Corluka Neven
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 317
- 358
Mwanzoni gari yangu ya Vitz nilikua nikiwasha then nikaweka kwenye D pasipo kushusha hand break chini?huwa haisogei mbele?? Ila nashangaa leo nimeweka D then hand break ikiwa bado imesimama ma bado gari imeenda?
Je, hili ni tatizo gani au ni kawaida wataalamu?
Je, hili ni tatizo gani au ni kawaida wataalamu?