Atupwa jela miaka 30 kwa kumbaka binti yake wa miaka wa miaka 6

Atupwa jela miaka 30 kwa kumbaka binti yake wa miaka wa miaka 6

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemhukumu Kumbuka Mhotelwa kifungo cha miaka 30 jela na kulipa fidia ya Tsh. Milioni Moja baada ya kumtia hatiani kwa kumbaka mtoto wake wa kumzaa mwenye umri wa miaka 6.

Mhotelwa mwenye umri wa miaka 30 na mkulima akiwa ni mkazi wa Kitwiru, Wilaya ya Iringa, alimtishia pia mke wake kuwa atamuua endapo atasema popote.

Mahakama imeeleza kuwa Mtuhumiwa alitenda kosa hilo Novemba 19, 2020 wakati mkewe akiwa mgonjwa.

Imeelezwa kuwa mke alishtuka saa nne usiku na kukuta mwanaume akifanya tendo hilo sebuleni huku pembeni kukiwa na mtoto wao mwingine aliyekuwa na miaka mitatu akishuhudia, licha ya kujaribu kumwambia aache kitendo hicho mwanaume aliendelea na mwanamke alishindwa kumzuia kwa kuwa mwili haukuwa na nguvu.

Katika utetezi wake mtuhumiwa alisema anaomba Mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa kesi hiyo ilitengenezwa na ndugu wa mke wake mbaye kwa sasa tayari ni marehemu


Source: Azam TV
 
Namwamini jamaa.

Wanawake wengi wao ni waongo sana. Shahidi ni marehemu tayari, wanaoendeleza kesi ni ndgu waliokua hawampendi jamaa.

Pole sana mwamba.
 
Inaweza kua hila ya uyo mke mwanamke cyo kuamini kbsa tena hpo ukute alikua analia mahakamani kama vile kweli! Kesi ya hivi ilishamfunga jamaa uko kenya bdae mtoto alipopata akili alisema mama yake alimwambie aseme Baba yake alimbaka
 
Asking learned and unlearned lawyers for my girl friend.

Huyo mpuuzi ameadhibiwa akae jela miaka 30 Hadi atie akili. Sina shida na Hilo.
Tatizo langu, huyu mfungwa bwege atafanya kazi gani huko jela ili apate hiyo pesa ya kulipa fidia?

Mnitag mkijibu...
 
Back
Top Bottom