Alifanya alichoagizwa na Merk Mexime.wakuu kwa wale mliopata fursa ya kushuhudia mechi ya jana kati ya yanga na kagera mtakuwa mlishuhudia magoli aliyokosa atupele green,..sasa mi nauliza hyu mchezaji ni position gani anacheza maana si kwa kukosa magoli yale ya wazi isijekuwa ni beki alilazimishwa kucheza fowadi
Alifanya alichoagizwa na Merk Mexime.
Kocha mwenye ndoto za kuifundisha Yanga fs. na mwanachama hai wa Yanga fs.
Mi sikuiangalia hiyo mechi, nilishajua matokeo yake kabla ya mpira kuanza kuchezwa.
Kagera ndoto zao ni kufungwa na Yanga kila msimu.
Na wanaifurahia hiyo hali.
Kwani beki ndo anaruhusiwa kukosa magoli?
Na kujifunga goli la 3sidhani km sababu zako zinaweza kuwa na mashiko yaani mexime aharibu cv yake ili aifurahishe yanga? isitoshe wakati yupo mtibwa alikuwa anawaonea sana yanga!!! tatizo litakuwa ni wachezaji kutojitambua maana c kwa kukosa magoli ya wazi vile
Ukiona hadi Ajib amefunga ujue pana walaki n
Shida ya hawa mbumbumbu walitegemea tutadroo au kufungwa ili waongeze gap LA points.Hivi yanga haistahili kushinda? Mana ikishinda hazikosekani sababab nini tatzo? Magoli anakosa morata nin atupele green
Maxime kaanza kuwa Yanga baada ya kwenda Kagera. Akiwa Mtibwa alikuwa Simba?Alifanya alichoagizwa na Merk Mexime.
Kocha mwenye ndoto za kuifundisha Yanga fs. na mwanachama hai wa Yanga fs.
Mi sikuiangalia hiyo mechi, nilishajua matokeo yake kabla ya mpira kuanza kuchezwa.
Kagera ndoto zao ni kufungwa na Yanga kila msimu.
Na wanaifurahia hiyo hali.
Hivi yanga haistahili kushinda? Mana ikishinda hazikosekani sababab nini tatzo? Magoli anakosa morata nin atupele green
Chirwa alikosa penati sembuse atupele?
iv uliona magoli aliyokosa atupele? sehemu ya kuweka mguu ili afunge yeye anatuliza ...sawa nakubali kuna kukosa magoli lkn si kwa kiasi kile otherwise amechezeshwa nafasi isiyo yake lands hajaizoea
Hivi yanga haistahili kushinda? Mana ikishinda hazikosekani sababab nini tatzo? Magoli anakosa morata nin atupele green
Sawa mkuu naona unampenda sana atupele green na hautaki akosee au afanye makosa ka aloyafanya mana anakuumiza sana moyo wako na unapata maswali mengi yaso na majibu.. pole ndugu yangu na uendelee kuvumilia atabadilika tu
Shida ya hawa mbumbumbu walitegemea tutadroo au kufungwa ili waongeze gap LA points.
Yanga wakishinda wanahonga hapohapo wanasema hawana hela km wao simba.
Yote hayo sababu Manara ashawajua ni mazuzu akiwadanganya na wao wanakubali.