The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Dah koo kakunyima na Weekend yote hiii 😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa ya ngono kwa me vs ke ni tofauti mkuu. Yaani mwanamke anaweza kula leo akakaa hata siku kadhaa, tena kama mnalala kitanda kimoja wala hana shida na wewe. Kwa me ni hadithi nyingine kabisa, tunataka ngono, tunawaza ngono....mara nyingi zaidi.Hii inatokea kama 1. Ukioa mwanamke ambaye hakupendi, hana hisia na wewe
2. Kama ha enjoy sex either ana shida ya kiafya au wewe mwenyewe hujui namna ya kumfanya a enjoy
3. Kama haumuamdai kisaikolojia vizuri, anaona kama unamfanya kama sex machine tu.
4. Kama unataka kila siku, haumwachi hata kidogo apate njaa ya sex
Hahahaha yaan mzigo tu unapewa kwa ratibaHapa ni kumweka binti wa mtu ktk angle ambayo haelewi kama kaolewa au hajaolewa
Mwanaume aliyetimia ,hana stress, hana tatizo la kiafya, na mipango yake inapangika vizuri , anao uwezo wa kutomba Kila siku bao tatu kwa nyakati tofautitofauti ndani ya siku husika.Njaa ya ngono kwa me vs ke ni tofauti mkuu. Yaani mwanamke anaweza kula leo akakaa hata siku kadhaa, tena kama mnalala kitanda kimoja wala hana shida na wewe. Kwa me ni hadithi nyingine kabisa, tunataka ngono, tunawaza ngono....mara nyingi zaidi.
Ni kweli, wenyewe njaa inakuwepo wakiwa siku za hatari, wakikaribia period, wakikaa muda mrefu bila sex, ukiwafurahisha. Wakati mwingine atafanya tu kwa ajili yako sababu anakupenda.Njaa ya ngono kwa me vs ke ni tofauti mkuu. Yaani mwanamke anaweza kula leo akakaa hata siku kadhaa, tena kama mnalala kitanda kimoja wala hana shida na wewe. Kwa me ni hadithi nyingine kabisa, tunataka ngono, tunawaza ngono....mara nyingi zaidi.
Na wakati saiv unapewa mpaka unaacha mwenyw mda wa kulala unaamua tu kuiwekea Mkono😁Hahahaha yaan mzigo tu unapewa kwa ratiba
Ndio lengo kubwa la kuoaKwahiyo mnaoa ili kila siku mpige push up kwenye miili ya wenzenu? 😏
Mada iishie hapa lia lia FC wapitie hapa.Hii inatokea kama 1. Ukioa mwanamke ambaye hakupendi, hana hisia na wewe
2. Kama ha enjoy sex either ana shida ya kiafya au wewe mwenyewe hujui namna ya kumfanya a enjoy
3. Kama haumuamdai kisaikolojia vizuri, anaona kama unamfanya kama sex machine tu.
4. Kama unataka kila siku, haumwachi hata kidogo apate njaa ya sex
Si mpaka waziweze hizo push ups kuna sehem niliona mtu analalamika huyo bwana ake anajiburuza kwenye kinena kama mamba.Kwahiyo mnaoa ili kila siku mpige push up kwenye miili ya wenzenu? 😏
Hiyo saaaafi kabisaHapa ni kumweka binti wa mtu ktk angle ambayo haelewi kama kaolewa au hajaolewa