ATM za watani

Mkuu Ngambo! hii lazima itakuwa kenyaniz, a.k.a Watani, maana jamaa wana mambo ya ajabu... wale! Mh! Nimeshindwa kuapload kama vip mkuu ni PM kunihabarisha jinsi ya kuwekama picha like yours. But ninayo moja matata huwezi amini iko katika kati ya jiji la Nai!

Jamaa huwa wananiacha hoi sana hawa
 
Picha siioni - tuwekeeni vizuri tuione
 
mi nashangaa kweli,sasa hapo unatoa vivi mapene kama ndo atm geti kali kiasi hicho
 
Picha yenyewe yakaa ki photoshop nanyi mwaamini? Nani ataweka grills kwenye ATM's?
 
WADAU, hii kiboko, huko kenya kunatatizo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…