Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Yamkini mlinunua screpa nyingi za mashine lakini mtuonee huduma wateja wenu tunahangaika sana na ATM za CRDB yani kuna ambazo ukikuta pesa. Sio mbovu kwa siku hiyo tunashukuru sana na mbaya zaidi hasa kwa vituo vipya kama hapa Mwananyamala Hospital na pale Mwanamboka Kinondoni
sijui kwingineko
sijui kwingineko