Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
Wakuu JF great Thinkers Asalam Aleikuum,
Nipende ku express Feeling zangu kuwa kwa Hali ninayoiona kuna uwezekano Rasimu ya Katiba kipengele cha Serikali 3 Kisipite. Kikwazo kikuu cha Kupita Serikali tatu kwenye katiba Mpya ni CCM.
Serkali tatu ni Threat kwa Ustawi wa CCM ambayo inaelekea Kaburini, amesema mtu wangu wa Karibu sana Lumumba. Hivyo Basi, kuna Mkakati wa kukwamisha Kipengele hiki Kisipite.
Tusimame imara na Kukemea kwa Nguvu zote Yeyote atakayeonesha Dhamira ya Kuwamisha Kuzaliwa Upya kwa Tanganyika Yetu.
Nipende ku express Feeling zangu kuwa kwa Hali ninayoiona kuna uwezekano Rasimu ya Katiba kipengele cha Serikali 3 Kisipite. Kikwazo kikuu cha Kupita Serikali tatu kwenye katiba Mpya ni CCM.
Serkali tatu ni Threat kwa Ustawi wa CCM ambayo inaelekea Kaburini, amesema mtu wangu wa Karibu sana Lumumba. Hivyo Basi, kuna Mkakati wa kukwamisha Kipengele hiki Kisipite.
Tusimame imara na Kukemea kwa Nguvu zote Yeyote atakayeonesha Dhamira ya Kuwamisha Kuzaliwa Upya kwa Tanganyika Yetu.