Mkuu Ngambo! hii lazima itakuwa kenyaniz, a.k.a Watani, maana jamaa wana mambo ya ajabu... wale! Mh! Nimeshindwa kuapload kama vip mkuu ni PM kunihabarisha jinsi ya kuwekama picha like yours. But ninayo moja matata huwezi amini iko katika kati ya jiji la Nai!
Jamaa huwa wananiacha hoi sana hawa