Atumia Busara ya Kujifariji na Kutuliza Roho Baada ya Mambo Kwenda Kombo

Sawa lakini yeye alipania ndoa kwanza princess sayuni.Hakupata muda mrefu wa kuandaa huo wimbo, ndo maana uko hivo.

Na inaonyesha alikuwa kapaniki ndo maana bora angeimba wimbo wa kumtukuza Mungu hapo sijui alikuwa anakimbizwa wapi
 
Last edited by a moderator:
Hiyo fasihi hapo kwenye bold mzee, wee mkali!
 
Katokomea wewe, bado shonza thatha.
zinc, ni wanawake wenye mikwanja ndio hufuatwa na kutelekezwa baada ya kuvuta mkwanja ufaao. Shonza ni shombo to ya magamba, aliyemchumbia hatafuti mkwanja kwake!
 
Last edited by a moderator:

hahahahaaa mbavu zangu mie
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…