Corluka Neven
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 317
- 358
HII ULIACHIA BRAKE BILA KUKANYAGA MAFUTA WAKATI IPO KWENY HAND BRAKEMwanzoni gari yangu ya Vitz nilikua nikiwasha then nikaweka kwenye D pasipo kushusha hand break chini?huwa haisogei mbele??
NA HII UMEKANYAGA MAFUTA MKUU!Ila nashangaa leo nimeweka D then hand break ikiwa bado imesimama ma bado gari imeenda??je hili ni tatizo gani??au ni kawaida wataalamu
Watu wamekariri angalia hata 'brake' wanaandika ' break' jina sahihi ni 'parking brake'Kwanini mnaiita hand brake wakati inakanyagwa kwa mguu?
Wamezoea za kuvuta kwa mikono. So far inaitwa "parking brake"Kwanini mnaiita hand brake wakati inakanyagwa kwa mguu?
Hivi gari zote huwa wanakanyaga Kwa mguu?Kwanini mnaiita hand brake wakati inakanyagwa kwa mguu?
UMEMUELEW LKIN NDUGU..?Hivi gari zote huwa wanakanyaga Kwa mguu?
Muache ajibu. Au wewe ndio yeye?UMEMUELEW LKIN NDUGU..?
Hand brake imekufa nenda kwa fundi.
Breki unaipata? Maana ishu kubwa ni breki zipatikane hayo mambo ya handbreak ni madogo Sana ni ishu ya dk 20 kurekebisha handbreak
HII ULIACHIA BRAKE BILA KUKANYAGA MAFUTA WAKATI IPO KWENY HAND BRAKE
NA HII UMEKANYAGA MAFUTA MKUU!
samhn kwa kukuingilia.Muache ajibu. Au wewe ndio yeye?
Kwanini mnaiita hand brake wakati inakanyagwa kwa mguu?
Legacy ya kuanzia 2010 yenyewe una pull hio inaitwaje?Hand brake.
Foot brake.
Parking brake.
Vits inatumia parking brake ya mkono sio ya mguu.Kwanini mnaiita hand brake wakati inakanyagwa kwa mguu?