Au ni mimi mshamba kwa hali hii ya gari yangu?

Corluka Neven

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2017
Posts
317
Reaction score
358
Mwanzoni gari yangu ya Vitz nilikua nikiwasha then nikaweka kwenye D pasipo kushusha hand break chini?huwa haisogei mbele?? Ila nashangaa leo nimeweka D then hand break ikiwa bado imesimama ma bado gari imeenda?

Je, hili ni tatizo gani au ni kawaida wataalamu?
 
Mwanzoni gari yangu ya Vitz nilikua nikiwasha then nikaweka kwenye D pasipo kushusha hand break chini?huwa haisogei mbele??
HII ULIACHIA BRAKE BILA KUKANYAGA MAFUTA WAKATI IPO KWENY HAND BRAKE
Ila nashangaa leo nimeweka D then hand break ikiwa bado imesimama ma bado gari imeenda??je hili ni tatizo gani??au ni kawaida wataalamu
NA HII UMEKANYAGA MAFUTA MKUU!
 
Nenda Kwa fundi.
Inarekebishika.
Itakuwa imelegea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…