimeibiwa Nairobi.
Kwa nini wanaasuume wizi umefanywa kwa ATM za Tanzania? Hao walioibiwa walitumia ATM za Tanzania, USA and Kenya may be na kwingine pia. Hii conclusion kuwa ATM za Tanzania zote ziko potentially compromised imekaaje? Je, watachukulia ATM za USA pia ni potentially compromised?

ZeMarcopolo
Mimi naona habari inajitosholeza..... Watu walioibiwa fedha wametumia ATM za Tanzania lakini mwizi ametumia ATM za Kenya kutolea fedha. Ina maana unapotumia ATM ya Tanzania kuna "mechanism" fulani ya kuweza kupata details za credit/debit card yako halafu hizo details zinatumika kutolea fedha Nairobi. Wana uhakika gani tatizo liko kwenye ATM za Tanzania tu? Kwa sababu wakazi wa nchi nyingine ambao hawajatumia ATM za Tanzania hawajapata tatizo hili. Mwisho kwa sababu tatizo limewakumba watu wengi... hawana uhakika ni ATM gani ipo safe na ipi ni bomu... hivyo ni busara kutahadharisha watu wao wasizitumie kabisa... mpaka ufumbuzi upatikane.
 
U.S. Embassy
Dar es Salaam, Tanzania
Warden Message - ATM Fraud
June 24, 2009

Several American citizens have reported to the U.S. Embassy in Dar es Salaam that money has been taken from their bank accounts by an unidentified person in Nairobi, Kenya. All of the complainants stated they used ATMs in Dar es Salaam. The Embassy is unsure of the method the perpetrators are using and must assume that all ATMs in Tanzania are potentially compromised.

The Embassy strongly recommends that American citizens check their accounts and determine if any unusual withdrawals have occurred. If so, the Embassy suggests American citizens contact their bank immediately.
The bank is in the best position to take measures to prevent further losses. The Embassy is working closely with the Tanzanian police on this matter.

Updated information on travel and security in Tanzania may be obtained from the Department of State by calling 1-888-407-4747 toll free in the United States and Canada, or for callers outside the United States and Canada, a regular toll line at 1-202-501-4444. For further information please consult the Country Specific Information for Tanzania, the East Africa Travel Alert, and the Worldwide Caution Travel Alert, which are available on the Bureau of Consular Affairs Internet website at Welcome to Travel.State.Gov

The Consular Section of the U.S. Embassy in Tanzania can be contacted by telephone [255](22) 266-8001 x 4122 and fax [255](22) 266-8238. You may also contact the U.S. Embassy in Tanzania via email at
drsacs@state.gov.

After hours American Citizen emergencies should call [255] (22) 266-8001.
 
Wake up call kwa serikali iliyolala usingizi mpaka muamshwe na watu baki
 
My Gawd! People's money at risk of being siphoned away.
Are the ATMs becoming a nightmare?
 
serikali zinazojali raia wake zikiwa kazini

GT serikali zinazojali watu wake, wanajua kuwa wasipofanya hivyo next election out!. Ila nchi zetu hizi zisizo kuwa na wasiwasi wa kutolewa nje kwa kura wamjali nani?. Maana kura si kigezo cha wao kuwajibishwa mkiwanyima wanachukua kwa nguvu.

Huu ni mchezo wa wafanyakazi wasio waaminifu wa mambank hasa vitengo vya IT, wenye tamaa ya kupaa kimaisha kwa muda mfupi.
 
Selikali imelela fofofooooo, hao kina kuro na wenzao kazi zao ni nini? tanzania washika rungu wamelala fofofooooo. wasomi nao ndo hivyohivyo, fofofoooo, bado wamelala na zindiko la nyerere la kufanya wabongo wawe wapole na wajinga.hili pepo na laana aliyoacha nyerere ikiunganishwa na ma atheists wa urusi watu ambao Mungu amewaita "wapumbavu wanaosema hakuna mungu", tulifukuze kabisa na wabongo tuamke kuwawajibisha viongozi wetu. mfano, hao wa central bank wanaotakiwa kucontrol bank zingine zote. najua watu ambao wanaweza kupata hasara hapa sio hawa wenye accounts za hapa ndani, hatari zaidi ni watu wenye accounts nje wanaotumia mastercard, maestro, interact, viza na zingine kwasababu pengine ndo wenye pesa nyingi zaidi, na mwizi akikaiiba analeta hasara kubwa kweli. sijui tutaishia wapi.
 
The number of ATM fraud cases has increased dramatically in the last two days. Beware and avoid using ATMs anywhere in Tanzania.

Dollar denominated accounts held here in Tanzania have been targeted. Check of your credit card, checking and savings accounts, whether based overseas or in Tanzania, for unauthorized transactions. If you have used any card connected to those accounts here in Tanzania to withdraw money, that account is theoretically vulnerable.

I will keep you on the loop!
 
Mkuu, unaweza kutueleza ki-layman ni nini hasa kinafanyika au kinaendelea?
 
Back
Top Bottom