Atm ya crdb karatu

SHANTA

Senior Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
162
Reaction score
49
Leo nimepita karatu mjini na kuona mashine ya ATM pale kwenye ofisi ya posta,nikauliza madereva bodaboda wakaniambia eti wanaskia ni ya crdb,wadau kama kuna mtu mwenye info anijuze maana card yangu ya crdb haikubali ATM nyingine zaidi ya haohao crdb,kama ni kweli nisiwe nalazimika kusubiri gari la mobile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…