Attention:kuna uwezekano rasimu ya serikali tatu kuwekewa zengwe

Attention:kuna uwezekano rasimu ya serikali tatu kuwekewa zengwe

Acha kibri wewe! Kuanzia kuumbwa kwa Dunia mpaka 26 April,1964 ni Wazanzibar wangapi walikufa kwa njaa kwa kuwa haukuwepo Muungano? Wa Tanganyika wanokufa kwa njaa mbona ni wengi kuliko wa Zanzibar kwenye Muungano,nenda vijiji vya kanda ya Kati ushuhudie! Mie sikuwah kuupenda wala sitoupenda Muungano bt sio kwa sababu ya chuki bali kwa kuwa hauna Manufaa,Pia kuvunja muungano haimaanishi kuvunja Mahusiano. Tanganyika huru is Coming Inshallah!

[Acha upotoshaji rejea picha zote utaona aliechanganya Udongo alikuwa Kambarage peke yake ndio sababu wapo wanaoamini uliochanganywa pengine ni udongo wa BUTIAMA na Dodoma!]

mkuu hapo kwa red unamaanisha nini? attacking approach is never good! you have got to learn how to respect other people's ideas!
 
Wakuu JF great Thinkers Asalam Aleikuum,

Nipende ku express Feeling zangu kuwa kwa Hali ninayoiona kuna uwezekano Rasimu ya Katiba kipengele cha Serikali 3 Kisipite.
Kikwazo kikuu cha Kupita Serikali tatu kwenye katiba Mpya ni CCM.
Serkali tatu ni Threat kwa Ustawi wa CCM ambayo inaelekea Kaburini, amesema mtu wangu wa Karibu sana Lumumba.
Hivyo Basi, kuna Mkakati wa kukwamisha Kipengele hiki Kisipite.
Tusimame imara na Kukemea kwa Nguvu zote Yeyote atakayeonesha Dhamira ya Kuwamisha Kuzaliwa Upya kwa Tanganyika Yetu.

Kaka hiyo ipo wazi ndio mana mabaraza ya katiba yameundwa na ccm
 
acha upotoshaji rejea picha zote utaona aliechanganya udongo alikuwa kambarage peke yake ndio sababu wapo wanaoamini uliochanganywa pengine ni udongo wa butiama na dodoma!

kweli eee!
 
Wakuu JF great Thinkers Asalam Aleikuum,

Nipende ku express Feeling zangu kuwa kwa Hali ninayoiona kuna uwezekano Rasimu ya Katiba kipengele cha Serikali 3 Kisipite.
Kikwazo kikuu cha Kupita Serikali tatu kwenye katiba Mpya ni CCM.
Serkali tatu ni Threat kwa Ustawi wa CCM ambayo inaelekea Kaburini, amesema mtu wangu wa Karibu sana Lumumba.
Hivyo Basi, kuna Mkakati wa kukwamisha Kipengele hiki Kisipite.
Tusimame imara na Kukemea kwa Nguvu zote Yeyote atakayeonesha Dhamira ya Kuwamisha Kuzaliwa Upya kwa Tanganyika Yetu.
Mbona hufahamiki? sasa kama CCM hawataki serikali 3 kwani ni nani amezikubali? Tumesema wazanzibari wanataka mamlaka yao kamili sasa yale mambo 7 yaliyo kwenye muundo wa shirikisho yarudi katika mamlaka ya Zanzibar kila nchi iwe na utaratibu wake then ndo kuje hiyo shirikisho otherwise kura ya maoni Wazanzibari waweke ala ya HAPANA.,
 
Serikali tatu ni fumbo kubwa sana,binafsi hii hoja kupitishwa na tume naiona kama vile ni hatua kubwa sana ya kipimo cha uzalendo.Hapa naona hesabu hii rahisi wamewachia watanzania wenyewe waamue nini cha kufanya kwani hesabu hiyo ni je
a). 1+1=2?
b). 1+1=3?
c). 1+1=1?
d).Kwanini jibu ni "a" , "b" au "c"?
d).Nini muundo wake kama jibu ni "a" ,"b" au ,"c"?

My take: 1+1=1 (mistari miwili iliyo sambamba kamwe haikutani na unapojaribu kuikutanisha kutoka umbali uliopo kati yao unapata mstari mmoja mmyoofu).Hii inawezekana tu iwapo vikwazo vyote vitabashiriwa kama havipo.(ukabila,udini,ukanda,uvyama na ubaguzi wa rangi).
 
Back
Top Bottom