Attention: Mwanaume jiandae kupata tendo la ndoa kwa ratiba ukishafunga ndoa

Njaa ya ngono kwa me vs ke ni tofauti mkuu. Yaani mwanamke anaweza kula leo akakaa hata siku kadhaa, tena kama mnalala kitanda kimoja wala hana shida na wewe. Kwa me ni hadithi nyingine kabisa, tunataka ngono, tunawaza ngono....mara nyingi zaidi.
 
Njaa ya ngono kwa me vs ke ni tofauti mkuu. Yaani mwanamke anaweza kula leo akakaa hata siku kadhaa, tena kama mnalala kitanda kimoja wala hana shida na wewe. Kwa me ni hadithi nyingine kabisa, tunataka ngono, tunawaza ngono....mara nyingi zaidi.
Mwanaume aliyetimia ,hana stress, hana tatizo la kiafya, na mipango yake inapangika vizuri , anao uwezo wa kutomba Kila siku bao tatu kwa nyakati tofautitofauti ndani ya siku husika.

Mwanamke aliye katika hali hiyo niliyoielezea hapo kuhusiana na mwanaume, ikiwa atatombwa ipasavyo , anakuwa na nyegge mara tatu tu kwa mwezi. Vinginevyo atafurahia tu uwepo wa mume wake kitandani kwakuwa wanalala kitanda kimoja.

Kwa mantiki hiyo, wanaume tunawatafsiri wanawake kama wabinafsi.

Raha ya kutiana wote wawili muwe na matamanio kwa mwenzie, sio Kila wakati ni me tu ndio anachokoza ke.... hainogei
 
Njaa ya ngono kwa me vs ke ni tofauti mkuu. Yaani mwanamke anaweza kula leo akakaa hata siku kadhaa, tena kama mnalala kitanda kimoja wala hana shida na wewe. Kwa me ni hadithi nyingine kabisa, tunataka ngono, tunawaza ngono....mara nyingi zaidi.
Ni kweli, wenyewe njaa inakuwepo wakiwa siku za hatari, wakikaribia period, wakikaa muda mrefu bila sex, ukiwafurahisha. Wakati mwingine atafanya tu kwa ajili yako sababu anakupenda.
 
Kwahiyo mnaoa ili kila siku mpige push up kwenye miili ya wenzenu? 😏
 
Mada iishie hapa lia lia FC wapitie hapa.
 
Kuna huyu wangu amekopa M 10 bank naona Leo amepost "BWANA UMENIINUA ONA SASA NIPO JUU MAWINGUNI" nahisi tendo ntalipa akimaliza kutumia hela yake
 
Ambianeni kabisa kuwa mm kama mwanaume nataka hiyo kitu kila nae binti aseme lake la moyoni na mkubaliane hvy
 
Si kweli ,Sumu ya mapenzi maudhi ,mkiishi kwa amani na m/me ukatimiza majukumu yako sidhani kama hayo mambo yatatokea.

Sasa wewe m/me nyumbani unaacha buku ,m/ke haumjali kila siku hauna pesa unafikiri na yeye atakuwa na "kata inayopatikana katika wilaya ya Nyamagana, Mkoa wa Mwanza"?
 
Mbona huku mtaani wanawake wanalalamikia kuwa hawaguswi hizo ratiba zinatoka wapi au unataka waanze kutoa Siri kuwa huko ndani ni tia maji tia maji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…